Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Hongera mdogo wangu Madame B. Nafurah na nashukuru kukufahamu kupitia JF.Sasa nimeongeza idadi ya ndugu. Najua kuwa unaelewa vile familia yenu na yangu vile zipo karibu. Mungu akubariki sana

Amina kaka.
Ni kweli Nicas Mtei sasa hivi tumeshakuwa ndugu na ni JF iliyotuunganisha.
Naomba undugu wetu uendelee daima.
Karibu nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
Ila watu wengine bana . . . .
Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!

Anyways . . . kila la kheri Madam.

He!
Kipipi ujumbe wako umenipa Shock mpenzi.
Asante mamito.
 
Last edited by a moderator:
mwaJ mamito,
Chit Chat ni Stress free zone mpenzi.
Nafurahi kusikia kuwa nimekuvuta mpaka umeingia CC.
Nakupenda sana mamito.

Nakupenda pia Madame B wewe ni mmoja ya watu wanaofanya baadhi ya majukwaa ya JF yachangamke. Mtu ukichoka na kazi za kutwa nzima unaingia JF kujipumzisha kwa kusoma comments za wadau kama nyie unafurahi siku imeenda.
 
Last edited by a moderator:
Nakupenda pia Madame B wewe ni mmoja ya watu wanaofanya baadhi ya majukwaa ya JF yachangamke. Mtu ukichoka na kazi za kutwa nzima unaingia JF kujipumzisha kwa kusoma comments za wadau kama nyie unafurahi siku imeenda.

Asante mpenzi mwaJ.
Humu kuna burudani za kila aina mpendwa.
Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Nakupenda pia Madame B wewe ni mmoja ya watu wanaofanya baadhi ya majukwaa ya JF yachangamke. Mtu ukichoka na kazi za kutwa nzima unaingia JF kujipumzisha kwa kusoma comments za wadau kama nyie unafurahi siku imeenda.

Umeona ehhh!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom