Tuhuma za Askofu Josephat Mwingira zimehanikiza umuhimu wa kuundwa haraka kwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Taifa

Tuhuma za Askofu Josephat Mwingira zimehanikiza umuhimu wa kuundwa haraka kwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Taifa

Jinga kweli, mahakama zipi? Hizi za akina tiganga? Majaji na mahakimu wanaotoa maamuzi au hukumu kwa kufuata maelekezo toka juu? This is a shithole country.
Jinga niwewe unae shangilia mahakama hiyohiyo inapotoa hukumu kwa watu tofauti tofauti.
Kwa sabaya hakiimetendeka, kwa mwenyekiti, maelekezo toka juu.
 
🤣🤣🤣 Pumbavu sana wewe,hahahaaa

Mnapiga vigelegele kushangilia hukumu ya sabbaya, mnadhani hukumu ilitolewa na mahakama ya nchigani.
Alafu hukumu ikiwaface nyie mnaona mnaonewa na kuanza kubeza sio.
Upumbavu ni kumlinganisha jambazi Sabaya na Mtu muunguwana! Mambo ya Rau Madukani na uporaji wa kutumia silaha, ni mbali mbali! Anyway, kwa upande wa inzi wa kijani, mnafikiri mna-equalize kwa Mbowe, kwa kilicho mpata mjane mwenzenu Sabaya, kumbe mnazidi kujipaka mavi tu!
 
Naona unafikiri mimi ni wa kubahatisha, pitia nyuzi zangu zote kuhusu ujio wa Lowassa ndani ya CDM. Nilisema kabisa kuwa Lowassa alitoa pesa kwa viongozi wa CDM chini ya Mbowe, wakafanya maamuzi ya kipuuzi kabisa kumpa nafasi ya kugombea kupitia CDM, wakati hakuwa na imani, wala hatakuwa na imani au mapenzi na CDM. Na kama ni pesa viongozi wote hutoa kwa makundi ya wapambe wao ili kuwasadia kwenye propaganda na kampeni. Ukimtoa Nyerere, ni kiongozi gani aliwahi kuwa muadilifu, kiasi kwamba ushangae Lowassa kupewa nchi?

Inaonekana ukiongea kwa kupanick utafanikiwa kututoa kwenye hoja yetu ya maridhiano. Ukweli mchungu ni kuwa Magufuli alikuwa rais muovu, na hakustahili kukalia kiti cha urais, bali alipaswa kuishia kwenye uwaziri mkuu, kwani hakuwa na busara ya kiti cha urais. Kwahiyo usitake kuongea kwa jazba na kuchanganya changanya sijui Lowassa, sijui serekali iache kazi zake as if serikali ina watu special sana, kiasi kwamba hawana muda na kushughulikia ukweli wa uovu ule.

Kinachowafanya muuongee kwa jazba ni ukweli wa uovu wa Magufuli kuwekwa hadharani, hivyo muushughukie ili tupate maridhiano au muache hilo mtajua nyie, lakini hamuwezi kuzuia sisi kusema ukweli wa uovu u
"Nilisema kabisa kuwa Lowassa alitoa pesa kwa viongozi wa CDM chini ya Mbowe, wakafanya maamuzi ya kipuuzi kabisa kumpa nafasi ya kugombea kupitia CDM"

"Ukimtoa Nyerere, ni kiongozi gani aliwahi kuwa muadilifu, kiasi kwamba ushangae Lowassa kupewa nchi?"

Soma izo paragraph zako mbili hapo alafu uniambie kama mlifanya maridhiano kwenye chamachenu baada ya huo udicteta wa kumuingiza huyo lowasa kwa nguvu.

In short, kulingana na kazi alizozifanya magu kwa kipindi kifupi sana,kumchafua inabidi ujitoeakili kwanza kama mnavyo fanya humu.
Na kimsingi mmesha kwama sababu kazizake zinajieleza zenyewe na nyinyi ni madebe matupu.

Sasa mnajifanya mnatiahuruma kuomba muombwe msamaha.
Shame on you guys.
Hakuna mtu atakaesikiliza huo upuuzi wenu.
Kama mmetumwa waambieni tu jamaazenu warudi home tu,hakuna platform itakayo wabeba kuwarudisha hapa.
Warudi tu, kama walivyoondoka.
 
Kiongozi wa makanisa ya Efatha Ministries Tanzania Nabii, Mtume na Askofu Josephat Mwingira amezua taharuki na mjadala mkubwa ktk vyombo vya habari TV, redio na social media kwa sababu ya mahubiri yake ya Jana Jumapili kanisani kwake...

Baadhi ya watu na wengine viongozi wa serikali kabisa wamedai alichokiongea Askofu Mwingira ni UCHOCHEZI kwa wananchi ili watu waichukie serikali yao...!

Wengine wamefika mbali na kuiomba serikali ichukue hatua za kisheria dhidi ya vyombo vya habari i.e redio, TV, magazeti, YouTube channels zilizosaidia kurusha matangazo hayo ikibidi vinyang'anywe leseni, vifungiwe au vionywe...

Haieleweki specific ni kwa kigezo kipi hasa vyombo hivi vifungiwe kwa sababu Askofu Mwingira yupo na kasema hayo kwa uwazi na mchana kweupe mbele ya camera za TV huku dunia nzima ikisikia na kuona...

Hii maana yake ni kuwa, kama kuna mtu ikiwemo serikali yenyewe inahisi madai au tuhuma za Askofu huyu dhidi ya serikali ni za uongo, ni obviously kuwa wanapaswa kutumia njia sahihi za kisheria kumtaka mtu huyu athibitishe...

Na maana yake ni kuwa, kama huyu alisimama hadharani kusema haya, pia anaweza kusimama na kijitetea mwenyewe hadharani....

Maswali ni haya: Kwanza kama ni kweli serikali itafanya mini? Pili, ni kwanini mnataka waadhibiwe wasiohusika...?

Kwa maoni yangu, nadhani hoja iwe ni KWELI au SIYO KWELI yaliyosemwa na huyu askofu...?

Kwa ufupi sana ni kuwa, ameituhumu serikali ya awamu ya 5 chini ya aliyekuwa Rais Hayati John P. Magufuli kuwa;

1. Kwa kutumia ile "Task Force" chini ya vijana wake maarufu kama "wasiojulikana" ilifanya majaribio ya kumuua mara 3 lakini ikashindwa...

2. Ilifanikiwa kuua baadhi ya watu wake askofu wa karibu sana...

3. Ilikuwa inataka kumfungulia mashitaka mabaya yasiyo na dhamana kwa kuwatumia watu wake wa karibu sana...

4. Ilipora na kuharibu mali zake zenye thamani ya TZS 10bn...

5. Ilifunga biashara zake ikiwemo benki kwa sababu ambazo hazijulikani mpaka leo...

Kwa vipimo vyote, hizi ni tuhuma mbaya kwa serikali inayopaswa kuwa kinara wa kufuata na kusimamia sheria na katiba ili kulinda haki za raia wake. Hii ndiyo sababu kubwa ya taharuki hii...

Hii sasa inanileta kwenye hoja kuu ya mada yangu. Yaani umuhimu wa kuundwa kwa Tume ya Haki na Maridhiano ya Kitaifa (The National Rights & Reconcilition Commission) ili kila mwenye malalamiko ya kutendewa vibaya kwa namna yoyote na serikali ya Rais Mgufuli (marehemu) apeleke malalamiko yake huko na kisha hatua zichukuliwe kwa njia sahihi na za amani ikiwemo kusameheana na kusonga mbele wote kwa pamoja kama taifa...

Labda tutakuwa tumesahau tu. Lakini ukweli ni kwamba, wapo wengi wenye malalamiko na tuhuma kama za Askofu Mwingira....

Walianza kina Freeman Mbowe, Manji, Mo Dewji, Anthony Diallo, Tundu Lissu, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi (Sugu), wafanyakazi wa umma, wafanyabiashara nk...

Ya akina Askofu Mwingira yana - hit kwa sbb ni mtu maarufu na ametumia chombo chake cha habari (Trenet TV kama sijakosea)...

Na ofcoz baadhi ya viongozi wametaharuki kwa sababu ya namna alivyosema, njia aliyotumia na namna lilivyosambaa, kupokelewa na kupata reaction ya kasi na kubwa kwa jamii...

Sasa Askofu Mwingira anataka kuumiza hata wasiohusika kwa kisingizio cha "UCHOCHEZI" kiasi cha serikali kuanza kufikiri kuvichukulia hatua vyombo vya habari vilivyoichukua habari hiyo, kuiandika, kuitangaza au kuandika kwenye magazeti...

Hii siyo sawa wala haki kwa sababu haitaondoa tatizo bali itaendelea kulifanya kuwa kubwa na complicated zaidi. Iko njia nzuri na salama kushughulika na malalamiko ya watu kama Askofu Mwingira ambao kiukweli wapo wengi maelfu...

Njia hiyo ni kukubali kuwa LIPO TATIZO LA CHUKI NA MGAWANYIKO KATIKA JAMII yetu lililosababishwa na serikali iliyoongozwa na Hayati John P. Magufuli...

Tukishakubali (kutubu na kukiri) kuwa tulikosea na tuna tatizo, kisha tukae chini na kufikiria njia njema ya kurekebisha ili twende mbele wote kwa pamoja kama nchi...

So far, by now, hatuwezi kuzuia watu kusema na kutoa madukuduku yao ya mayoni kuhusu serikali yao kwa namna yoyote na kwa njia zozote wanazoona wao zinafaa bila kuvunja sheria. Bishop Mwingira hajavunja sheria yoyote kusema makosa ya serikali ya Magufuli...

Jambo la muhimu ni kuwa, watu hao wahakikishe kuwa madai au malalamiko yao au tuhuma zao lazima ingalau ziwe na uthibitisho na siyo propaganda tu au chuki binafsi tu...

Haya yanaweza kufanyika vyema iwapo tu, sisi wote kama taifa tutakuwa na UTASHI na NIA safi ktk mioyo na nafsi zetu ya kutengeneza mahusiano yetu...

Kama UTASHI na NIA hii IPO, hakutakuwa na ugumu wa kuundwa kwa TUME YA HAKI NA MARIDHINO YA KITAIFA..

Mungu katika Kristo Yesu awabariki wote mtakaosoma haya. Amina...
Maneno meeengi hamna hoja nzito hata moja. Mwingira mhuni tu. Mali za Billioni 10 atoe wapi? Ana tofauti gani na Gwajima aliedai kununua treni? Wote wahuni tu
 
Maneno meeengi hamna hoja nzito hata moja. Mwingira mhuni tu. Mali za Billioni 10 atoe wapi? Ana tofauti gani na Gwajima aliedai kununua treni? Wote wahuni tu
Uliujua mtaji wa benki ya Efatha?Mashamba?Vifaa?Fedha taslimu zulizoporwa?Tikisa mbichw huo uupate ukweli.Acha fikra za kilofa.
 

Upumbavu ni kumlinganisha jambazi Sabaya na Mtu muunguwana! Mambo ya Rau Madukani na uporaji wa kutumia silaha, ni mbali mbali! Anyway, kwa upande wa inzi wa kijani, mnafikiri mna-equalize kwa Mbowe, kwa kilicho mpata mjane mwenzenu Sabaya, kumbe mnazidi kujipaka mavi tu!
We ndio mnara kabisa.
Uungwana wake ni kitugani,mwenzako anasema alipiga mpunga akamruhusu mamvi kugombea urais, ndio uungwanahuo unaousema ama kuna kingine.

Mimi naongelea jinsi mahakama inavyo toa haki, kama mtuhumiwa alivunja duka ama alipora N.K kinachoangaliwa ni kama sheria inafuatwa na hukumu zinatoka kwa haki, hayo mambo ya kulinganisha watu nijuuyako.
 
Maneno meeengi hamna hoja nzito hata moja. Mwingira mhuni tu. Mali za Billioni 10 atoe wapi? Ana tofauti gani na Gwajima aliedai kununua treni? Wote wahuni tu
Kama huelewi jambo unanyamaza tu kuliko kuandika na kumbe una - display ujinga wako...

Ama kama huna uhakika na unachokiandika, ungekuja na swali ili ujibiwe na majibu hayo yakupe ufahamu...

Lakini wewe unauliza swali la: 10bn atoe wapi? Ebo! Kumbe wenye milioni moja, elfu 50 kama wewe au wenye 100bn huwa wanatoa wapi...?

By the way what is TZS 10bn kwa Mungu na kwa mtoto wake...?

Hata hapa hujanielewa. Pole sana. Ukiuliza kwa nia ya kutaka kuelewa, nitakusaidia kuelewa bila shaka...
 
Jinga niwewe unae shangilia mahakama hiyohiyo inapotoa hukumu kwa watu tofauti tofauti.
Kwa sabaya hakiimetendeka, kwa mwenyekiti, maelekezo toka juu.
Kuonesha kuwa wewe ni jinga ni wapi nimewahi kushangilia kisa mahakama imemwachilia mtu aliyehukumiwa kimakosa kutumikia adhabu?
 
"Nilisema kabisa kuwa Lowassa alitoa pesa kwa viongozi wa CDM chini ya Mbowe, wakafanya maamuzi ya kipuuzi kabisa kumpa nafasi ya kugombea kupitia CDM"

"Ukimtoa Nyerere, ni kiongozi gani aliwahi kuwa muadilifu, kiasi kwamba ushangae Lowassa kupewa nchi?"

Soma izo paragraph zako mbili hapo alafu uniambie kama mlifanya maridhiano kwenye chamachenu baada ya huo udicteta wa kumuingiza huyo lowasa kwa nguvu.

In short, kulingana na kazi alizozifanya magu kwa kipindi kifupi sana,kumchafua inabidi ujitoeakili kwanza kama mnavyo fanya humu.
Na kimsingi mmesha kwama sababu kazizake zinajieleza zenyewe na nyinyi ni madebe matupu.

Sasa mnajifanya mnatiahuruma kuomba muombwe msamaha.
Shame on you guys.
Hakuna mtu atakaesikiliza huo upuuzi wenu.
Kama mmetumwa waambieni tu jamaazenu warudi home tu,hakuna platform itakayo wabeba kuwarudisha hapa.
Warudi tu, kama walivyoondoka.

Maridhiano ya Lowassa kupewa nafasi, kwani kuna mauaji yalitokea, unaongea utoto gani dogo? Sioni hata kama una mtiririko sahihi wa kujadili na mimi, naona unaokoteza kila kitu kilicho kichwani mwako unaleta hapa. Hao jaMaa zetu wamekuambia wanataka kurudi?
 
We ndio mnara kabisa.
Uungwana wake ni kitugani,mwenzako anasema alipiga mpunga akamruhusu mamvi kugombea urais, ndio uungwanahuo unaousema ama kuna kingine.

Mimi naongelea jinsi mahakama inavyo toa haki, kama mtuhumiwa alivunja duka ama alipora N.K kinachoangaliwa ni kama sheria inafuatwa na hukumu zinatoka kwa haki, hayo mambo ya kulinganisha watu nijuuyako.
Kwani kupokea hela ya Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea kupitia CHADEMA ni kosa, Sawa na kupora kwa kutumia silaha?! Wanafunzi wa shule ya uongozi ya Polepole, mmemwachia akili awawekee!
 
Maridhiano ya Lowassa kupewa nafasi, kwani kuna mauaji yalitokea, unaongea utoto gani dogo? Sioni hata kama una mtiririko sahihi wa kujadili na mimi, naona unaokoteza kila kitu kilicho kichwani mwako unaleta hapa. Hao jaMaa zetu wamekuambia wanataka kurudi?

Mtiririko wa kujadili nini, sazingine nyie watu inabidi kuwajibu sawasawa na akilizenu ndio tutaenda sawa.

Kufanya maridhiano siolazima kuwe namauaji, udicteta wa mtummoja kuamua nani agombee pia ni ishu inayo hitaji maridhiano sababu naona bado unamajeraha moyoni ya kulazimishwa kukubali maelekezo ya chair man kwamba lazima mamvi agombee.
 
Kwani kupokea hela ya Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea kupitia CHADEMA ni kosa, Sawa na kupora kwa kutumia silaha?! Wanafunzi wa shule ya uongozi ya Polepole, mmemwachia akili awawekee!

Sasandio muitishe kikao mkaridhiane huko maana kunawenzako hawajaridhika wanaona nikitendo cha kipuuzi.
 
Sasandio muitishe kikao mkaridhiane huko maana kunawenzako hawajaridhika wanaona nikitendo cha kipuuzi.
Mbowe ni tishio kwa ccm Ndo maana amezushiwa mambo yote hayo ya Rau Madukani! Sasa hayo ya Lowasa, Sijui kula pesa ya chama, ni mbwembwe tu, angekua mhalifu, japo kidogo tu, msingekua na haja ya kutunga hii riwaya yenu ya ugaidi wa laki 6!
 
Kiongozi wa makanisa ya Efatha Ministries Tanzania Nabii, Mtume na Askofu Josephat Mwingira amezua taharuki na mjadala mkubwa ktk vyombo vya habari TV, redio na social media kwa sababu ya mahubiri yake ya Jana Jumapili kanisani kwake...

Baadhi ya watu na wengine viongozi wa serikali kabisa wamedai alichokiongea Askofu Mwingira ni UCHOCHEZI kwa wananchi ili watu waichukie serikali yao...!

Wengine wamefika mbali na kuiomba serikali ichukue hatua za kisheria dhidi ya vyombo vya habari i.e redio, TV, magazeti, YouTube channels zilizosaidia kurusha matangazo hayo ikibidi vinyang'anywe leseni, vifungiwe au vionywe...

Haieleweki specific ni kwa kigezo kipi hasa vyombo hivi vifungiwe kwa sababu Askofu Mwingira yupo na kasema hayo kwa uwazi na mchana kweupe mbele ya camera za TV huku dunia nzima ikisikia na kuona...

Hii maana yake ni kuwa, kama kuna mtu ikiwemo serikali yenyewe inahisi madai au tuhuma za Askofu huyu dhidi ya serikali ni za uongo, ni obviously kuwa wanapaswa kutumia njia sahihi za kisheria kumtaka mtu huyu athibitishe...

Na maana yake ni kuwa, kama huyu alisimama hadharani kusema haya, pia anaweza kusimama na kijitetea mwenyewe hadharani....

Maswali ni haya: Kwanza kama ni kweli serikali itafanya mini? Pili, ni kwanini mnataka waadhibiwe wasiohusika...?

Kwa maoni yangu, nadhani hoja iwe ni KWELI au SIYO KWELI yaliyosemwa na huyu askofu...?

Kwa ufupi sana ni kuwa, ameituhumu serikali ya awamu ya 5 chini ya aliyekuwa Rais Hayati John P. Magufuli kuwa;

1. Kwa kutumia ile "Task Force" chini ya vijana wake maarufu kama "wasiojulikana" ilifanya majaribio ya kumuua mara 3 lakini ikashindwa...

2. Ilifanikiwa kuua baadhi ya watu wake askofu wa karibu sana...

3. Ilikuwa inataka kumfungulia mashitaka mabaya yasiyo na dhamana kwa kuwatumia watu wake wa karibu sana...

4. Ilipora na kuharibu mali zake zenye thamani ya TZS 10bn...

5. Ilifunga biashara zake ikiwemo benki kwa sababu ambazo hazijulikani mpaka leo...

Kwa vipimo vyote, hizi ni tuhuma mbaya kwa serikali inayopaswa kuwa kinara wa kufuata na kusimamia sheria na katiba ili kulinda haki za raia wake. Hii ndiyo sababu kubwa ya taharuki hii...

Hii sasa inanileta kwenye hoja kuu ya mada yangu. Yaani umuhimu wa kuundwa kwa Tume ya Haki na Maridhiano ya Kitaifa (The National Rights & Reconcilition Commission) ili kila mwenye malalamiko ya kutendewa vibaya kwa namna yoyote na serikali ya Rais Mgufuli (marehemu) apeleke malalamiko yake huko na kisha hatua zichukuliwe kwa njia sahihi na za amani ikiwemo kusameheana na kusonga mbele wote kwa pamoja kama taifa...

Labda tutakuwa tumesahau tu. Lakini ukweli ni kwamba, wapo wengi wenye malalamiko na tuhuma kama za Askofu Mwingira....

Walianza kina Freeman Mbowe, Manji, Mo Dewji, Anthony Diallo, Tundu Lissu, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi (Sugu), wafanyakazi wa umma, wafanyabiashara nk...

Ya akina Askofu Mwingira yana - hit kwa sbb ni mtu maarufu na ametumia chombo chake cha habari (Trenet TV kama sijakosea)...

Na ofcoz baadhi ya viongozi wametaharuki kwa sababu ya namna alivyosema, njia aliyotumia na namna lilivyosambaa, kupokelewa na kupata reaction ya kasi na kubwa kwa jamii...

Sasa Askofu Mwingira anataka kuumiza hata wasiohusika kwa kisingizio cha "UCHOCHEZI" kiasi cha serikali kuanza kufikiri kuvichukulia hatua vyombo vya habari vilivyoichukua habari hiyo, kuiandika, kuitangaza au kuandika kwenye magazeti...

Hii siyo sawa wala haki kwa sababu haitaondoa tatizo bali itaendelea kulifanya kuwa kubwa na complicated zaidi. Iko njia nzuri na salama kushughulika na malalamiko ya watu kama Askofu Mwingira ambao kiukweli wapo wengi maelfu...

Njia hiyo ni kukubali kuwa LIPO TATIZO LA CHUKI NA MGAWANYIKO KATIKA JAMII yetu lililosababishwa na serikali iliyoongozwa na Hayati John P. Magufuli...

Tukishakubali (kutubu na kukiri) kuwa tulikosea na tuna tatizo, kisha tukae chini na kufikiria njia njema ya kurekebisha ili twende mbele wote kwa pamoja kama nchi...

So far, by now, hatuwezi kuzuia watu kusema na kutoa madukuduku yao ya mayoni kuhusu serikali yao kwa namna yoyote na kwa njia zozote wanazoona wao zinafaa bila kuvunja sheria. Bishop Mwingira hajavunja sheria yoyote kusema makosa ya serikali ya Magufuli...

Jambo la muhimu ni kuwa, watu hao wahakikishe kuwa madai au malalamiko yao au tuhuma zao lazima ingalau ziwe na uthibitisho na siyo propaganda tu au chuki binafsi tu...

Haya yanaweza kufanyika vyema iwapo tu, sisi wote kama taifa tutakuwa na UTASHI na NIA safi ktk mioyo na nafsi zetu ya kutengeneza mahusiano yetu...

Kama UTASHI na NIA hii IPO, hakutakuwa na ugumu wa kuundwa kwa TUME YA HAKI NA MARIDHINO YA KITAIFA..

Mungu katika Kristo Yesu awabariki wote mtakaosoma haya. Amina...
Baada ya tume ifuate katiba mpya
 
Huu ujinga wa kutaka nchi isimame eti kufanyike maridhiano na misamaha sijui msingiwake ni nini, naona ni mtego uchwara tu.
Mnataka kupata gia ya kuitangazia dunia kwamba kuna tatizo kubwa kiasigani linalo hitaji maridhiano!!!.
Kama huyo mwingira anaona hakutendea haki na anaushahidi kwa anayoyasema siaende mahakamani akadai hakiyake ilichombo husika kidhibitishe madaiyake!!.
Kulalamika lalamika bila stepu ni kuichokoza serikali tu iliakizinguliwa aanze kutia huruma, ama akimbie nchi alafu apate kiki na sababu za kukimbia wauminiwake.
Dogo una roho baya kama godfather
 
Kiongozi wa makanisa ya Efatha Ministries Tanzania Nabii, Mtume na Askofu Josephat Mwingira amezua taharuki na mjadala mkubwa ktk vyombo vya habari TV, redio na social media kwa sababu ya mahubiri yake ya Jana Jumapili kanisani kwake...

Baadhi ya watu na wengine viongozi wa serikali kabisa wamedai alichokiongea Askofu Mwingira ni UCHOCHEZI kwa wananchi ili watu waichukie serikali yao...!

Wengine wamefika mbali na kuiomba serikali ichukue hatua za kisheria dhidi ya vyombo vya habari i.e redio, TV, magazeti, YouTube channels zilizosaidia kurusha matangazo hayo ikibidi vinyang'anywe leseni, vifungiwe au vionywe...

Haieleweki specific ni kwa kigezo kipi hasa vyombo hivi vifungiwe kwa sababu Askofu Mwingira yupo na kasema hayo kwa uwazi na mchana kweupe mbele ya camera za TV huku dunia nzima ikisikia na kuona...

Hii maana yake ni kuwa, kama kuna mtu ikiwemo serikali yenyewe inahisi madai au tuhuma za Askofu huyu dhidi ya serikali ni za uongo, ni obviously kuwa wanapaswa kutumia njia sahihi za kisheria kumtaka mtu huyu athibitishe...

Na maana yake ni kuwa, kama huyu alisimama hadharani kusema haya, pia anaweza kusimama na kijitetea mwenyewe hadharani....

Maswali ni haya: Kwanza kama ni kweli serikali itafanya mini? Pili, ni kwanini mnataka waadhibiwe wasiohusika...?

Kwa maoni yangu, nadhani hoja iwe ni KWELI au SIYO KWELI yaliyosemwa na huyu askofu...?

Kwa ufupi sana ni kuwa, ameituhumu serikali ya awamu ya 5 chini ya aliyekuwa Rais Hayati John P. Magufuli kuwa;

1. Kwa kutumia ile "Task Force" chini ya vijana wake maarufu kama "wasiojulikana" ilifanya majaribio ya kumuua mara 3 lakini ikashindwa...

2. Ilifanikiwa kuua baadhi ya watu wake askofu wa karibu sana...

3. Ilikuwa inataka kumfungulia mashitaka mabaya yasiyo na dhamana kwa kuwatumia watu wake wa karibu sana...

4. Ilipora na kuharibu mali zake zenye thamani ya TZS 10bn...

5. Ilifunga biashara zake ikiwemo benki kwa sababu ambazo hazijulikani mpaka leo...

Kwa vipimo vyote, hizi ni tuhuma mbaya kwa serikali inayopaswa kuwa kinara wa kufuata na kusimamia sheria na katiba ili kulinda haki za raia wake. Hii ndiyo sababu kubwa ya taharuki hii...

Hii sasa inanileta kwenye hoja kuu ya mada yangu. Yaani umuhimu wa kuundwa kwa Tume ya Haki na Maridhiano ya Kitaifa (The National Rights & Reconcilition Commission) ili kila mwenye malalamiko ya kutendewa vibaya kwa namna yoyote na serikali ya Rais Mgufuli (marehemu) apeleke malalamiko yake huko na kisha hatua zichukuliwe kwa njia sahihi na za amani ikiwemo kusameheana na kusonga mbele wote kwa pamoja kama taifa...

Labda tutakuwa tumesahau tu. Lakini ukweli ni kwamba, wapo wengi wenye malalamiko na tuhuma kama za Askofu Mwingira....

Walianza kina Freeman Mbowe, Manji, Mo Dewji, Anthony Diallo, Tundu Lissu, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi (Sugu), wafanyakazi wa umma, wafanyabiashara nk...

Ya akina Askofu Mwingira yana - hit kwa sbb ni mtu maarufu na ametumia chombo chake cha habari (Trenet TV kama sijakosea)...

Na ofcoz baadhi ya viongozi wametaharuki kwa sababu ya namna alivyosema, njia aliyotumia na namna lilivyosambaa, kupokelewa na kupata reaction ya kasi na kubwa kwa jamii...

Sasa Askofu Mwingira anataka kuumiza hata wasiohusika kwa kisingizio cha "UCHOCHEZI" kiasi cha serikali kuanza kufikiri kuvichukulia hatua vyombo vya habari vilivyoichukua habari hiyo, kuiandika, kuitangaza au kuandika kwenye magazeti...

Hii siyo sawa wala haki kwa sababu haitaondoa tatizo bali itaendelea kulifanya kuwa kubwa na complicated zaidi. Iko njia nzuri na salama kushughulika na malalamiko ya watu kama Askofu Mwingira ambao kiukweli wapo wengi maelfu...

Njia hiyo ni kukubali kuwa LIPO TATIZO LA CHUKI NA MGAWANYIKO KATIKA JAMII yetu lililosababishwa na serikali iliyoongozwa na Hayati John P. Magufuli...

Tukishakubali (kutubu na kukiri) kuwa tulikosea na tuna tatizo, kisha tukae chini na kufikiria njia njema ya kurekebisha ili twende mbele wote kwa pamoja kama nchi...

So far, by now, hatuwezi kuzuia watu kusema na kutoa madukuduku yao ya mayoni kuhusu serikali yao kwa namna yoyote na kwa njia zozote wanazoona wao zinafaa bila kuvunja sheria. Bishop Mwingira hajavunja sheria yoyote kusema makosa ya serikali ya Magufuli...

Jambo la muhimu ni kuwa, watu hao wahakikishe kuwa madai au malalamiko yao au tuhuma zao lazima ingalau ziwe na uthibitisho na siyo propaganda tu au chuki binafsi tu...

Haya yanaweza kufanyika vyema iwapo tu, sisi wote kama taifa tutakuwa na UTASHI na NIA safi ktk mioyo na nafsi zetu ya kutengeneza mahusiano yetu...

Kama UTASHI na NIA hii IPO, hakutakuwa na ugumu wa kuundwa kwa TUME YA HAKI NA MARIDHINO YA KITAIFA..

Mungu katika Kristo Yesu awabariki wote mtakaosoma haya. Amina...
Iundwe tume guru ya nini kupoteza hela wakati mama alikuwa kwenye serikali ile ile wanajua yaliyokuwa yanaendelea hata kama hakuwa na uwezo kukemea
 
Back
Top Bottom