Tuheshimu maeneo ya vyakula, ikiwezekana iwepo kanuni ya kuyaheshimu mazingira yanayotoa huduma za vyakula

Tuheshimu maeneo ya vyakula, ikiwezekana iwepo kanuni ya kuyaheshimu mazingira yanayotoa huduma za vyakula

antanarivo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
450
Reaction score
883
#Utadaije tume huru badala ya kubadili mfumo wa ELIMU uliopo?

Point yangu ipo hapa:

Utakuta mtu ametoka job huko hata kunawa hajanawa anaingia kwenye mgahawa ambamo watu wanapata chakula huku akitoka jasho na matope mwili Mzima ,hatukatai unafanya kazi umeshindwa hata kunawa kwenye bomba ndo uingie kupata chakula?

Sasa kisa kuna Uhuru wa kuingia na kutoka ndo uje na matope na jasho bichi kweli huku uko peku miguu Ina tope tupu? Tujitahidi wakuu heshimuni biashara za watu na wateja wengine
 
Wawekee sehemu ya kunawia hapo nje kabla ya kuingia mgahawani; kwa sababu ukiwakaripia hutouza, na wewe unataka hela.
 
hiyo ni shida wa wenye mgahawa, lazima wajali afya za wateja wao,
 
wew na mgahawa wako usitusamange,

unaijua njaa wewe?
 
Mimi nikikuta mtu anaandaa chakula halafu ana stiki ya kujichokonolea mdomoni sili chakula hicho hata niwe na njaa gani.
 
vitu vingine ni busara tu hekima za mtu.

mtu kama huyo ni kakosa busara. ni kama unaenda kupata huduma then mpaka uanze kumshika shika mhudumu bila ridhaa yake.
 
Back
Top Bottom