Tufundishane Ujasiriamali

Tufundishane Ujasiriamali

Salaam wakuu,
Shukran kwa alieanzisha hii thread na wote waliochangia. MUBARIKIWE.
Jamani naomba contact za mjasirimali mwenye pizza store au bakery naomba kusoma kutoka kwake.
Pia naomba fundi wa umeme atakaenisaidia kuconvert mashine zinazotumia umeme wa Marekani ziweze kutumika Tanzania.
Natanguliza shukrani
 
Salaam wakuu,
Shukran kwa alieanzisha hii thread na wote waliochangia. MUBARIKIWE.
Jamani naomba contact za mjasirimali mwenye pizza store au bakery naomba kusoma kutoka kwake.
Pia naomba fundi wa umeme atakaenisaidia kuconvert mashine zinazotumia umeme wa Marekani ziweze kutumika Tanzania.
Natanguliza shukrani
fatmas kwanini usiiandike hii kama thread inayojitegemea nadhani ndio itakusaidia zaidi.
 
Wapendwa najibu kilio chenu,
Napenda kuwakaribisha kwenye semina ya ujasiriamali, ambayo itafanyika Siku ya jumamosi tarehe 27/2/2010 saa 4.00 asubuhi katika ofisi za Princess Agness Foundation eneo la Sinza kwa Remi Dar es salaam. Mwezeshaji atakuwa ni Charles Nazi Mtunzi wa kitabu cha mbinu za biashara. Hakutakuwa na kiingilio semina itatolewa bure. Kama unapenda kununua vitabu vya ujasiriamali unashauriwa kuja na pesa kwani tutauza vitabu vya vya ujasiriamali. Kwa wale ambao watahudhuria semina hiyo nawaomba wathibitishe kwa kunitumia ujumbe kwenye simu namba 0755394701

CHARLES NAZI

Mshauri wa biashara na mtunzi wa kitabu cha Mbinu za biashara

Tunaomba feedback Wanajamii mlihudhuria semina hii?

Kuna yeyetote wa kujitolea kutushsirikisha hapa kwenye jukwaa?

Ubarikiwe sana Babalao ; mungu akutie nguvu!
 
Tunaomba feedback Wanajamii mlihudhuria semina hii?

Kuna yeyetote wa kujitolea kutushsirikisha hapa kwenye jukwaa?

Ubarikiwe sana Babalao ; mungu akutie nguvu!

Mkuu usikute watu walikula kona mbona hakuna anayetushuhudia aliyopata?
 
Back
Top Bottom