Acha watu waenjoy starehe . Mana wanawake wanawabana waume zao wakiwa home iyo ni fursa murua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mapenzi yapo popote.
Miss u more dear [emoji8][emoji8][emoji8] mwambie shem asikufiche hivyo
Hizi marathon zinawasaidia wadada wengi kupata madanga ya kizungu
Unaongea ukweli mtupu huwa nashangaa huku Goba Marathon wakitoka kukimbia ni bata pombe kwa kwenda mbele, naona wamefanya kama sehemu ya kuenjoy
Mshana kaleta habari hapa kuwa asubuhi hii kuna watu wamepata ajali Mombo, asubhii wakitokea Kilimaratho
Kilimarathon imekua KilimaDangathon
Bagwell
Tatizo siyo Kili marathon bali ndoa zenu.
Kwani kuna tatizo hapo...wanakimbia njiani baadae vitandani..kila apambane kulinda ndoa au mahusiano yake
Tukutane mwakani ni mwendo wa kushangaa vichura laini
Sio kweli. Kili inazidi kunoga.
Babal lao nasema hivi.
Sasa si uache wale starehe yao kwani umekopwa dudu yako wee mama lao, waache Kili marathon iambatane na utalii wa ndani na kulana na kuliwa pia.. Waache maisha ndio haya magumu acha watu wafanye yao ili mradi hawavunji sheria, ndio kupumua huko, alaa.. [emoji28]
Hizi marathon nowdays zinabamba sanaa, wadada wote wa mjini hawakosi kwenda kuchezesha vyura huko.
Ni sehemu tu ya matumizi ya vifanyio