Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
- Thread starter
- #21
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadai si mchoyo wa fadhila!
Kumbe huna lolote! Shemeji u-mwizi wa fadhila,
Fadhila huna! niliyofanya kwenu mnavyonichuna kwenu! Kuanzia Baba mkwe! Mama mkwe! Mashemeji! Takriban familia yote mnanichuna! Mnatakata! Mnabadili mboga! Mnanenepa tu! Ikiwa hapo ndiyo nimeposa tu kwenu! Lakini sijaona uliponishukuru!
Ni kweli Madame B tumetoka mbali sana aisee ingawa siku hizi umetukumbia sana hata hatukumbukani lol
Hongera sana aisee na namwomba Mungu azidi kutuweka pamoja!
Enjoy being JF Member!
Bro in law! Nisalimie Dadaangu K mimi na yeye tu-kaka na dada wa hiyari! Ntunzie dadaangu!
Asante kunitoa mwiba mguuni .
Nway hivyo umuonavyo Madame B muivo wake alivyokwiva kuna mchango wangu.
Shem kweli nakuona umekwiva hehehe...usisite ukwamapo tena kwa jambo jenginelo.
Hongera kwa kuwa nasi hapa jamvini kwa mwaka mzima...barikiwa!!!