Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Tufurahi pamoja.....leo @Madame B nimetimiza mwaka Hapa JF.

Sina namna ya kuwashukuru Members wenzangu kwa jinsi mlivyoungana nami katika kufurahi pamoja katika siku hii ya kutimiza mwaka mmoja hapa JF.
Tunaomba upendo uliopo kati yetu udumu,........tunapokwaruzana basi tusameheane,.......na tunapopishana kiswahili basi turekebishane.
kwani ninaamini Hkuna Mkamilifu Chini ya Jua, sote tuna mapungufu.
KUTOKA MOYONI KABISA NAOMBA NISEME KUWA,.....NAWAPENDASAA MEMBERS WOOOOTE.
MUNGU AWABARIKI......MAISHA YENU YOOTE YA HAPA DUNIANI.
ASANTENI
.

Best Friends Forever (The BFF Song) -- A song for best friends by Bryant Oden - YouTube
 
Hongera sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Asante sana Sumu,.......sijui ulipotelea wapi jamani.
BTW Asante sana mpendwa, nawapenda wooote.
 
Last edited by a moderator:
Angalia sifa hizo.....
Sina namna ya kuwashukuru Members wenzangu kwa jinsi mlivyoungana nami katika kufurahi pamoja katika siku hii ya kutimiza mwaka mmoja hapa JF.
Tunaomba upendo uliopo kati yetu udumu,........tunapokwaruzana basi tusameheane,.......na tunapopishana kiswahili basi turekebishane.
kwani ninaamini Hkuna Mkamilifu Chini ya Jua, sote tuna mapungufu.
KUTOKA MOYONI KABISA NAOMBA NISEME KUWA,.....NAWAPENDASAA MEMBERS WOOOOTE.
MUNGU AWABARIKI......MAISHA YENU YOOTE YA HAPA DUNIANI.
ASANTENI
.

Best Friends Forever (The BFF Song) -- A song for best friends by Bryant Oden - YouTube

Hongera mpenzi wangu.Nilipojiunga JF miaka 6 iliyopita nilisubiri kwa muda wa miaka 5 hadi nilipokutana na wewe.Sikuamini kama JF ingenipatia mke.JF imelipatia taifa First Lady!

Mpenzi Madame B,My love for you will never die
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Sumu,.......sijui ulipotelea wapi jamani.
BTW Asante sana mpendwa, nawapenda wooote.

Nipo Madame B. Ninakupenda pia, unasaidia sana kuchangamsha majukwaa kwa comments/replies zako.

May God Bless You.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom