Yes, unasem kweli kabisa na wanajifanya watu wakigoma, mara mtukura, mara sijui wapi kutegemea na lafudhi zao. Hlafu inaelekea vitambulisho kama vya kupiga kura ni rahisi kupata tanzaniaTanzania kuna watu kibao wanaishi bila vibali. Mimi kwetu Musoma, nina experience na hili.
Tena hata passport wengine hawana, mara nyingi mipakani wanavuka na bodaboda ( border to border ).
We mwenye akili tuambie imekufikisha wapi zaidi ya kua mpiga porojo wa jf!?We unaona kuna mtu mwenye akili kule
Huyo mond mwenyewe umaarufu umemsaidia tu angalau kuwa mjanja kidogo lakini bado akili hamna mule
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapa kwetu ukichukia ndugu wa kijijini kwetu baadae yanaanza maneno katika familia kuwa unawatumikisha Tu wao wanakupa utajiriNchi za West Africa ukiwa na pesa kama familia ya Diamond, huwezi kuajiri mfanya kazi wa ndani. Unachukua mtoto wa ndugu, awe mtoto wa mjomba au shangazi hata watoto wa kijijini kwenu.
Wanakaa na wewe na kusaidia kazi za ndani. Unarudisha fadhila kwa kuwanunulia nguo na kuwapa elimu. Baada ya muda wanaondoka kwako kuanza maisha yao unaleta wengine.
😂😂😂Kakulia maisha ya ajabu
Pesa imekosea njia
Ova
Ila kwanza kwa habari hii naona kama haiko sawa😂😂😂
Pesa inatakiwa kwenda kwa watu wa namna gani mzee?
Kwani hiyo ni story au tuhuma?kawaida panapokuwa na tuhuma tena yenye jinai ndani yake, vyombo vinavyohusika huchukua hatu ya kufungua jalada, na kumuita mtuhumiwa ndio ajitetee, sasa unapoiita eti ni unbalanced story hueleweki!!Unbalanced story. Sikiliza na upande wa pili.
Kanuni zinawataka ku-balance stori kwa kuwasiliana na upande wa pili/watuhumiwa kabla ya kuileta kwa umma.Kwani hiyo ni story au tuhuma?kawaida panapokuwa na tuhuma tena yenye jinai ndani yake, vyombo vinavyohusika huchukua hatu ya kufungua jalada, na kumuita mtuhumiwa ndio ajitetee, sasa unapoiita eti ni unbalanced story hueleweki!!
Wao kama waandishi, wameshatimiza jukumu lao, kufichua uovu huo, sasa ni kazi ya vyombo vya usalama kuliingilia kati na kujua ukweli.Kanuni zinawataka ku-balance stori kwa kuwasiliana na upande wa pili/watuhumiwa kabla ya kuileta kwa umma.
Natambua kwamba kupambana sana siyo kufanikiwa sana ingekuwa ndivyo Bakhressa angekuwa chini yangu kidogoWe mwenye akili tuambie imekufikisha wapi zaidi ya kua mpiga porojo wa jf!?
ukiona unapambana sana halafu hufanikiwi basi jua hauna akili na maarifa.Natambua kwamba kupambana sana siyo kufanikiwa sana ingekuwa ndivyo Bakhressa angekuwa chini yangu kidogo
Mafanikio siyo kipimo cha akili na kupambana sana
Ukiniuliza kuhusu mond ntakwambia alituimbia mziki mzuri na ana mafanikio
Lakini siku hizi hana mziki mzuri anasapotiwa na umaarufu
Mshamba na limbukeni wa mafanikio anajikweza hizo ni sifa zake lakini pia mimi ni shabiki wake
Kuna mashabiki na mashabiki misukule
wewe ni mmoja wa misukule ambaye unataka mshamba mwenzenu aliyetusua asifiwe tu hata kama analeta ushamba watu wasiseme eti tunamuonea wivu ili iweje acheni ushamba.
Malaya wa kibongo na chawa wameshamjua mr misifa akisifiwa anamwaga hela wenye akili hawanaga swaga hizo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwako tafsiri ya mafanikio ni akiliukiona unapambana sana halafu hufanikiwi basi jua hauna akili na maarifa.
Thibitisha kauli yako.Wao kama waandishi, wameshatimiza jukumu lao, kufichua uovu huo, sasa ni kazi ya vyombo vya usalama kuliingilia kati na kujua ukweli.
Mbona unakuwa mgumu kuelewa?jukumu la mwandishi, unaposikia tuhuma hususani, zenye jinai ndani yake, ni kuziweka wazi ili wanaohusika waingilie kati, na hiyo inasaidia zaidi hasa pale tuhuma zinapomhusu mtu, maarufu kweny jamii, ili iwe ngumu kidogo kuiharibu!!kwani kwa njia hiyo ni watu wengi wamesaidiwa, mfano nadhani wiki iliyopita wale SHILAWADU, kuna kashfa waliibua ya binti kutakiwa kimapenzi na kaka yake ili iwe kigezo cha yeye kupata mirathi, akawekewa mtego hadi akanaswa guest house!!sasa kesi iko polisi!!Thibitisha kauli yako.
Maskini mna mambo sana,mwizi wa kuku anapigwa mawe anauwawa,lakini mwizi wa millioni 400kwa siku,hata kusemwa hasemwi!Poleni na Majukum watanzania Leo nimeona nije na ili swala la Uyu Mama Diamond kujiona Mungu mtu kwa watoto wa watu
Ivi serikal yetu ikowap imtetee uyu mtoto Rais Mama Samia Naomba kama utapendezwa mtendee haki uyu mtoto alie taka kufanyiwa kitu kibaya na wanaume wa nne alie fanya kazi za Ndan miaka kibao Bure
Serikal huyu mama anatakiwa ku onywa
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kuna demu mmoja kutoka kenya alihojiwa na hao Shilawadu akasema ana mtoto wa diamond akasema wamemkataa mtoto na alipigwa Sana mama dangote but the end of the day huyo binti akasema ukweli baada ya kubanwa maswali kuwa si kweli ana mtoto na diamond ila alisema vile ili apate msaada wa kifedha kwasababu anaamini akimtaja diamond interview itaonwa na wengi na atapata msaada mkubwa.Mzee baba usiamini kila kitu unachosikia siku hizi maisha yashakuwa magumu so anaamua atafute namna ya kupata kipato ndio maana siku hizi uchawa umekuwa ni kaziMbona unakuwa mgumu kuelewa?jukumu la mwandishi, unaposikia tuhuma hususani, zenye jinai ndani yake, ni kuziweka wazi ili wanaohusika waingilie kati, na hiyo inasaidia zaidi hasa pale tuhuma zinapomhusu mtu, maarufu kweny jamii, ili iwe ngumu kidogo kuiharibu!!kwani kwa njia hiyo ni watu wengi wamesaidiwa, mfano nadhani wiki iliyopita wale SHILAWADU, kuna kashfa waliibua ya binti kutakiwa kimapenzi na kaka yake ili iwe kigezo cha yeye kupata mirathi, akawekewa mtego hadi akanaswa guest house!!sasa kesi iko polisi!!
Polisi ndio wakudhibitisha hilo ,
Absolutely 👏Maskini mna mambo sana,mwizi wa kuku anapigwa mawe anauwawa,lakini mwizi wa millioni 400kwa siku,hata kusemwa hasemwi!
Hivi unajua millioni 400,zinaweza kujenga zahanati ngapi zikaokowa maisha ya wajawazito?nguvu hizi unazozitumia kumshambulia Huyu mama Mond,zitumiekukemea kero kubwa kwenye jamii,kwanza hii clip imerekodiwa na Clouds media,ambao ni washindani wakubwa wa wasafi,hapo ni kuchafuana tu,kama unaushahidi pereka polisi