Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agiza Pepsi kubwa jirani nakuja kulipaUko sahihi. Huwezi ongelea Kenya kufanana na Tz bila kubadilisha katiba iliyopo iwe na muonekano kama wa ya Kenya. Hili liko wazi.
Asante,nimeshakunywa. Rusha kwa wakala,nakupa namba sasa hivi.Agiza Pepsi kubwa jirani nakuja kulipa
Lakini Pasco si unajua FDR franklin delano roosevelt wetu anapiga jeramba??au unajifanya haujui!!??Naunga mkono hoja, tukio la jana la kuachiliwa kwa Freeman Mbowe ni the biggest political milestone ya rais Samia.
P.
Hatuna cha kujifunza kutoka KenyaKitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.
Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.
Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.
Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.
Let’s hope for Better.
Siasa za kweli zinatazama perfomance siyo uswahibaKitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.
Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.
Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.
Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.
Let’s hope for Better.
Mkuu RAISI AJAYE , sio najifanya sijui, kiukweli sijui!, kuna watu humu wanadhani mimi najua kila kitu, kiukweli kuna vingine, sivijui!. Mfano hata simjui FDR franklin delano roosevelt wetu!.Lakini Pasco si unajua FDR franklin delano roosevelt wetu anapiga jeramba??au unajifanya haujui!!??
Zambia na Malawi huzifanya sana; siyo mara moja ila mara nyingi tu. Mwaka 1995 Nyerere ilikuwa ampigie kampeini mgombea wa NCCR Mageuzi iwapo CCM isingemptisha Mkapa.Kitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.
Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.
Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.
Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.
Let’s hope for Better.
Wewe huijui mbingu tu Pasco!!vingi unajua Wewe!!hata kupaa umewahi kupàa ndotoni sembuse FDR!?WAKATI thread ya mwendazake kuingia kitalani ulikuja nayo humu!!!???Mkuu RAISI AJAYE , sio najifanya sijui, kiukweli sijui!, kuna watu humu wanadhani mimi najua kila kitu, kiukweli kuna vingine, sivijui!. Mfano hata simjui FDR franklin delano roosevelt wetu!.
P
Against upinzani,usio rasmi, ndani ya CCMSwali ni kwamba against who ? Mbowe anaungana na Samia ina maana kuunganisha chadema na CCM, sasa against who ? Wapi demokrasia kama Chama tawala kinaungaungana na Upinzani ? Nani atahoji Serikali ? Ndiyo Siasa mnazotaka ? Yaani mapambano yote waliopigana chadema mlitaka kufika hapo ?
Kenya labda hao wameungana against upinzani sasa Mbowe anaungana na Samia against who ?
Kiukweli kabisa sijui!.Wewe huijui mbingu tu Pasco!!vingi unajua Wewe!!hata kupaa umewahi kupàa ndotoni sembuse FDR!?WAKATI thread ya mwendazake kuingia kitalani ulikuja nayo humu!!!???
VIONGOZI WAKUU WASTAAFUKWA MAONI YANGU VIONGOZI WAKUU AKIWEPO RAIS WANAPASWA KUTOFUNGAMANA NA VYAMA BALI WAWE PEMBENI KUSHAURI MAMBO YA NCHI KWA UZALENDO MKUBWA NA KUSIMAMIA KATIBA YA NCHI. WASIJIHUSISHE NA VYAMA NI HATARI KWA NCHI
Yeye yuko chama gani?Yeye anaweza kuwa tayari ila shida itakuwepo Kwa Yale mafisi ndani ya ccm.
Kwa Nini basi alimweka ndani?Naunga mkono hoja, tukio la jana la kuachiliwa kwa Freeman Mbowe ni the biggest political milestone ya rais Samia.
P.
Dhidi ya Sukuma Gang.Swali ni kwamba against who ? Mbowe anaungana na Samia ina maana kuunganisha chadema na CCM, sasa against who ? Wapi demokrasia kama Chama tawala kinaungaungana na Upinzani ? Nani atahoji Serikali ? Ndiyo Siasa mnazotaka ? Yaani mapambano yote waliopigana chadema mlitaka kufika hapo ?
Kenya labda hao wameungana against upinzani sasa Mbowe anaungana na Samia against who ?