Hebu weka wazi huo mchezo unaochezwa na ShonzaDiamond na team yake sio wajinga,kuna jambo kubwa nyuma ya Pazia usiwe mwepesi wa kuhukumu,time will tell then utakuja kukana kauli yako kuhusu Chibu D Chibude kuwa mtovu wa nidhamu kuna mchezo mkuba sana unachezwa na Shonza kaingia kichwa kichwa.
Njama gani? hebu niambie kwanza nyimbo za Diamond hazina makosa?Soma vizuri! Zile zilikuwa njama! Hata hili sakata kunauwezekano wa Njama za Kimasilahi. La Jackson siyo la Wengine. Duniani kila mmoja na riziki zake-Muumba hutoa nafasi kwa Kila mmoja kwa wakati na zama zake.
MZee baba ule nillikutolea kama mfano tu "" kutka kukuonyesha kuwa usipnde kubishana na system ..kwani uliwahi tegemea kuwa jacko atakutana na mtihani kama ule ...unaweza kuwa mpngo ndio ..lakini ukawa nimpngo kama ule wakumburuza kanji baada yakuonyesha dharau kwa watu waliopo kwenye system kwahiyo vigezo na mashart vinapaswa kuzingatiwa ...na katik maisha tunapaswa kujifnza kupitia binaadamu wenzetu iwe nikatika jambo LA kheri ama shari ...ukisema kila mtu anawakati wake hai make sence .....so wataka kuniaminisha kuw kwakuwa kila mtu anawakati wake basiii hupaswi kujifnza mazuri ambayo yameshawahi kfnywa na mtu aliyekutangulia ...!?? huwezi kujifnza mambo mazuri na mistake ambazo ameshawahi kuzipitia mzazi wako ktik maisha yake ??!Soma vizuri! Zile zilikuwa njama! Hata hili sakata kunauwezekano wa Njama za Kimasilahi. La Jackson siyo la Wengine. Duniani kila mmoja na riziki zake-Muumba hutoa nafasi kwa Kila mmoja kwa wakati na zama zake.
shikamooo mkuu "Wala tusipindishe maneno. Video za Diamond hazina maadili mazuri..zifungiwe tu!!! Huo mchango wake sijui wa kutufikisha world wide utabaki pale pale wakati video zimefungiwa ili ajifunze.. wangapi wameenda international bila kukaa uchi? Mziki wa Khona wa mafikizolo nani asieujua ..je video yake ilikua kama African beauty?
Diamond amevimba sana kichwa na huo So-called mchango wake kwa sanaa.. Kuwa msanii mkubwa hakumfanyi avunje sheria au ajibizane na watu wenye dhamana kwa kejeli... angesema kistaarabu wala asingepasuka sana sana ingemwongezea Heshima.
Pamoja na ushabiki wangu kwake lakini hakunizuii kuungana na Mh Shonza kufungia miziki yake ya ovyo hovyo
Wala tusipindishe maneno. Video za Diamond hazina maadili mazuri..zifungiwe tu!!! Huo mchango wake sijui wa kutufikisha world wide utabaki pale pale wakati video zimefungiwa ili ajifunze.. wangapi wameenda international bila kukaa uchi? Mziki wa Khona wa mafikizolo nani asieujua ..je video yake ilikua kama African beauty?
Diamond amevimba sana kichwa na huo So-called mchango wake kwa sanaa.. Kuwa msanii mkubwa hakumfanyi avunje sheria au ajibizane na watu wenye dhamana kwa kejeli... angesema kistaarabu wala asingepasuka sana sana ingemwongezea Heshima.
Pamoja na ushabiki wangu kwake lakini hakunizuii kuungana na Mh Shonza kufungia miziki yake ya ovyo hovyo
Mchango wake wa kuipaisha bongo kimataifa kwa kuonyesha Manyonyo na makalio ya wanawake mkuu.Wala tusipindishe maneno. Video za Diamond hazina maadili mazuri..zifungiwe tu!!! Huo mchango wake sijui wa kutufikisha world wide utabaki pale pale wakati video zimefungiwa ili ajifunze.. wangapi wameenda international bila kukaa uchi? Mziki wa Khona wa mafikizolo nani asieujua ..je video yake ilikua kama African beauty?
Diamond amevimba sana kichwa na huo So-called mchango wake kwa sanaa.. Kuwa msanii mkubwa hakumfanyi avunje sheria au ajibizane na watu wenye dhamana kwa kejeli... angesema kistaarabu wala asingepasuka sana sana ingemwongezea Heshima.
Pamoja na ushabiki wangu kwake lakini hakunizuii kuungana na Mh Shonza kufungia miziki yake ya ovyo hovyo
eti anasema ....halafu anayokea mwanamke mmoja hajui umetafuta vipi Pesa kisha anakuja kufngia nyimbo "" na blaaaaah blaaah kibao ...kumbe hoja yake nikwakuwa zilifngiwa na mwanamke ...ila zingefungiwa na mwanaume angekausha....yule Jamaa bhana hana washauri aiseeeeWala tusipindishe maneno. Video za Diamond hazina maadili mazuri..zifungiwe tu!!! Huo mchango wake sijui wa kutufikisha world wide utabaki pale pale wakati video zimefungiwa ili ajifunze.. wangapi wameenda international bila kukaa uchi? Mziki wa Khona wa mafikizolo nani asieujua ..je video yake ilikua kama African beauty?
Diamond amevimba sana kichwa na huo So-called mchango wake kwa sanaa.. Kuwa msanii mkubwa hakumfanyi avunje sheria au ajibizane na watu wenye dhamana kwa kejeli... angesema kistaarabu wala asingepasuka sana sana ingemwongezea Heshima.
Pamoja na ushabiki wangu kwake lakini hakunizuii kuungana na Mh Shonza kufungia miziki yake ya ovyo hovyo
Kwakweli ndio maana napiga vita. huo sio mchango ni upuuzi.... anataka yeye asifanywekitu kisa nini? Diamond kavimba sana...!!!!!Mchango wake wa kuipaisha bongo kimataifa kwa kuonyesha Manyonyo na makalio ya wanawake mkuu.
Wewe na vitimu mbuzi vyako vya kkoo kutwa kuhangaika na diamond/Wcbeti anasema ....halafu anayokea mwanamke mmoja hajui umetafuta vipi Pesa kisha anakuja kufngia nyimbo "" na blaaaaah blaaah kibao ...kumbe hoja yake nikwakuwa zilifngiwa na mwanamke ...ila zingefungiwa na mwanaume angekausha....yule Jamaa bhana hana washauri aiseeee
mimi nna maadili safi tu.We una maadili ama?mnacheza sindimba kivaa na magome tena mbele ya viongoz.Yale si maadili.Watu kama nyinyi mnafanya evils za kutosha sana ila mnawaangalia wrngine tu
Washauri awatoe wapi wakati anajiona Mfalme...mfalme ana shauriwa[emoji16]eti anasema ....halafu anayokea mwanamke mmoja hajui umetafuta vipi Pesa kisha anakuja kufngia nyimbo "" na blaaaaah blaaah kibao ...kumbe hoja yake nikwakuwa zilifngiwa na mwanamke ...ila zingefungiwa na mwanaume angekausha....yule Jamaa bhana hana washauri aiseeee
Njama gani? hebu niambie kwanza nyimbo za Diamond hazina makosa?
MZee baba ule nillikutolea kama mfano tu "" kutka kukuonyesha kuwa usipnde kubishana na system ..kwani uliwahi tegemea kuwa jacko atakutana na mtihani kama ule ...unaweza kuwa mpngo ndio ..lakini ukawa nimpngo kama ule wakumburuza kanji baada yakuonyesha dharau kwa watu waliopo kwenye system kwahiyo vigezo na mashart vinapaswa kuzingatiwa ...na katik maisha tunapaswa kujifnza kupitia binaadamu wenzetu iwe nikatika jambo LA kheri ama shari ...ukisema kila mtu anawakati wake hai make sence .....so wataka kuniaminisha kuw kwakuwa kila mtu anawakati wake basiii hupaswi kujifnza mazuri ambayo yameshawahi kfnywa na mtu aliyekutangulia ...!?? huwezi kujifnza mambo mazuri na mistake ambazo ameshawahi kuzipitia mzazi wako ktik maisha yake ??!