Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Asante mndee mwenzangu wa KinoClain.
Nimekumiss tu.
sosoliso asikubanebane.

hahahahaaaaaaa haya banaaaaaa nsahukuuu sana mndee
si wamwona alivyo bonge nikitaka kumtoroka napenya miguuni mwake....mpaka ageuke mie nishafika kwedikwazu!!!
 
hahahahaaaaaaa haya banaaaaaa nsahukuuu sana mndee
si wamwona alivyo bonge nikitaka kumtoroka napenya miguuni mwake....mpaka ageuke mie nishafika kwedikwazu!!!

Umeona eee.
 
Mimi nikupongeze sana Madame B kwa namna unavyoichangamsha JF hasa CC, MMU na lile jukwaa letu lileeee! lol

Kiukweli kabisa nakutakia kila lililo jema kwakuwa uwepo wako hapa JF umekuwa wa thamani na faida kubwa sana kwa members wengi. Wewe ni mtu wa watu, nyota yako inang'ara kama almasi ya mererani!! no, sorry i mean tanzanite ya mwadui!! oops, nadhani umenisoma.

btw, wapi sasa tunagonga mchupa wa 1 year anniversary?
 
Last edited by a moderator:
Madame B bishanga hakupongezi mpaka ufanye yafuatayo kisha umfuate:
1. Piga chini fasta wafuatao ( in that order): Chimbuvu tedo, Chilli, CHAI CHUNGU, Arusha one, Chibolo.... kiplagati26 huwezi kumpata ni incommunicado ana kazi maalum kenya.
2. Usingonoke nao tena si kwa vitendo tu bali pia kwa maneno na kwa mawazo
3. Weka picha yangu full time kwenye mkoba wako
4. Tumia perfume ambazo nimekununulia mimi na si nyingine
5. Hicho kimkoko uchwara alichokununulia Arushaone tupa kurrrreee,kuna rav4 brand new inakusubiri international motor mart,kaichukue
6. Tumba,marimba,magitaa,saxaphone na mazagazaga mengine ya @ chimbuvu tupa dampo
7. Mkopo uliiomba pride kau cancel,mi nna hela banaa
8. Ushoga na gfsonwin stop,siutaki,anakupeleka kwa vigagula
9. Koma kumsikiliza Mamndenyi
10. Jifunze kumenya ndizi
Ukishatimiza hayo kachukue tiketi yako klm ,kwea pipa utanikuta Amsterdam Radisson hotel
 
Last edited by a moderator:
Mimi nikupongeze sana Madame B kwa namna unavyoichangamsha JF hasa CC, MMU na lile jukwaa letu lileeee! lol

Kiukweli kabisa nakutakia kila lililo jema kwakuwa uwepo wako hapa JF umekuwa wa thamani na faida kubwa sana kwa members wengi. Wewe ni mtu wa watu, nyota yako inang'ara kama almasi ya mererani!! no, sorry i mean tanzanite ya mwadui!! oops, nadhani umenisoma.

btw, wapi sasa tunagonga mchupa wa 1 year anniversary?

Mwita Maranya my dear, nashukuru sana kwa utambuzi wako wa kujua umuhimu wangu.
Chupa nimeacha kugonga si unajua nimekuwa mlokole siku hizi.
BTW Asante sana Shemeji.

Tena umenikumbusha, ngoja niende jukwaa la chini.
 
Last edited by a moderator:
mmh! sijui ni ubize sasa kwann uzi kama huu unanipita hivi lol!
hongera mwaya mie mwenzio sikumbuki hata siku nliyojiunga mweeeh!
 
Madame B bishanga hakupongezi mpaka ufanye yafuatayo kisha umfuate:
1. Piga chini fasta wafuatao ( in that order): Chimbuvu tedo, Chilli, CHAI CHUNGU, Arusha one, Chibolo.... kiplagati26 huwezi kumpata ni incommunicado ana kazi maalum kenya.
2. Usingonoke nao tena si kwa vitendo tu bali pia kwa maneno na kwa mawazo
3. Weka picha yangu full time kwenye mkoba wako
4. Tumia perfume ambazo nimekununulia mimi na si nyingine
5. Hicho kimkoko uchwara alichokununulia Arushaone tupa kurrrreee,kuna rav4 brand new inakusubiri international motor mart,kaichukue
6. Tumba,marimba,magitaa,saxaphone na mazagazaga mengine ya @ chimbuvu tupa dampo
7. Mkopo uliiomba pride kau cancel,mi nna hela banaa
8. Ushoga na gfsonwin stop,siutaki,anakupeleka kwa vigagula
9. Koma kumsikiliza Mamndenyi
10. Jifunze kumenya ndizi
Ukishatimiza hayo kachukue tiketi yako klm ,kwea pipa utanikuta Amsterdam Radisson hotel

Dah!!!!!!!!
Bishanga, mbona wanitia majaribuni tena.
Mitihani hiyo migumu.
Afu ndio nirudiane na Ruttashobolwa au?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom