Tuheshimu mila za watu

Kama inatumia sharia, iweje serekali ya Zanzibar Leo itoke kuonyesha unyanyasaji sio sahihi?
Hiyo barua ni ya kuzuga tu, serikali ndiyo inayokamata wanaokula mchana na ndio imewapiga faini kampuni ya utalii.

Ukiisoma vizuri hiyo barua haikemei chochote.
 
Well said
"Truth is like a lion, you don't have to defend it, it will defend itself"
 
Nenda india kachinje ngombe hazarini halafu useme india ya wtu wte uwone nn kitacho kutokea
Hii chuki zidi ya znz haina mana ila kuamua tu kuheshim imani za wgn na nyny imani znu zitahishimiwa, mkiheshim tamaduni za wgn na tamaduni znu zitahesimiwa bila ya shida, msilazimishe wtu ujinga ambao hauna mana bali kutumia akili tu.
 
Zanzibar ni ya Wazanzibari wa Tanganyika acheni kujitoa ufahamu
Tumeungana tukazaa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA Jamhuri ambayo ni Secular ila Wananchi wake wana Dini mbalimbali na wengine hawana Dini kwa maana 'Organised Religion' wanaabudu Mizimu na wengine ndio hawana Dini kabisaa.

Ndio maana Mtu kutika Visiwani Pemba anaweza kuja Bara akajenga Msikiti na kuelekezea Spika Dirisha langu na mimi nikamvumilia.

Namimi nataka niende Visiwani nikaogelee nikichoka nitoe Bapa langu la Konyagi au Balimi ya Baridi nishishie na Samaki wa kubanika.
 
Waizrael wakiwachapa Hawa washenzi Kuna wakristo wanakuja mbio mbio kuwatetea.

Hawafai hata kidogo! Wanachuki ya ajabu sijawahi kuona, wema wanataka watendewe wao tu lkn sio wao kutenda wema.
 
Kila nchi ina silk na tamaduni zk
Si vzr ktu usicho kijua undani wk ukajibu husasan maswala ya imani mana utakachokisema hakifanan na ulaisia bora ukauliza tu tujifunze kuvumilian na kujua mipaka ya kiiman kwa wngne
 
Ndio maana mmaishia kubaguliwa na kuchapwa mboko mkiwa kule Zanzibar kwa tabia zenu za ovyo 😂
 
Kumbuka tu znz wana serikali yao wana katiba yao wana sheria zao wana haki ya kujiwekea sheria au utaratibu wowote wanaona wao kua unawafaa
 
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Mashallah habibi bandiko zuri sana. Baadhi ya ndugu zetu Watanzania bara huwa wanatabia ya popote waingiapo hupenda kubadilisha tamaduni ya eneo hilo zifanane na kule kwao wanapotoka(Sio wote). Wanachojisahaulisha ni kuwa ukiingia kwa watu fata ya wenyeji wako ya kwako utayafanya ukiwa kwako.
 
Mkuu ningekuwa na majina wa yale waliomchapa huyu mtu ninge watag hapa.. tatizo nikwambwa unajufanya mgumu mbele ya chai, ukiona mkate chali
 
Mambo ya Mila na tamaduni ni mambo ya hiari kuelimishana,

Hilo Si jambo la kisheria,

Huyo polisi lazima afuate Sheria na PGO, akiulizwa unampiga mtu huyu Kwa kosa lipi kisheria, hawezi kuficha kwenye tamaduni.

By the way, hao wananchi wanaopiga wengine katikati ya mfungo ni magaidi, ndio wale walioingia Kanisa Katoliki na kuharibu Mali ya Kanisa Kisha wakasingizia ni wagonjwa wa akili, hao Si waislamu hao, Wala Hawajafunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…