Guru Guja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 217
- 285
JF Where we Dare to Speak. Ahadi ya mwana Tanu inasema nitasema ukweli daima Fitna kwangu Mwiko.
Admins. Kwenye huu uzi tutaweka watu au vitendo vya kuvunja sheria, utovu wa nidhamu, kukosa ustaarabu, kuvunja amani na kuleta hali ya sintofahamu. So kila kitu kitakuwa kwa uwazi bila kusingizia au konea mtu. TUNATAKA KUFICHUA UOVU.
Jana nlipata nafasi ya kutembelea Hospital ya Mloganzila kumsalimia rafiki yangu aliyelazwa Jumamosi. Nilikuta madereva wasio wastaarabu wamepark gari zao sehemu ambayo si sahihi. Huku eneo kubwa la parking likiwa wazi tu. Huu ni uharibifu wa Mali ya Umma. Sehemu hiyo waliyopandishia tairi si sehemu iliyoundwa kwa namna hiyo ya kupark gari.
Admins. Kwenye huu uzi tutaweka watu au vitendo vya kuvunja sheria, utovu wa nidhamu, kukosa ustaarabu, kuvunja amani na kuleta hali ya sintofahamu. So kila kitu kitakuwa kwa uwazi bila kusingizia au konea mtu. TUNATAKA KUFICHUA UOVU.
Jana nlipata nafasi ya kutembelea Hospital ya Mloganzila kumsalimia rafiki yangu aliyelazwa Jumamosi. Nilikuta madereva wasio wastaarabu wamepark gari zao sehemu ambayo si sahihi. Huku eneo kubwa la parking likiwa wazi tu. Huu ni uharibifu wa Mali ya Umma. Sehemu hiyo waliyopandishia tairi si sehemu iliyoundwa kwa namna hiyo ya kupark gari.