Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

Kula tunda kimasiharaaa, ngoja nami nijiandae kwa mwakani nkashuhudie

Tuwaombee afya njema walopata ajali huko mombo-Tanga wakitokea Kili Marasonyi. 😎
 
Natumaini wote mu wazima,

Mama lao sina maneno mengi ila tuseme tu ukweli Kili Marathon ishapoteza mvuto sio kama zile Kili za zamani tulizokuwa tunazosikiaa kipindi hicho. Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano, kila ufuska huwa unafanyika Moshi

Yaani kuna kudanga na kudangwa sio kila mtu anaenda kwa ajili ya Marathon ila wanatumiaa mgongo wa Marathon kwenda Moshi kujivinjari

Hasa Wanaume manake unakuta mtu anaaga nyumbani kuwa anaenda kwa Marathon kumbe kashaandaa kiburudishi pembeni same applied to wadangaji nao washafanya ni chimbo la kupatiaa Wanaume.

Thats why unakutaa siku hizi kilaa mtu anajifanya anapenda Marathon.

Jamani Wanawake wenzangu kuweni macho na haya ma-marathon ya kila siku ambao yameshakuwa kama fashooooni mjini haya mama, marathon 25% ndo wapo kimarathon zaidi but the rest 75% ni kwa ajili ya kwenda kusaka na kusakwa niliyo yaona Moshi yanatoshaa jaman

Ninapokaa Mimi wakati Kikundi cha Jogging kikianza kulikuwa hakuna Kesi za Usaliti ila hivi karibuni tu nimeshuhudia Wake za Watu kama 5 hivi wakija Kugombana na Wanawake waliopo Kikundini lakini pia nimeweza Kushuhudia Waume za Watu kama 3 hivi wakija Kugombana na Viongozi wa Kikundi na Wanaume baadhi Wakimbiaji. Na hata Maambukizi ya VVU / UKIMWI katika hicho Kikundi kwa sasa yanaongezeka kutokana na Ufuska unaoendelea ila unafichwa kwa Kisingizio cha Jogging Club. Najua Dada yangu kwa hili wengi hawatakuelewa na wanaweza hata Kukudhihaki ila nakubaliana na ulichokiandika hapa kwa 99.9% kwani nakiishi na nayaona 24/7.
 
Natumaini wote mu wazima,

Mama lao sina maneno mengi ila tuseme tu ukweli Kili Marathon ishapoteza mvuto sio kama zile Kili za zamani tulizokuwa tunazosikiaa kipindi hicho. Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano, kila ufuska huwa unafanyika Moshi

Yaani kuna kudanga na kudangwa sio kila mtu anaenda kwa ajili ya Marathon ila wanatumiaa mgongo wa Marathon kwenda Moshi kujivinjari

Hasa Wanaume manake unakuta mtu anaaga nyumbani kuwa anaenda kwa Marathon kumbe kashaandaa kiburudishi pembeni same applied to wadangaji nao washafanya ni chimbo la kupatiaa Wanaume.

Thats why unakutaa siku hizi kilaa mtu anajifanya anapenda Marathon.

Jamani Wanawake wenzangu kuweni macho na haya ma-marathon ya kila siku ambao yameshakuwa kama fashooooni mjini haya mama, marathon 25% ndo wapo kimarathon zaidi but the rest 75% ni kwa ajili ya kwenda kusaka na kusakwa niliyo yaona Moshi yanatoshaa jaman
Umelionaje hilo kama wewe siyo mshiriki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumaini wote mu wazima,

Mama lao sina maneno mengi ila tuseme tu ukweli Kili Marathon ishapoteza mvuto sio kama zile Kili za zamani tulizokuwa tunazosikiaa kipindi hicho. Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano, kila ufuska huwa unafanyika Moshi

Yaani kuna kudanga na kudangwa sio kila mtu anaenda kwa ajili ya Marathon ila wanatumiaa mgongo wa Marathon kwenda Moshi kujivinjari

Hasa Wanaume manake unakuta mtu anaaga nyumbani kuwa anaenda kwa Marathon kumbe kashaandaa kiburudishi pembeni same applied to wadangaji nao washafanya ni chimbo la kupatiaa Wanaume.

Thats why unakutaa siku hizi kilaa mtu anajifanya anapenda Marathon.

Jamani Wanawake wenzangu kuweni macho na haya ma-marathon ya kila siku ambao yameshakuwa kama fashooooni mjini haya mama, marathon 25% ndo wapo kimarathon zaidi but the rest 75% ni kwa ajili ya kwenda kusaka na kusakwa niliyo yaona Moshi yanatoshaa jaman
Huo wivu, yaonekana umekosa hata wa kukusalimia so unaamua kumwaga mboga. Wacha watu wafurahie uumbaji wa Mungu Mwenye enzi yoye, Watu wanapunguza pia mastress, huwezi kila siku unakunywa coca, kunakipindi unatamani angalau ston tangawizi😎
 
Back
Top Bottom