Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

familia yangu mimi na Kipipi tunakutakia maisha marefu yenye furaha hapa jf. uendelee kuwa mtoto mwenye adabu na utii kwa watu wote. Leo ntakutafuta mitaa ya kino nikuhug kama ilivyo desturi yangu ya kuwapongeza wote wanao nijali kama wewe. mia

Asante sana mdogo wangu.
Kumbe Kipipi ndie wifi.
Asante, we njoo utanikuta.
 
Last edited by a moderator:
hongera sana my dear!
binafsi nafurahia kua nawe jukwaa
moja pia najifunza mengi toka kwako!

 
Hivi hakuna mahali nimetajwa humu!? Haya bana! Lile kumbatio la PakaJimmy nililolishuhudia pale Chumvini nalifuta kuanzia leo, na hata ile ukusukuma upite pale njia nyembamba pale Amboni aifuta, zile bata za pale Nyinda na Nyumbani hotel zoooooooooooooooooooote nazifuta! Hadi uninunulie Ndyofu!!!!

Hongera sana Madame B! Huwa nakukubali sana!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Erickb52,.........
Unakumbuka 'unjuka' wangu wa siku ya kwanza?
Ila tumetoka mbali kaka binamu, sijakutupa ni vimajukumu vya jukwaa la chini ndo mana nakuwa kwenu kwa nadra, ila ondoa hofu nyie ni wangu.
Asanteni kwa Makaribisho yenu.

Hahahaaaa
Kweli maisha yanasonga sana.
Kule nakujaga ila Kipipi kanizuia siku hizi...!
 
Last edited by a moderator:
Tunakupenda pia Madame B.................Japo wengine bado tuna miezi,duh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom