Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PCCB ya Tanzania haina uwezo wa kukemea rushwa , bali inaangalia nani kachukua na na nani kapokea.Vyama vyote vina rushwa... ni aina ya rushwa tuu ndio tofauti ilipo
PCCB waingie kazini waje na aina tofauti za rushwa watakazofanikiwa kukamata
Usi generalized namna hiyo, Chadema wapi umesikia mzozo wa rushwa?Vyama vyote vina rushwa... ni aina ya rushwa tuu ndio tofauti ilipo
PCCB waingie kazini waje na aina tofauti za rushwa watakazofanikiwa kukamata
Rushwa ndiyo sabuni ya rohoya wajumbe wa vikao vya maamuzi. Tumeshuhudia vilio kutoka kwa wengi waliokuwa watia nia katika nafasi mbalimbali kutoka kila kona ya nchi.Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
#Uchaguzi2020
haakuna mgombea ubunge na udiwani ccm aliyeshinda bila kuhonga. kila mtu anajuwa rushwa ndani ya ccm iko kwenye damu.Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
#Uchaguzi2020
AKUNA CHAMA.KICHAFU KWA RUSHWA KAMA CHADEMAKuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
#Uchaguzi2020
Jipe.moyoooo usijre dondokaa na pressure kama yule tajiri wa Arusha aliekuja na jina mfukoni akadanganywaTukutane Jakaya Kikwete Conference Centre Dodoma
Tukiwa Na Mwenyekiti Wa Chama Dola
Wa Kwanza Tukamtia Cross
Wa Pili Tukamtia Cross
Wa Tatu Tukamtia Cross
Wa Nne Tukampa.
Hapa Kazi Tu, Ndiyo Watakumbuka Pesa Zao Walizotupa Huko Kwa Wajumbe, Kama Kagera Wajumbe Wamepewa Hadi Utamu 😋😋😋😋
Huyo Alikuwa Na Moyo Mkubwa (Ulitanuka)Jipe.moyoooo usijre dondokaa na pressure kama yule tajiri wa Arusha aliekuja na jina mfukoni akadanganywa
Mtuwakee pamoja na KUWA wa 3 wàtamchaguà alipoletewa matokeoo àlidondoka hotelini na kufà.......
Rip Don
Na.moja ya sababu ya.kufa ni hioo mkuu.fwatilia vyemaaHuyo Alikuwa Na Moyo Mkubwa (Ulitanuka)
Tunazungumzia CCM sio vyama vyote, ccm ni walevi wa rushwa tusitetee uovu kwakutaka kuhusisha wengine.Vyama vyote vina rushwa... ni aina ya rushwa tuu ndio tofauti ilipo
PCCB waingie kazini waje na aina tofauti za rushwa watakazofanikiwa kukamata
Mfano nyoko kweli maana wasiovaa chupi wanahesabika. Makalio kila mtu anayo,tofauti ni size tu. Wewe jamaa utakuwa "MJUMBE" aisee, sio kwa mfano huu.CCM na Rushwa sawa na chupi na makalio, hivyo usishangae.
Walioshinda ndio waliotoa Rushwa kubwa....
CCM na TAKUKURU ni haohao watampamba kama alivyopambwa Kibajaji.Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
View attachment 1526552
Kumbe rushwa inakua uovu ikifanyika ndani ya CCM tuu na sio vyama vyote!?Tunazungumzia CCM sio vyama vyote, ccm ni walevi wa rushwa tusitetee uovu kwakutaka kuhusisha wengine.
Kama vyama vingine vinatumia rushwa itabainika tu maana hata huyu hakutajwa na PCCB au mleta mada sio mfanyakazi wa pccb
kama ni kweli basi ni hatari sana!!
kuna haja ccm ikachunguza wagombea wote waliotoa rushwa na watose wote vinginevyo kuna hatari kubwa sana kwa ccm, rushwa imetamaliki ktk kura za maoni na hii imetokana na utitiri wa wagombea,
imatisha sana kama bado mpaka leo wagombea wanatoa rushwa ili wapate uongozi?! hakika bado tunasafari ndefu sana kufikia maendeleo ya kweli, bado tunaviongozi wanafiki wsio faaa wenye uchu wa kujilimbikizia
kiongozi/viongozi yeyote aliye pitishwa kwa rushwa wananchi hawato mpogia kura
wewe sio Mjumbe, kipindi hiki ni cha kuvuna kwa wapiga kuraKuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
Nini Mary Mwanjelwa?? Hiyo ni senti ya kahawa tu. Viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa Mbeya na vyombo vya dola wamesimamia ugawaji RUSHWA ya Dr Tulia Ackson kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Mbeya Mjini. Tulia Ackson ametumia Sh 100 Milioni usiku wa kuamkia tarehe 20/7/20 na TAKUKURU wamemlinda.Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
View attachment 1526552
Ccm ipi inapambana na rushwa ?Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
View attachment 1526552