- Thread starter
- #41
Ikawaje!? Bima walikulipa!?Mm jamaa alipindua Gari yangu ntatuma wakati anaipandisha kwenye sehemu ya kuoshwa chesis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawaje!? Bima walikulipa!?Mm jamaa alipindua Gari yangu ntatuma wakati anaipandisha kwenye sehemu ya kuoshwa chesis
Sikuenda bima..nilikomaa nao nikaongeza yangu kidogo nkatengezaIkawaje!? Bima walikulipa!?
Mfano Angeua mtu unazani INGEKUWAJE?Sikuenda bima..nilikomaa nao nikaongeza yangu kidogo nkatengeza
Na muosha magari huosha akiwa barabarani?Fundi gari hutengeneza gari likiwa gereji!
Taratibu za kufungua Carwash hazilingani na za gereji!Na muosha magari huosha akiwa barabarani?
Fundi gereji pia akimaliza kutengeneza anatest gari tena kwa mbwebwe anaingia road.
Akakamate wakujaUnampangia namna ya kufanya kaz
Atakua anamiliki bedfordMkuu una miliki gari gani? Maana vitu unavyosema ni vya kawaida sana BIMA inalipa endapo dereva ni authorized na mwenye gari
Kiswahili cha mtaani broohTugutuke ndio nini Bro?
Kakudanganya nanAjali haina kinga
Hata kama watakuwa na BIMA GANI!
Sheria bado inaelekeza chombo cha usafili lazima kiendeshwe na mtu mwenye leseni ya udereva!
Bila leseni hiyo bima haina maana ni kuwapelekea ulaji watu wa bima tu.!
HAKUNA EXCUSE YA KUSOGEZA AU KUENDESHA GARI BILA LESENI!
Ikumbukwe bima inategemea taarifa za traffic, na traffic anaandika taarifa za dreva mwenye
Hapa sijui unachojaribu kubishia nimekwambia hiyo bima huwezi ikuta kwa garage ya Chini ya Mwembe na wala Carwash za kwenye mito wewe chagua urahisi upo wapi.Hata kama watakuwa na BIMA GANI!
Sheria bado inaelekeza chombo cha usafili lazima kiendeshwe na mtu mwenye leseni ya udereva!
Bila leseni hiyo bima haina maana ni kuwapelekea ulaji watu wa bima tu.!
HAKUNA EXCUSE YA KUSOGEZA AU KUENDESHA GARI BILA LESENI!
Ikumbukwe bima inategemea taarifa za traffic, na traffic anaandika taarifa za dreva mwenye leseni! Mbali na hapo umeliwa
Ni usemi wa wahenga. Tafuta kitabu cha methali angalia maana yake.Kakudanganya nan