Uchaguzi 2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

Uchaguzi 2020 Tuhuma za rushwa Dkt. Mwanjelwa zimekiaibisha chama

Vyama vyote vina rushwa... ni aina ya rushwa tuu ndio tofauti ilipo
PCCB waingie kazini waje na aina tofauti za rushwa watakazofanikiwa kukamata

Kwa taarifa yako PCCB ni sehemu ya hiyo rushwa. Usitake kuchanganya vyama vingine, maana vingetoa rushwa hao PCCB wangewachukulia hatua.
 
Tunazungumzia CCM sio vyama vyote, ccm ni walevi wa rushwa tusitetee uovu kwakutaka kuhusisha wengine.

Kama vyama vingine vinatumia rushwa itabainika tu maana hata huyu hakutajwa na PCCB au mleta mada sio mfanyakazi wa pccb
Huyu Mama Alianzia Mbali Nakumbuka Alituhumiwa Kukwapua Taulo Alipokwenda Kulala Nyumba Ya Kupanga Huko Belgium. Na Thread Zake Zipo Humu
 
Kwa kweli hizi tuhuma za rushwa zimekithiri sana uchaguzi huuu. Yaani kinachonishangaza ni namna ambavyo watu hawaogopi kabisa mikwara ya Mwenezi na Katibu mkuu ... TAKUKURU HAKIKA IMENG'ATWAAA
 
Rushwa ndani ya ccm ndio mila desituri na talatibu zao walizo jiwekea
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

View attachment 1526552
 
Tukutane Jakaya Kikwete Conference Centre Dodoma
Tukiwa Na Mwenyekiti Wa Chama Dola
Wa Kwanza Tukamtia Cross
Wa Pili Tukamtia Cross
Wa Tatu Tukamtia Cross
Wa Nne Tukampa.
Hapa Kazi Tu, Ndiyo Watakumbuka Pesa Zao Walizotupa Huko Kwa Wajumbe, Kama Kagera Wajumbe Wamepewa Hadi Utamu 😋😋😋😋
Usitufokee mjumbe na rangi zako kuashiria unarusha na mate juu
Alaa.
 
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

View attachment 1526552
Huyu naye alikuwa saizi ya mawindo ya Nyani Ngabu enzi hizo; sijui leo.
 
Mwenyekiti wa CCM afanye mabadiliko ya safu za uongozi wa CCM Mkoa na Wilaya. Hawa wote kwa kushirikiana na Mkuu wa Mkoa, TAKUKURU na TISS ndiyo wanaendekeza RUSHWA Mbeya.
 
1596519292790.png


CCM na Rushwa
 
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

View attachment 1526552
Ma ccm yote ni majizi,yalitakiwa yawe jera
 
Wameiona rushwa ya Mwanjelwa,ile rushwa ya mdogo wake na Ndugai hawaioni ambayo ameanza kuitoa muda mrefu pale Mbeya hawaioni? au kwa kuwa yeye hatoi fedha tasilimu kwake yeye siyo rushwa?.
 
Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.

Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.

Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.

Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.

View attachment 1526552
Hahahaha CCM mbele kwa mbele.
 
Tutoleeni ujinga wenu hapa. Kwani ni mgombea yupi aliyepata kura nyingi na hakutoa Rushwa. Kuanzia namba moja Hadi namba tatu/nne wote wametoa mzigo wa kutosha
 
Huu utaratibu ni bora waubadilishe, hauna maana; sehemu nyingi ni ushindani wa mwenye nguvu apate.
 
Back
Top Bottom