Tetesi: Tuhuma za Bi Sandra (Mama Diamond) kumnyanyasa binti wa Miaka 14 kutoka Congo

Tetesi: Tuhuma za Bi Sandra (Mama Diamond) kumnyanyasa binti wa Miaka 14 kutoka Congo

Poleni na Majukum watanzania Leo nimeona nije na ili swala la Uyu Mama Diamond kujiona Mungu mtu kwa watoto wa watu

Ivi serikal yetu ikowap imtetee uyu mtoto Rais Mama Samia Naomba kama utapendezwa mtendee haki uyu mtoto alie taka kufanyiwa kitu kibaya na wanaume wa nne alie fanya kazi za Ndan miaka kibao Bure

Serikal huyu mama anatakiwa ku onywa






Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app

Leta summary, kuangalia video hyo for 30 min muda haupo
 
Sidhani Kama ni kweli aiseee.... familia na Jina kubwa hivyo ijiingize ki rahisi kwenye maswala ambayo yanaweza kuletea kashfa kirahisi tuu??... anawalipa mabaunsa na watu kibao wako kwenye payroll yao leo wakatafute housegirl cheap ili iweje, huu ni uongo per se!
Kama waliweza kumpokonya mtoto mzee Abdul na kumpa nyange bila mshipa wa aibu itashindikanaje kwa kuchukua mkongo toka apo mpakani kigoma
 
Sidhani Kama ni kweli aiseee.... familia na Jina kubwa hivyo ijiingize ki rahisi kwenye maswala ambayo yanaweza kuletea kashfa kirahisi tuu??... anawalipa mabaunsa na watu kibao wako kwenye payroll yao leo wakatafute housegirl cheap ili iweje, huu ni uongo per se!
We unaona kuna mtu mwenye akili kule
Huyo mond mwenyewe umaarufu umemsaidia tu angalau kuwa mjanja kidogo lakini bado akili hamna mule

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani Kama ni kweli aiseee.... familia na Jina kubwa hivyo ijiingize ki rahisi kwenye maswala ambayo yanaweza kuletea kashfa kirahisi tuu??... anawalipa mabaunsa na watu kibao wako kwenye payroll yao leo wakatafute housegirl cheap ili iweje, huu ni uongo per se!
Sijui kama ni kweli au uongo, ila huyu mama kuna muda uwa ana roho nzuri . Kuna dogo anafanya pale wasafi media yeye na dadake walikuwa wanauza matunda, wakaja enda pale madale dogo akajieleza kwa mama dangote na alikuwa kasoma tu sema ajira ndo issue. Mama akamsaidia leo yuko usafini dada yake kamfungulia saluni ya kike. Kwa hilo nilimuona huyu mama ni mtu mwenye roho yake kwa hilo ninalojua maana dogo mwenyewe namfahamu.
Mengine sijui, maana unaweza tenda wema kwa huy ukatenda ubaya kwa yule.
 
Binafsi sijawasikiliza wala simshutumu yeyote ila Diamond na mama yake wana hiyo tabia sana.

Hata Lizer producer, Diamond alimtoa Burundi kwahiyo hakuna hakika kama ni mbongo.

Qboy pia Diamond alimtoa Burundi.

Kuna siku kitambo Diamond alikuwa anahojiwa Jahazi ( enzi za kina Kibonde ) wakati huo Qboy wameshamfukuza, akawa anawaponda. Diamond akawa anasema kama Qboy akiendelea kuongea, eti anaweza kumpoteza kwa kupiga simu moja tu Uhamiaji.

Binafsi nikajiuliza, hivi jamaa hajui kuwa hata kuajiri mhamiaji haramu na wewe unakuwa na makosa pia ?

Na mara nyingi huyo mama yake amekuwa na safari nyingi za Kigoma kwahiyo kuna uwezekano mkubwa ni kweli alimchukua huyo mtoto.

Ila ndio hivyo nchi hii, hakuna atakayejali mpaka siku akija kukosana na watawala ndio makosa yote yatafufuka.
Yes, kwa Lizer nakubali alimtoa Burundi kwenye Studio flani jamaa mwenye hiyo Sudio naye ni msanii na Lizer na huyo jamaa ni mtu na binamu yake. Sema huenda ana vibali vya kuishi nchini au ni raia wa Kigoma ukimgusa watu wa Kigoma hawatokubali kama asemavyo zitto
 
Yes, kwa Lizer nakubali alimtoa Burundi kwenye Studio flani jamaa mwenye hiyo Sudio naye ni msanii na Lizer na huyo jamaa ni mtu na binamu yake. Sema huenda ana vibali vya kuishi nchini au ni raia wa Kigoma ukimgusa watu wa Kigoma hawatokubali kama asemavyo zitto
Tanzania kuna watu kibao wanaishi bila vibali. Mimi kwetu Musoma, nina experience na hili.

Tena hata passport wengine hawana, mara nyingi mipakani wanavuka na bodaboda ( border to border ).
 
Nchi za West Africa ukiwa na pesa kama familia ya Diamond, huwezi kuajiri mfanya kazi wa ndani. Unachukua mtoto wa ndugu, awe mtoto wa mjomba au shangazi hata watoto wa kijijini kwenu.

Wanakaa na wewe na kusaidia kazi za ndani. Unarudisha fadhila kwa kuwanunulia nguo na kuwapa elimu. Baada ya muda wanaondoka kwako kuanza maisha yao unaleta wengine.
 
Back
Top Bottom