Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Kwenye social media mbalimbali hawa Vita wanaeneza tuhuma na wanadai wametuma malalamiko CAF,kwamba Kwenye vyumba vya kubadilishia nguo Simba wame spray sumu.
Lakini kwanini malalamiko iwe baada ya mechi kuisha?
Hivi CUF haina wachunguzi wa kuhakiki vyumba kabla wachezaji wa kigeni hawajaingia?
Hawa majamaa hizo mask zao walijiandaa mda gani na kwanini wasigome Kwenye hatua za mwanzo.
Hawajaingia kwenye chumba cha kubadili nguo wakakaa Kwenye corido, hizo mbinu nani aliwapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kwanini malalamiko iwe baada ya mechi kuisha?
Hivi CUF haina wachunguzi wa kuhakiki vyumba kabla wachezaji wa kigeni hawajaingia?
Hawa majamaa hizo mask zao walijiandaa mda gani na kwanini wasigome Kwenye hatua za mwanzo.
Hawajaingia kwenye chumba cha kubadili nguo wakakaa Kwenye corido, hizo mbinu nani aliwapa?
Sent using Jamii Forums mobile app