Tuhuma za Askofu Josephat Mwingira zimehanikiza umuhimu wa kuundwa haraka kwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Taifa

Unakurupuka tu kusema ni awamu ya tano, unajua hizo mali zake ziliharibiwa mwaka gani?

Mkiwa waongo muwe na kumbukumbu nzuri...Maana naona kila muovu anatamani uovu wake utumike kuisulubu awamu ya tano iliyowaweka hafharani waovu wengi....
 
Kama ulidhulumiwa nenda mahaka mani taja wahusika walio kudhulumu ama kukutisha weka ushahidi wako sheria ichukue mkondowake, sio kuombaomba tensions nchi nzimaisimame kwa sababu za maneno ya kusikia tumieni akili kidogo.
Were ndio utumie akili kama ingekuwa uongo hiyo tension ya Nchi nzima ingetoka wapi?
Halafu bila aibu unasema aende Mahakama,huku unajua fika Mahakama za Tanzania zimetawaliwa na siasa za CCM.
 
Yani huoni aibu kusema kwamba Mbowe anawafuasi walikuwa wanajiuza kwa chakubanga.?

Ndio mnataka kuwa mbadala wa ccm? My foot!
 
Unakurupuka tu kusema ni awamu ya tano, unajua hizo mali zake ziliharibiwa mwaka gani?

Mkiwa waongo muwe na kumbukumbu nzuri...Maana naona kila muovu anatamani uovu wake utumike kuisulubu awamu ya tano iliyowaweka hafharani waovu wengi....
Watu kama nyie ndio mnafanya hii Nchi haindelei,mnatetea mpaka mashudu.

Samia mwenyewe anajua utawala wa basi wake ulikuwa wa unyang'anyi,halafu wewe uliyopo matumbi unabisha kwa hiyo unabishana na maneno ya SAMIA au??
 
Watu kama nyie ndio mnafanya hii Nchi haindelei,mnatetea mpaka mashudu.

Samia mwenyewe anajua utawala wa basi wake ulikuwa wa unyang'anyi,halafu wewe uliyopo matumbi unabisha kwa hiyo unabishana na maneno ya SAMIA au??
Kwahiyo?
 

Walinzi Wa Nabii Mwingira Wakata Masikio Wananchi Rukwa Shamba la Milonje!!!!
 

Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu
 

Wananchi wavamia shamba la Nabii Josephati Mwingira Break Throw Mapinga
 
Haa yote yametokea miaka ya 2011 mpaka 2013,halafu aje mtu hapa aseme Nabii fake anaonewa,mtumishi wa mungu unatembea na walinzi unaogopa kudhuriwa na nani kama uko clean huna makandokando ya kuzaa na wake za watu,kudhurumu mashamba ya watu
 
Watu kama nyie ndio mnafanya hii Nchi haindelei,mnatetea mpaka mashudu.

Samia mwenyewe anajua utawala wa basi wake ulikuwa wa unyang'anyi,halafu wewe uliyopo matumbi unabisha kwa hiyo unabishana na maneno ya SAMIA au??
Kwahiyo?
 
Magufuli alikuwa mwovu ila alijificha kwenye kivuli cha dini
Kama ni wateule wake walikuwa wanafanya maovu na yeye analikalia kimya maana yake yeye ndio kawatuma
 
Yani huoni aibu kusema kwamba Mbowe anawafuasi walikuwa wanajiuza kwa chakubanga.?

Ndio mnataka kuwa mbadala wa ccm?
Uwezo wako wa kuelewa masuala ni mdogo sana! Kama siyo mbowe na chadema huna polite unaloweza kujadili wewe.
Sana utatukana tu
 
Ilishindikana vipi kumfungulia mashtaka badala ya kutaka kumuua?
 
Wewe unamwamini Mwingira?
Siyo suala la kuamini au kutomwamini mtu...

Ukiniuliza swali hili Mimi, nami naweza kukuuliza pia; Kwanini wewe usimwamini Mwingira na kuamini waliorushiwa tuhuma ni wasafi...?

Tutane mezani, kila mtu aseme grievances zake ili waamuzi waamue namna ya kusuluhishana...

Huu ndiyo uungwana..
 
Hii tabia itaendelea kujitokeza ,watu kutoa shutuma dhidi ya serikali iliyopita .
Kwa ajili ya kujipatia umaarufu .
Ni siasa zisizokuwa na mantiki Kwa taifa..
Tunatakiwa tuwe na siasa za kusema kwel.
Na sio umalaya wa kisiasa

Wewe nawe unawaza mambo ya umaarufu ili iweje..?

Huyu Askofu Mwingira atafute umaarufu gani zaidi ya huo alionao.?

Kwa taarifa yako, huyu ni maarufu ktk Ufalme wa Mbinguni/Mungu na hapa duniani tayari...!!
 
Wewe unamwamini Mwingira?
Labda tuseme hatumuamini Mwingira Je Tundu Lissu aliyepigwa risasi hadharani Hiyo imekaaje?Na walipotezwa ambao mpaka Leo hatujui wako au la Hilo nalo limekaaje?
Jukumu la kulinda raia wa nchi yeyote ni la kiongozi wa nchi ambaye ni amiri jeshi Mkuu.Sasa ikitokea raia wamepotea,wameuwawa au kupigwa risasi ,raisi anatakiwa kubeba hizi lawana zote!
 
Mwingira alichofanya ni kusemea watu wengi....kuna wengine hawakupata bahati kunusurika kuuawa, waliuawa kabisa. Kama mbunge kama Tundu Lissu alipigwa mchana wa saa 7 hadharani, wangapi wasiojulikana waliuawa? Tutasikia mengi sana
Ni kweli kabisa na nimelifafanua hili in kwa kina ktk hoja kuu hapo juu...

Ni wengi mno ambao wanawakilishwa na sauti ya Bishop Mwingira...

Ndiyo maana kuna umuhimu wa kukaa chini, tukaridhiana na kusameheheana na wanaostahili kufidiwa wafidiwe kisha twende mbele kwa pamoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…