Tufungue Ukurasa Mpya: Tujifunze siasa za Kenya. Leo Uhuru anampigia kampeni Odinga

Tufungue Ukurasa Mpya: Tujifunze siasa za Kenya. Leo Uhuru anampigia kampeni Odinga

Mbowe naye anakubalije mialiko ya ki ndezi ndezi kutoka kwa mwenyekiti ma CCM aliye mfunga?? Nadhani huu ni muda sahihi kwake kupumzika na kumuachia chama Tundu Lissu ili harakati zingine ziendelee
 
Odinga si atamlinda uhuru

Zote siasa hizo

Ova
 
Kitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.

Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.

Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.

Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.

Let’s hope for Better.
Hatuna cha kujifunza kutoka Kenya
 
Kitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.

Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.

Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.

Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.

Let’s hope for Better.
Siasa za kweli zinatazama perfomance siyo uswahiba

Hayati Mwl. Nyerere alimpigia kampeni mbunge wa upinzani Musoma miaka ya 1995 kwakuwwa alimuona ni bora kuliko wa chama chake
 
Lakini Pasco si unajua FDR franklin delano roosevelt wetu anapiga jeramba??au unajifanya haujui!!??
Mkuu RAISI AJAYE , sio najifanya sijui, kiukweli sijui!, kuna watu humu wanadhani mimi najua kila kitu, kiukweli kuna vingine, sivijui!. Mfano hata simjui FDR franklin delano roosevelt wetu!.
P
 
Kitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.

Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.

Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.

Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.

Let’s hope for Better.
Zambia na Malawi huzifanya sana; siyo mara moja ila mara nyingi tu. Mwaka 1995 Nyerere ilikuwa ampigie kampeini mgombea wa NCCR Mageuzi iwapo CCM isingemptisha Mkapa.
 
Mkuu RAISI AJAYE , sio najifanya sijui, kiukweli sijui!, kuna watu humu wanadhani mimi najua kila kitu, kiukweli kuna vingine, sivijui!. Mfano hata simjui FDR franklin delano roosevelt wetu!.
P
Wewe huijui mbingu tu Pasco!!vingi unajua Wewe!!hata kupaa umewahi kupàa ndotoni sembuse FDR!?WAKATI thread ya mwendazake kuingia kitalani ulikuja nayo humu!!!???
 
Swali ni kwamba against who ? Mbowe anaungana na Samia ina maana kuunganisha chadema na CCM, sasa against who ? Wapi demokrasia kama Chama tawala kinaungaungana na Upinzani ? Nani atahoji Serikali ? Ndiyo Siasa mnazotaka ? Yaani mapambano yote waliopigana chadema mlitaka kufika hapo ?

Kenya labda hao wameungana against upinzani sasa Mbowe anaungana na Samia against who ?
Against upinzani,usio rasmi, ndani ya CCM
 
KWA MAONI YANGU VIONGOZI WAKUU AKIWEPO RAIS WANAPASWA KUTOFUNGAMANA NA VYAMA BALI WAWE PEMBENI KUSHAURI MAMBO YA NCHI KWA UZALENDO MKUBWA NA KUSIMAMIA KATIBA YA NCHI. WASIJIHUSISHE NA VYAMA NI HATARI KWA NCHI
 
KWA MAONI YANGU VIONGOZI WAKUU AKIWEPO RAIS WANAPASWA KUTOFUNGAMANA NA VYAMA BALI WAWE PEMBENI KUSHAURI MAMBO YA NCHI KWA UZALENDO MKUBWA NA KUSIMAMIA KATIBA YA NCHI. WASIJIHUSISHE NA VYAMA NI HATARI KWA NCHI
VIONGOZI WAKUU WASTAAFU
 
Swali ni kwamba against who ? Mbowe anaungana na Samia ina maana kuunganisha chadema na CCM, sasa against who ? Wapi demokrasia kama Chama tawala kinaungaungana na Upinzani ? Nani atahoji Serikali ? Ndiyo Siasa mnazotaka ? Yaani mapambano yote waliopigana chadema mlitaka kufika hapo ?

Kenya labda hao wameungana against upinzani sasa Mbowe anaungana na Samia against who ?
Dhidi ya Sukuma Gang.
 
Back
Top Bottom