Tuhuma za Juliana Shonza na Clouds media kutaka kumuangusha Diamond ni za kweli?

Tuhuma za Juliana Shonza na Clouds media kutaka kumuangusha Diamond ni za kweli?

Washauri awatoe wapi wakati anajiona Mfalme...mfalme ana shauriwa[emoji16]

Aliemtuma atafute pesa akafanye video za mil50 nani? Si kwa manufaa yake binafsi na wanae na familia yao au kuna mtu huwa anakula kupitia kutazama video yake.... Tatizo anajikuta mtoa misaada wakati sio
Akili hizi ndo alizotumia mwenzio KUFUNGIA
Kutumia vitu simple simple tu kuexamine mambo



HIVI WAJUA KUNA VIJNAA WANGAP WAMEJIAJIR HUKO YOU TUBE NA SOCIAL MEDIA KWA AJILI YA WASANII KAMA HAWA,HIVI WAJUA AJIRA NGAP ZA KUJISHIKIZA ZIPO PEMBENI MWA WASANII KAMA DIAMOND KUANZIA WAPIGA PICHA NA MASCRETARY AMBAO PEMBENI MWAKE KUNA FAMILIA ZAO,UNAJUA NI KWA NAMNA GANI UNAMPUNGUZIA MTU SOKO LAKE NA WALIOWEKEZA KWAKE?

KUNA MENGI SANA,NDO MANA NASEMA AKILI ZA KITOTO KAMA HIZI TUTEGEMEE UPEWE POSITION NA UFANYE MAMBO YA KIPUUZI TU KWA FIKRA NDOGO.MWISHO NIULIZE TU,VIDEO UMEUFUNGIA HAINA MAADILI KWA MUJIBU WAKO NA WENZIO!


AUDIO INA MATUSI??INA MANENO YA KASHFA??WATU WANAFUNGIAGA KILA KITU SABABU ZA KIJINGA
HUJUI KWAMBA VIDEO HAINA NGUVU MBELE YA AUDIO
WASKIZA AUDIO WASISIKIZE KISA WEWE

NIKUULIZE TENA NA UJINGA WENU,HIVI KWELI UNASEMA NYIMBO ISICHEZWE HAYA NCHI ZINGINE??hapo ndipo uwezo wa akili zenu unapoishia



MNATUSUMBUA MAADILI HUKU MNAPIGA NYIMBO ZA KINA RIHANA NA MADONA
sijui mnajitambua au mihemuko ya chuki
 
Marehemu Mbaraka Mwishehe aliamua kuondoka Tanzania na kuishi Kenya Mauti yalipomfika.!
sijui sana kuhusu Simba wa Nyika na less Wanyika.
Kulikuwa na Tetesi za Rose Muhando pia kuhamia Kenya.!
Nimemsikia Diamond platnumz pia akisema kama hali itaendelea hivi bora ahamie Nchi nyingine afanyie muziki wake huko.!
nikakumbuka nyakati zile tulipotaka kuinuka kisoka kwa Timu yetu ya Taifa kufanya vema chini ya Maxio Maximo wakainuka viwavi jeshi na kuangusha morali ya kocha na timu yenyewe!
Leo hii hatuna la kujivunia...

INAKERA NA INAUMIZA MOYO SANA..
NCHI HII HATUFAI KUWA NA VITU VIZURI. ??

Kwanini hatuwezi kuwaenzi nyota wanazaliwa kwetu? Wivu majungu unafiki na chuki zisizo na maana kila kukicha.! Ukimlaumu Diamond kwa sifa anazopata je wewe umemsaidia kutengeneza hizo sifa za jina lake? Au kazitengeneza mwenyewe?

Tumekuwa na lundo la wasanii wa muziki wa Kizazi kipya tangu enzi hizo je yupo yoyote aliyefikia sehemu alipo Abdul Nasib leo?

Tuna kizazj cha watu wa ajabu kwelikweli..
 
Huyo baba ana mambo ya kijinga. Kwahiyo akiwa anatuwakilisha ndo asifuate sheria?
Sijapenda uamuzi wa Shonza ila utetezi wa lemutuz wa kitoto
Hahah eti huyu baba
 
Kumbukumbu zangu zinaonyesha ulipaza sauti kwamba Diamond na wcb hawajafungiwa kazi zao cloudsmedia na ulisema unaziona zinachezwa kila siku . Unaamini ulikuwa sahihi?
yES nilikuwa nasema niulichokuwa nakiona...maana zilikuwa zinapigwa kbla meneja wa Diamond hajamvaa Ruge na ule ugomvi umelazimishwa na Meneja wa Diamond umuhusishe Diamond
 
Kitendo cha Juliana Shonza kujifanya kuwa yeye ndiye full waziri wakati Dk. Mwakyembe yupo ni tatizo tayari! Kitendo cha kwenda Clouds kwa Bamulenge wenzake nalo ni tatizo kwani TBC imekufa?
 
Huyu Chonza ajiangalie sana,anaweza akarudi kuwa bibi afya mafinga huko,,ooh,

yaani anashirikiana na cloud wakati anajua kuwa cloud na mkuu wa wakuu wa mikoa ana bifu nao?
 
Barua kubwa siwezi kusoma. Tafadhali punguza katika maneno40 tu
Ariana huyo atakuchosha tu ...nimiongoni mwa wafia wcb"" wameamua kujipumbaza akili hata katika vitu vya msingi wao huwa wanapinga tu
 
Kama ni hivyo hata Yesu angeepuka kusulubiwa- kwa sababu anauwezo wa kufanya hivyo. Kwa hiyo unakubaliana na dhana ya masilahi. Asante funga mjadala-ruhusu masilahi ya wenye system.
teheee eti yesu ...sihuwa mnasema kuwa yesu alikubali kusulubiwa kwaajili ya dhambi za watu "" haya huyu naye mnayetaka kumfananisha na yesu ...kwahiyo huyu anayetoa ma video kama porn "" anafnya hivyo kwaajili yenu au sio """
 
Shindano la Malkia wa Nguvu huandaliwa na Clouds media wakishirikiana na wafadhili wengine ambapo wanawake wenye mafanikio huzawadiwa taji la Malkia wa Nguvu.

Kwa mwaka huu mchakato wa shindano hili umeshaanza na mimi binafsi namuona Shonza anafaa kuwemo katika kinyang'anyiro cha mwanamke mwenye mafanikio ya kisiasa pengine nikimshindanisha na Easter Bulaya.

Mafanikio ya Shonza kisiasa yalianzia pale Chadema akiwa makamu mwenyekiti wa Bavicha na baadae kuhamia CCM katika mazingira ambayo wengi waliamini angeenda ACT.

Huko CCM haikumchukua muda akaukwaa ubunge na hivi sasa ni Naibu Waziri katika serikali ya awamu ya 5.

Shonza kwa sasa amejipatia umaarugu mkubwa katika ja!ii baada ya kufanikiwa kuwadhibiti wasanii waliopungukiwa maadili hasa katika mavazi na lugha za tungo zao.

Hivyo waandaaji wa shindano hili wana kila sababu ya kummulika mwanamama huyu.

Nawasilisha!
 
Wewe na vitimu mbuzi vyako vya kkoo kutwa kuhangaika na diamond/Wcb

Mmeshindwa kwenye muziki mmehamia kwa MAADILI SIYO
hahahaa wew jamaa empty set kabisaaa"" umeshawahi niona kwenye hayo mambo ya kiteam na upuuzi kama huo ""??
 
hahahaa wew jamaa empty set kabisaaa"" umeshawahi niona kwenye hayo mambo ya kiteam na upuuzi kama huo ""??
Kwa ulivyo BRN unafikir kila mtu ni uwezo wa akili sa HIZI yako???hivi hizo team unafikir kuna MTU anakubali au anaonekana


Basi mnaitwaga sometimes TEAM HATER'S.
 
Back
Top Bottom