Tuheshimu Ikulu, Tuwaheshimu viongozi wote Wateule, ni Watanzania wenzetu, Tuwaheshima kama ambavyo Baba na Mama yako anastahili heshima

Ndio maaana kuna viongozi wanasimamishwa, kuna wanaopelekwa mahakamani, kifupi Tanzania kuna Utawala unafuata, Sheria, haki ,utu na demokrasia, ndio maana hata ukitaka kuandamana unapewa mpaka police wakulinde
Tusimamie kwenye heshima,, kuwaona wenzako pia ni binadamu wanaohitaji fair treatment kama wao, . Wanatukosea sana, wanaoheshimu watu wataheshimiwa ,ila wasioheshimu na wao hawataheshimiwa.
 
mafisadi hawana sehemu ya kuheshimiwa
 
Katiba yenyewe waliyoitunga hawatuheshimu alafu tunamheshimuje mtu anayetumia pesa nyiiingi kutuhudumia ujinga?
Kukiwa na viongozi wanaotumia mabilioni yapesa zetu kutuhudumia ujinga ujinga tutamheshimu vipi wakati yeye hatuheshimu.
Wewe mwalimu achukuwe kwako milioni kumi kwa mwezi alafu mwanao mdoogo alishwe kande mbichi,ashindishwe njaa,asomee chini yamti,apewe makazi yausafi shule,afundishwe ujinga nk. utamheshimu huyo mwalimu?
Akitokea mpumbafu anakwambia mweshimu kwakuwa huyo ni mwalimu utaacha kumtukana huyo mpuuzi?
 
sijasoma ila ukiwa chini na ukawa kiongozi mwizi hovyo unakula shaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…