Uchaguzi 2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

Uchaguzi 2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

Mmexico

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
369
Reaction score
332
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

 
CCM na Rushwa sawa na chupi na makalio, hivyo usishangae.

Walioshinda ndio waliotoa Rushwa kubwa....


Wakati huo huo tuangalie hili swala la udukuzi , hakuna alie salama..Muda wowote za kwetu zinavujishwa.

Naamini mikono mizito imehusika kwenye kuvujisha hizi voice clips.

Huyu Mama hata kama ametoa rushwa ambayo ndio utamaduni wa CCM, lakini anafagha yake ambayo inalindwa na na sheria za nchi.

Tukemee Hilo swala ya udukuzi ni mbaya sana hii.
 
Ccm na rushwa ni chanda na pete
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dk M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
#Uchaguzi2020
 
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dk M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
#Uchaguzi2020
Nani kakudanganya kwamba CCM inahangaika na rushwa ? Tulia Ametoa rushwa kwa miaka 4 mfululizo ulisikia akiguswa ?
 
Cdm hakuna vitendo vya rushwa

Du. Rushwa imejaa kwa watz karibu wote. Sisi hatuna vyama tunajua hapa na pale unatoa takrima kiundugu uwahi zangu ya kuingia mahali Nk. Wewe akili yako imekuwa corrupt kiasi hata huwezi kujua tofauti ya nchi na chama.
 
Hawa WATU MWAKA HUU; WATA MSHUSHA PRESHA CHAIRMAN WETU LOL ! KAMA WAMEROGWA ?
Tamaa imefunga ndoa na umri fulani fulani, hasa wakati wa
1. balehe miaka 12 - 17
2. Mafanikio ya kiuchumi vijana wa miaka ya 1980+
3. Heshima na sifa waliozaliwa miaka ya 1962 - 1980

Wafatilie wote walio toa rushwa utakuta wa na tamaa na kwakuwa tunazungumza siasa unakuta wapo kwenye 2 na 3.
 
Back
Top Bottom