Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Unaongea ukweli mtupu huwa nashangaa huku Goba Marathon wakitoka kukimbia ni bata pombe kwa kwenda mbele, naona wamefanya kama sehemu ya kuenjoy

Wakati huo wake zao wapo nyumbani na watoto yaan bongo hii kil siku watu wanakuja na idea mpya we hushangai kila siku kuna marathon mpya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

sheria wanavunjaa baba lao yaan unaniachaa nyumbani wkaati mwenzangu mwaenda kula starehe huko ntauaa mtu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…