Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Naamini Bashiru anapta jukwaani hapa. Atayafanyia kazi madudu haya soon and very soonHii ya Magufuli aisee, batatoana macho Dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini Bashiru anapta jukwaani hapa. Atayafanyia kazi madudu haya soon and very soonHii ya Magufuli aisee, batatoana macho Dodoma
Naenda Kisarawe kusalimia.KWA IYO HUKU WANAKULANA TYUU !?!
Bashiru hana ubavu huoNaamini Bashiru anapta jukwaani hapa. Atayafanyia kazi madudu haya soon and very soon
Kwamba wachunguze hata zile tuhuma za rushwa ya ngono zinazowakabili upande wa wabwia konyagi?Vyama vyote vina rushwa... ni aina ya rushwa tuu ndio tofauti ilipo
PCCB waingie kazini waje na aina tofauti za rushwa watakazofanikiwa kukamata
Huna hoja ya msingi kaa kimyaAcha maCCM yaendekeze rushwa. Sisi tuko na Lissu wetu kwenye harakati za ukombozi dhidi ya mkoloni mweusi.
Hivi ni Doctor Medical, PhD au ManyauuHuyu Dada alishawahi kudakwa akiiba taulo kwenye hotel aliyokua amefikia sembuse kugawa rushwa?
Anasema yeye hela zake alizozitoa ni za uhalali[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Marry mwanjelwa ametoa sana rushwa kwa akina mama pale ukumbini sabasaba.
Nadhani ni zile za kwenye makaratasi hata kama mtu hujui kingereza unaweza kuipata.Hivi ni Doctor Medical, PhD au Manyauu
Mmeshamchoma mwenzenu. Wachawi kweli hamna alama.Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
View attachment 1526552
Ccm ni ile ile.Weeee! Ni mzoefu sana wa hizo mambo mwenyekiti wetu,ulizia alivyokuwa anapita kwenye harakati zake za ubunge wa kupita bila kupingwa.
Ipo rushwa ya kupata viti maalum!Sema Cdm hakuna vitendo vya rushwa ya pesa
kama kufyeka basi ni wote CCMHii rushwa ya pesa itawafyeka wengi uchaguzi huu
Na Maua hata Mie nakumbuka. Haka Ka mama ni kajizi, Ila wakimkata wamemuonea, wooote waliopita CCM wametoa bahasha .Huyu Mama Alianzia Mbali Nakumbuka Alituhumiwa Kukwapua Taulo Alipokwenda Kulala Nyumba Ya Kupanga Huko Belgium. Na Thread Zake Zipo Humu
CCM na Rushwa sawa na chupi na makalio, hivyo usishangae.
Walioshinda ndio waliotoa Rushwa kubwa....
Wakati huo huo tuangalie hili swala la udukuzi , hakuna alie salama..Muda wowote za kwetu zinavujishwa.
Naamini mikono mizito imehusika kwenye kuvujisha hizi voice clips.
Huyu Mama hata kama ametoa rushwa ambayo ndio utamaduni wa CCM, lakini anafagha yake ambayo inalindwa na na sheria za nchi.
Tukemee Hilo swala ya udukuzi ni mbaya sana hii.
Tuhuma hizi za rushwa sio kwamba zitamuabisha dk Mwanjelwa bali huu ni utamaduni wa kawaid kabisa kwa CCM tangu nchi hii ipate uhuru. TAKUKURU nao ni wachochezi wa rushwa, sidhani kama watafanya lolote kukomesha rushwa ila watapokea maagizo kutoka juu na kuwaacha wala rushwa waendelee kutanua katika nchi hii ya kusadikika.Kuna Video clip inazunguka mitandaoni ikimuonyesha Dkt. M.Mwanjelwa na wajumbe wakipeana hongo.
Kama itathibitishwa itakuwa imemmaliza kabisa kisiasa huyu Mama ikizingatiwa amekuwa Naibu Waziri kwa muda mrefu, Tena kwenye Wizara inayohusika na mapambano dhidi ya rushwa na utawaka Bora.
Naamini maamuzi ya Dodoma yatazingatia Sana haya ikizingatiwa CCM Ni chama Taasisi kubwa, yenye mkono mrefu na yenye Sifa kedekede kwenye mapambano dhidi ya Rushwa.
Pamoja na hayo, naamini TAKUKURU hawatalala, watafanyia kazi TUHUMA hizo ili iwe fundisho.
View attachment 1526552
Watende Haki Kwa WoteNa Maua hata Mie nakumbuka. Haka Ka mama ni kajizi, Ila wakimkata wamemuonea, wooote waliopita CCM wametoa bahasha .