Tuhuma inayoharibu future kwa maumivu makubwa. Je, Serikali ina la kujifunza?


Jeshi la Polisi na Maafisa Upelelezi kwa ujumla ni muda sasa wa kubadilika na kuanza kutumia njia za kisasa zaidi na teknolojia ya hali ya juu kwenye matukio kama haya. Hili kuondoa makando kando na haki kupatikana kati ya watuhumiwa na kuisaidia mahakama kufanya maamuzi sahihi kwenye kesi husika.

📌No One Is Above The Law.
 
Mbowe ni gaidi kaz yake kuitisha maandamano alaf yeye anakimbia mwsho akamsababishia kifo aquelina huk yeye ametoka nduki ngoja akaekae ndan maana Hana ustaarabu
 
Katiba mpya inaweza kuwa suluhu ya haya yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…