Tuheshimu Ikulu, Tuwaheshimu viongozi wote Wateule, ni Watanzania wenzetu, Tuwaheshima kama ambavyo Baba na Mama yako anastahili heshima

Tuheshimu Ikulu, Tuwaheshimu viongozi wote Wateule, ni Watanzania wenzetu, Tuwaheshima kama ambavyo Baba na Mama yako anastahili heshima

Umewaza Kwa kutumia nn??.


Inamaana Hujui ukishakua Kiongozi ,wewe ni Jalala?

Kwahiyo unataka Kiongozi mwizi asiambiwe Kwa ukali??.

Nchi sio Familia
 
heshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.
Hiyo katiba ya huko Tanzania kwenu inawahimiza viongozi wenu wawe majizi.
"Mamlaka zilizopo kisheria" huko kwenu mmezipa mamlaka ya kuvunja sheria na katiba zilizowaweka kwenye mamlaka?

Nyinyi watu mnatumia tu maneno bila kujuwa hayo maneno yana maana gani?

Mkuu 'Gulenga', inanibidi nikariri jina lako hili; kwa sababu tokea niingie kwenye kumbi hizi za JF, pamoja na kukutana na vihiyo wa ajabu ajabu, lakini nadhani wewe utakuwa kati ya 'cream' ya aina hiyo ya watu.

Nisisahau jina tena: 'Robert S Gulenga'. Nitajitahidi kusoma na maandishi yako mengine nijue tokea umejiunga humu ; Jan. 03 2013 umechangia mawazo ya aina gani.

Nikisikia wewe ni kati ya wanufaika wa pesa haramu sitashangaa hata kidogo.
 
Heshima peleka kwa baba yako na Mama yako. Suala la nchi hatuhitaji mambo ya heshima.

Those people are paid with lot of privelege. Tunataka kuona deliverables na sio heshima. Kuna kiongozi wa kuheshimiwa TZ?

Wote wala rushwa. Wapigwe spana . Na uache huu ujinga wa heshima wakat nchi inaangamia
Siyo bure, huyu yupo kazini, lakini katumwa kazi asiyokuwa na uwezo nayo. Afaidi tu hayo mahela wanayotaanya kwa watu wasiokuwa na uwezo kama huyu.
 
Kwahiyo joe78 kama ni UMMA una haki ya kutukana watu? Una haki ya kuwasingizia watu uongo? Kufitinisha etc
Kwa kweli wewe ni boya hasa!
Kiongozi mwadilifu utamfitinisha vipi; kwanza utaanzia wapi? Wewe unadhani waTanzania ni wajinga wasiojuwa kitu?

Kiongozi mwadilifu hahitaji kutetewa kijinga kama mnavyofanya nyinyi. Ni wananchi wenyewe ndio watakaokuwa watetezi wake wakuu; siyo takataka kama nyinyi.

Nimemalizana na wewe, sina muda tena wa kupoteza kwenye mada ya kipuuzi kama hii.
 
Mambo ya aibu aibu tuu,mtu unawezaje kutukana viongozi wako na ukajihisi upo sawa tuu.
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi unayoandika ingekuwa tofauti, Watanzania wengi tudanganywa na Wanaharakati wanaoeneza uongo, uzushi, kupandikiza chuki, kupandikiza fitina na chuki kwa Watanzania.

Tuwakatae Wanaharakati ambao kusema uongo ni jadi yao, wanafaidika kea kusema uongo, Tuipende Tanzania yetu, tutaishi na kustawi hapa.

Tuwe Wazalendo, Serikali ipo, Mamlaka zipo, Tanzania iko salama, Wakenya, Wamalawi na wengine wengi wana tamani kuwa Watanzania.

Yupo mtu kazi yake akiamka yeye kutukana viongozi na familia zao, kea sababu anahisi yeye kuwa nje ya Tanzania ni tiketi ya kusema uongo, kudhalilisha watu na kusingizia uongo mkubwa viongozi- amesahau kuna Mungu wa mbinguni

Yupo Mwanasiasa yeye baada ya kuona wenzake hawamweli anataka nini, kufeli kwa michango(upigaji- maana ana ukwasi wa kutosha, kama ni uongo aweke wazi account yake ya benk- miezi kadhaa nyuma kamhamishia mtu kutoka account yake Tsh 500,000,000- kwa Sababu ya Sheria za JF sitataja bank)sasa ameanza kusema uongo na kusingizia vitu vya uongo,

Yupo mwingine huko X kazi ya ni kutukana Serikali hii toka enzi za Mwalimu, wakati baba yake amekuwa Waziri na anapata benefit zote mpaka sasa, ila kila siku ni kueneza chuki, kuchonganisha, kugombanisha, kufitinisha, kusingizia na kusema uongo ili kuwachafua viongozi na Serikali ya awamu ya sita- ajue tu anaowatukana ni Wazazi, wana familia, wana ndugu, ni Viongozi kama ambavyo aliwahi kuwa baba yake anaye mheshimu.

Ni vyema tukajifunza kukosoa kwa hoja na sio kwa matusi, kuchonganisha, kusema uongo, kudhalilisha viongozi na Serikali ya awamu ya sita, kuchochea ubaguzi etc

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Ingekuwa kama unavyotaka Mwl. Nyerere asingeikemea ikulu wakati wa rais Mwinyi, waliokuwa ndani ya ikulu walishindwa kuiheshimu kwa kufanya ujangili ndani ya ikulu!
 
Unaweza kuwaheshimu majambazi, wezi na mafisadi? Mtoa mada unaimwa wewe!

Hao ni wakutukana tu
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi unayoandika ingekuwa tofauti, Watanzania wengi tudanganywa na Wanaharakati wanaoeneza uongo, uzushi, kupandikiza chuki, kupandikiza fitina na chuki kwa Watanzania.

Tuwakatae Wanaharakati ambao kusema uongo ni jadi yao, wanafaidika kea kusema uongo, Tuipende Tanzania yetu, tutaishi na kustawi hapa.

Tuwe Wazalendo, Serikali ipo, Mamlaka zipo, Tanzania iko salama, Wakenya, Wamalawi na wengine wengi wana tamani kuwa Watanzania.

Yupo mtu kazi yake akiamka yeye kutukana viongozi na familia zao, kea sababu anahisi yeye kuwa nje ya Tanzania ni tiketi ya kusema uongo, kudhalilisha watu na kusingizia uongo mkubwa viongozi- amesahau kuna Mungu wa mbinguni

Yupo Mwanasiasa yeye baada ya kuona wenzake hawamweli anataka nini, kufeli kwa michango(upigaji- maana ana ukwasi wa kutosha, kama ni uongo aweke wazi account yake ya benk- miezi kadhaa nyuma kamhamishia mtu kutoka account yake Tsh 500,000,000- kwa Sababu ya Sheria za JF sitataja bank)sasa ameanza kusema uongo na kusingizia vitu vya uongo,

Yupo mwingine huko X kazi ya ni kutukana Serikali hii toka enzi za Mwalimu, wakati baba yake amekuwa Waziri na anapata benefit zote mpaka sasa, ila kila siku ni kueneza chuki, kuchonganisha, kugombanisha, kufitinisha, kusingizia na kusema uongo ili kuwachafua viongozi na Serikali ya awamu ya sita- ajue tu anaowatukana ni Wazazi, wana familia, wana ndugu, ni Viongozi kama ambavyo aliwahi kuwa baba yake anaye mheshimu.

Ni vyema tukajifunza kukosoa kwa hoja na sio kwa matusi, kuchonganisha, kusema uongo, kudhalilisha viongozi na Serikali ya awamu ya sita, kuchochea ubaguzi etc

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

MWAL. J.K NYERERE IKULU NI PAHALI PATAKATIFU​


View: https://www.youtube.com/watch?v=wPSzAWkKj7I&ab_channel=BLUESKYTV
 
Huo ni mtazamo wako, naheshimu maoni yako, hujavunja sheria na wala hujatukana, japo sijui kama unaza thibitisha hicho unachokisema kuhusu kura Gulwa
Ni kama vile usivyoweza kuthibitisha kuwa baba yako mzazi ndiye baba kwani hukuwepo wakati ankuzaa ila unajua kuwa ndiye
 
Kama hutaki kukosolewa au kuoneshwa namna ya kuenenda au kusahihishwa isipelekwe pua yako ofisi za umma wewe oa wake wengi uwezavyo zaa watoto iwezavyo funga na fensi halafu anzisha sheria zako za kuheshimiwa humo ndani nakuhakikishia hutamsikia Lissu wala Mbowe akikutaja lakini ukiingia ofisi za umma haiwezekani watu 60m+ wakunyamazie, shetani anapingwa mbaya zaidi HATA MUUMBA ANAPINGWA iweje hawa wanaoingia BAFUNI wasipingwe?
 
Ni kweli Duniani kote mawazo tofauti kutoka kwa watu ni Muhimu, wala haijawahi tokea Tanzania ipate uluru kuna mtu amekataza kutoa mawazo, ninacho kisema ni uzuzu kutukana Viongozi, kusingizia, kuwadhalilisha, kutweza heshima yao kwa kisingizio cha Uhuru wa kutoa maoni MastaKiraka
Taja matusi wanayotukanwa viongozi,kumbuka tusi ni kosa la jinai
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi unayoandika ingekuwa tofauti, Watanzania wengi tudanganywa na Wanaharakati wanaoeneza uongo, uzushi, kupandikiza chuki, kupandikiza fitina na chuki kwa Watanzania.

Tuwakatae Wanaharakati ambao kusema uongo ni jadi yao, wanafaidika kea kusema uongo, Tuipende Tanzania yetu, tutaishi na kustawi hapa.

Tuwe Wazalendo, Serikali ipo, Mamlaka zipo, Tanzania iko salama, Wakenya, Wamalawi na wengine wengi wana tamani kuwa Watanzania.

Yupo mtu kazi yake akiamka yeye kutukana viongozi na familia zao, kea sababu anahisi yeye kuwa nje ya Tanzania ni tiketi ya kusema uongo, kudhalilisha watu na kusingizia uongo mkubwa viongozi- amesahau kuna Mungu wa mbinguni

Yupo Mwanasiasa yeye baada ya kuona wenzake hawamweli anataka nini, kufeli kwa michango(upigaji- maana ana ukwasi wa kutosha, kama ni uongo aweke wazi account yake ya benk- miezi kadhaa nyuma kamhamishia mtu kutoka account yake Tsh 500,000,000- kwa Sababu ya Sheria za JF sitataja bank)sasa ameanza kusema uongo na kusingizia vitu vya uongo,

Yupo mwingine huko X kazi ya ni kutukana Serikali hii toka enzi za Mwalimu, wakati baba yake amekuwa Waziri na anapata benefit zote mpaka sasa, ila kila siku ni kueneza chuki, kuchonganisha, kugombanisha, kufitinisha, kusingizia na kusema uongo ili kuwachafua viongozi na Serikali ya awamu ya sita- ajue tu anaowatukana ni Wazazi, wana familia, wana ndugu, ni Viongozi kama ambavyo aliwahi kuwa baba yake anaye mheshimu.

Ni vyema tukajifunza kukosoa kwa hoja na sio kwa matusi, kuchonganisha, kusema uongo, kudhalilisha viongozi na Serikali ya awamu ya sita, kuchochea ubaguzi etc

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Unamatatizo sio bure. Eti watanzania tunadanganywa na wanaharakati, kwani hatuna macho, hatuoni?
Hujawahi sikia kauli ya ' mtu mzima ovyo?
Usitegemee ukubwa ukupe heshima.
Heshimu uheshimiwe.
Hakuna heshima ya lazima.
Mwizi unamheshimu vp?
Muongo unamheshimu vp?
Asiyejali unamheshimu vp?
Tukiacha unafiki tutafika mbali sana!
Mleta mada wewe ni mnafiki.
 
Ni kweli ulichoandika!

Lakini sababu kuu ni kukosa ajira na msongo wa mawazo ndio vinawasumbua wengi has vijana!!

Swira aliekatwa mkia hugonga chochote kilicho mbele yake!!

Tufanye mapema kuokoa janga Hilo kabla keyboard warriors hawajawa road warriors na kuleta vurugu na tafrani Kwa taifa!!

Nafikiri
Na ili hili taifa liokoke na lipige hatua keyboard warriors wanatakiwa wawe road warriors.
Huko ukosevu mkubwa wa ajira chanzo ni sera mbovu ya hao viongozi wapumbavu.
Kwanini muwatetee!?
 
Maviongozi yenyewe poyoyo tu hamna kitu kuchwani, tuyaheshimu kwa lipi hasa sasa?!.
 
Inayokopa ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkuu huoni miradi ya Afya na miundo mbinu yake huko mtaani? Miradi ya Elimu, barabara, Etc
Pesa zinazokopwa haziendani na hiyo miradi.
Pesa ni nyingi mara kumi ya hivyo vimradi.
Ndani ya miaka 3-4 kakopa usawia wa watangulizi wake wote,pesa zote hizo kapeleka wapi!?
Embu jua hata mahesabu madogo basi.
Juzi katoka S.Korea kukopa Trillion 6 sasa hivi anaomba pesa China Exim bank.
Nambie hizo T6 peke yake anazimalizia katika nini?
Jumlisha na mikopo ya nyuma.
 
Ukitaka kueshimiwa jiheshim kwanza, yani upore, mabaya yote uwafanyie binadam wenzako alafu unasema upewe heshima ,bora watu bado wanawastahi ,ipo siju watu watukuja kuchapwa viboko adhalani , watu wanafanya uhuni mpaka wanapitiliza ila at wanataka heshima
Ujinga ni mzigo mod hoja za kipumbavu futilia mbali , nami mnifutilia nyingi ila sijalalamika ,machawaa wanaliangamiza taifa
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi unayoandika ingekuwa tofauti, Watanzania wengi tudanganywa na Wanaharakati wanaoeneza uongo, uzushi, kupandikiza chuki, kupandikiza fitina na chuki kwa Watanzania.

Tuwakatae Wanaharakati ambao kusema uongo ni jadi yao, wanafaidika kea kusema uongo, Tuipende Tanzania yetu, tutaishi na kustawi hapa.

Tuwe Wazalendo, Serikali ipo, Mamlaka zipo, Tanzania iko salama, Wakenya, Wamalawi na wengine wengi wana tamani kuwa Watanzania.

Yupo mtu kazi yake akiamka yeye kutukana viongozi na familia zao, kea sababu anahisi yeye kuwa nje ya Tanzania ni tiketi ya kusema uongo, kudhalilisha watu na kusingizia uongo mkubwa viongozi- amesahau kuna Mungu wa mbinguni

Yupo Mwanasiasa yeye baada ya kuona wenzake hawamweli anataka nini, kufeli kwa michango(upigaji- maana ana ukwasi wa kutosha, kama ni uongo aweke wazi account yake ya benk- miezi kadhaa nyuma kamhamishia mtu kutoka account yake Tsh 500,000,000- kwa Sababu ya Sheria za JF sitataja bank)sasa ameanza kusema uongo na kusingizia vitu vya uongo,

Yupo mwingine huko X kazi ya ni kutukana Serikali hii toka enzi za Mwalimu, wakati baba yake amekuwa Waziri na anapata benefit zote mpaka sasa, ila kila siku ni kueneza chuki, kuchonganisha, kugombanisha, kufitinisha, kusingizia na kusema uongo ili kuwachafua viongozi na Serikali ya awamu ya sita- ajue tu anaowatukana ni Wazazi, wana familia, wana ndugu, ni Viongozi kama ambavyo aliwahi kuwa baba yake anaye mheshimu.

Ni vyema tukajifunza kukosoa kwa hoja na sio kwa matusi, kuchonganisha, kusema uongo, kudhalilisha viongozi na Serikali ya awamu ya sita, kuchochea ubaguzi etc

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Ukisikia busara za hovyo ndio hizi,
Kwanza hawa viongozi sio wazazi wetu,baba wala mama, hawa ni watumishi wetu, tumewaajili, tunahaki ya kuwaonyesha hasira zetu pale wanapoboronga! Mkuu hebu fikiria, Mkuu wa mkoa analawiti kijana kwenye gari,mamlaka zilizopo juu, zinajaribu kuficha hii skendo, inashindikana, wanamtumbua tu! Imagine aliyelawitiwa angekuwa mtoto wako wa kiume! Ametatuliwa malinda! Ungekuja na hizi porojo zako za kutaka tuwaheshimu?
Wao tu hawaheshimu pesa zetu, umeishona wakiwa kwenye foreni wanavyotufanyia fujo?harafu unakuja hapa unabana put, eti tuwaheshimu!wapo tuliowatukuza, Sokoine,Kawawa(baba, sio, watoto wake, hawa ni, majizi tu),
Wao, inabidi watuheshimu kwanza sisi
 
Back
Top Bottom