DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

[emoji23] pole mkuu.

Wanasheria wapo na wataendelea kuwepo.

Tena wanapata munkari zaidi ya hapo kwa hizo hustle, usionee wivu taaluma za watu, jilaumu ujinga wako.
 
[emoji23] pole mkuu.

Wanasheria wapo na wataendelea kuwepo.

Tena wanapata munkari zaidi ya hapo kwa hizo hustle, usionee wivu taaluma za watu, jilaumu ujinga wako.

Watanzania wa uswazi wana hulka za kuwa na chuki binafsi na ni wenye makasiriko ya kutisha (bila sababu) na wowote wanaojitafutia fursa za maisha yao hata kama ni kwa njia zilizo halali.

Bwana Stroke Pascal Mayalla Mwanamwaiche ni sehemu yao.

Mada Iko wazi kuwa kuna tuhuma zilizoorodheshwa kuwahusu LST.

Kama wanayo majibu ya hoja hizo ustaarabu si ilikuwa kuzijibu tuhuma hizo moja baada ya nyingine?

Kama hawana majibu na wao siyo LST ustaarabu si ilikuwa kukaa kimya?

Tusubirie majibu tokea LST mengine kwa hakika ni kelele za chura tu.
 

Kwamba shule inatia hofu? Haipaswi kuwa hivyo. Watu hawaendi shule kwenye vitisho.

Mazingira sahihi ya kujifunzia hayawezi kuachwa yaki radiate fear kwa wanafunzi au walimu.
 

Mkuu uliyoandika hapa yanajibu tuhuma yoyote iliyowekwa kuwahusu LST?
 

Ninadhani unawatambua bush lawyer (BL).

Leo hii bila cheti cha LST huwezi kuwa wakili. Bila cheti cha LST huwezi kuwa hata legal officer popote palipokuwa serious.

Ingependeza ungeorodhesha posts au ajira zinaziohitaji wanasheria wasiokuwa na vyeti vya law school.

Ninatumaini katika orodha hiyo hawatakuwamo wana habari makanjanja.

Wewe kama afisa habari kanjanja au la, kwani hata cheti cha sheria ni cha nini ndugu?
 
Mangwini wawapo vyuoni hula shushi kubwa katika kozi zao, kumbe hapo "Law School" wanabutuliwa kichizi! Ndiyo gharama zenyewe hizo za kuwa kutambulika katika "bar" na kuwa "learned brother or sister"

Mkuu tuhuma kuhusu hiki chuo uliweza kuziona? Ulichoandika ni kwa tuhuma ipi? Mwongozo wako tafadhali.
 

Kwani mkuu hujawahi kusikia walimu kuwafelisha wanafunzi kwa sababu mbalimbali? Kwani walimu hawa ni malaika? Ni mgeni wa rushwa mashuleni? Kwani visingizio walimu hawana?

Mengine haya fikirieni kuwaambia ndege.

NInakazia: tuhuma zimeorodheshwa tunasubiri majibu siyo blah blah.
 
UKIMWI unaingiaje katika tuhuma zako? Fafanua
 
Tatizo ni uwezo wa wanafunzi unachangia
 
Mwaka mimi nilipojoin UDSM, ndio mwaka shule ua St. Mary Mazinde Juu ilipoongoza kitaifa kwa matokeo ya Form 6!. Darasa zima za HGL wanafunzi wote 42 wakaingia sheria!. Mademu hao ni watoto wakali toka familia bora, bongo chemka!. 1st year vingereza vingi!, ukimuuliza kitu kwa Kiswahili anakujibu what?, kumaanisha hasikii unauliza nini!. Mwaka wa kwanza wali disco 18!. Mwaka wa 4, tumemali za 4 tuu!. Hivyo hizi shule za academy wana wa spoon fed, wao kazi yao ni kumeza tuu!, mitihani ya NEC hakuna swali jipya, hivyo wanaingia kwenye mtihani na kukuta there is nothing new!.

Pale UDSM, there is no one to spoon fed them!. Kuna vyuo vina spoon feed kupata good enrolments, angalieni KIU inavyofyatua 1 class za LL.B! ambazo huishia LST!.
Unataka kuwa wakili, then you have to be smart!.
P
 
Mkuu uliyoandika hapa yanajibu tuhuma yoyote iliyowekwa kuwahusu LST?
Jf ni free forum, ukiuliza kitu utajibiwa kila kitu na yeyote anayejua chochote, not necessry hayo uliyouliza halafu LST wao watafanya press conference kujibu hoja zako, ila pia wapelekee!.
P
 
Sasa kama Lawyers ndio wana lalamika hivi JF, blogs, Fb , Instagram, nk je sisi tusio Wanasheria? Hawa Lawyers wa Tz wame lala. HESLB ili kuwa ina watoza penati za hovyo kinyume na mikataba ya 1995 to 2015, hakuna aliye fungua shauri kupinga, wali lipa wote; Mwigulu ali leta tozo nyingi zinazo kiuka utu, na kunyonya raia na watumishi wapo kimya! JPM alikuwa ana kiuka Katiba hadharani, wako kimya! DED na DCs wana simamia Chaguzi akati ni CCM agents wapo kimya; Sasa hivi wame feli badala wajaribu ku challenge LEGALITY kupitia TLS, Mahakama za Tz au Mahakama ya East Africa, ila nao wako fb, JF, fb, blogs wana lalamika utadhani wawekezaji wa QNET, Kalynda E-Commerce. Sisi tuwasaidie nini? Kuna siku nchi ita geuzwa ya Ki dikteta na wao wapo tu wana angalia na suti na mafaili yao!! Hii ina onesha bado mmelala tofauti na Wenzenu wa Kenya. Ina bidi mfanyiwe hivyo ili muamke usingizini.
 


Mkuu miye ni mmoja labda kati ya wa wachache waliochagua kuwa impartial kwenye mada zako nyingi ukizodolewa kuwa opportunist.

Kwenye hili la LST naweza kusema rangi zako kamili zime dhihirika. Hayupo examiner au mamlaka yoyote ya utahini popote yenye kuweza kukubaliana na uozo huu:



Kila mwaka na wewe una shadadia kwa bashasha kuwa ni sawa?

Kwa hakika hata primary school achilia mbali kindergarten kama wanafunzi wamefundishwa na kuwa examined fairly, haikubaliki.

Kumbe nini tofauti yako na wajumbe walio na capacity za kujadili Simba na Yanga au mapigano ya kina Mandonga peke yake ambao kiuhalisia huwa tunawasajili kwenye ignore list wanako stahili?

Fuatilia kokote kujiridhisha matokeo ya mitihani hayawezi kuanguka nje ya standard curve hii:



Kwamba wewe ulisoma kwa Bino ukiwa na sifa kuu ya ulevi uliopindukia hadi wa kuangusha magari na kuokolewa na ma Aqwi wa huko ni kweli huyajui haya?

"Dar wanafahamika kuwavua walevi waangusha magari na kuwavunjia mayai Ili kuwatia adabu. Hivi utalaamu huo ulikuwa haujafika Arusha enzi hizo?"

Tuna bisha kwa sake ya kubisha tu? Kweli tumefikia huko?

Tuhuma zilizopo huzioni kuwa zinastahili majibu kamili? Kama majibu huna, wanafunzi wa St. Mary's Mazinde wanahusika vipi hapa?

Zingatia wanafunzi 600 wa LST ni graduates wa vyuo vyote nchini bila exception. Kwa hakika hata graduate wa Havard University asingetoboa.

Kwamba ukweli huo huujui au unadhani kuna fursa ya uteuzi uki side na establishment?

Kama huna hoja mkuu, mbona ustaarabu si ni kuufyata ndugu?
 
Unatetea upumbavu. Law school haijawahi kuwa rahisi. Acheni siasa kwenye mambo yasiyohitaji siasa. Hata wakifeli darasa zima ni sawa. Sio lazima kila mtu awe wakili.
 
KWa matokeo ya namna hii inaonesha hata walimu wao wanaowafunfisha ni vilaza,au wamefika level hii kimchongo, na KWa mantiki hii hakuna chuo Hapa, ni ujanja janja tu, haya sio matokeo bali ni uchafuzi,

Kuondoa nongwa hao pass pass wapewe mtiani upya kutoka chuo KINGINE ndani ya A.mashariki tuone Kama watapita,

Hoja hii ina mashiko
 
Aah hongera mkuu sikufahamu kama umejikita na human rights👏
 
Unatetea upumbavu. Law school haijawahi kuwa rahisi. Acheni siasa kwenye mambo yasiyohitaji siasa. Hata wakifeli darasa zima ni sawa. Sio lazima kila mtu awe wakili.
Upumbavu ni subjective. Kwanini hudhani mtetea upumbavu unaweza kuwa wewe?

Nikurejeshe kufahamu hata MUCHS kuliwahi kuwapo hali mbaya labda kuliko hizi.

Ilikuwa ni kelele za waungwana kama sisi zilizowaondoa wakware wa rushwa za ngono na mambo leo ni murua.

Hata enzi hizo wapumbavu wenye kutetea upumbavu kama wako walikuwapo.

Wewe Kaa kwa kutulia. Safari hii tumedhamiria kweli kweli.
 

Waione wakiwamo mamburula wote:

Cc: MamaSamia2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…