Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Hakuwa na lolote la maana zaidi ya kelele ti angekuwa anachukoa rushwa angebadilisha sheria hasa ile ya rushwa
 
Mali ya ccm na ufisadi wote umefanywa chini ya meko fisadi namba moko
 
ni kweli uongozi wa Shirika una mapungufu. ukitaka kujua nenda kaangalie bajeti ya AZAM na ya TBC, ya TBC iko juu with poor quality, hata TV za mtaani zenye very low bajeti kuwa zina ubora na zinafanya biashara kuliko TBC, what a shame.
Kishindo cha awamu ya 5
Tunatekeleza
 
Kwa jinsi alivyoanisha point lazima ni yeye au andiko lake kampa mtu, who can take all that trouble?
Walioharibu kamera hawahojiwi?
Gharama lazima ziwe kubwa,ndani ya studio wamefungua Baba/Mama lishe.Nina mashaka watafungua pull,na Bar ndani ya studio.
 
Walioharibu kamera hawahojiwi?
Gharama lazima ziwe kubwa,ndani ya studio wamefungua Baba/Mama lishe.Nina mashaka watafungua pull,na Bar ndani ya studio.
Rudia tena bwashee
 
Kina Rioba walikuwa wanajificha kwenye kichaka Cha kumsifia Magufuli na kumu rusha live kumbe wapigaji walio kubuhu
 
Tutamlaumu hayati, tutamlaumu mkurugenzi, lakini kuna vitu kwenye ununuzi huwezi kubaini mpaka uwe ndani ya tasisi husoka na kwa muda mrefu na uwe sehemu ya kazi hizo. Kama huna side informal informers huwezi kujua kila kitu. Unakua badhi ya kampuni wananunua vitu vingi si rahisi kujua kipi nimekuja au la mpaka upate ushirikiano wa kutosha na mkuu wa kitengo. Haya mambo yako sehemu nyingi sana , tatizo ni viwango kutofautiana. Hao wote wahusika wafilisiwe tu , maana hawafai kwenye jamii.
Lastly mkurugenzi aweke follow up kwa kila mradi, afuatilie implementation, na awe member of the tender board, na watumie softwares zitamsaidia kujua high value projects/orders za kufuatilia kirahisi. Last aongee na watu wa chini wale wanakua mengi kuhusu madudu ya hao head of deparments. Last watu wanapopewa madaraka wapewe seminar kwenye maswala ya procurement and contract, zaidi procurement frauds na janja janja nyingi, procurement governance, and basics of how to read financial statements. Mtu wa account hawezi kula bila kushirikisha mtu wa procurement ,and kitengo hiki account for 80% of the total money spent by an organization
 
Kama kuna ufisadi ambao haujawahi kushughulikiwa nchi hii ni manunuzi kupitia tender. Watu wa tender ni mafisadi namba moja na wahujumu uchumi.
 
Kama kuna ufisadi ambao haujawahi kushughulikiwa nchi hii ni manunuzi kupitia tender. Watu wa tender ni mafisadi namba moja na wahujumu uchumi.
Magunia ya maharage mashuleni in uhuni mtupu,
Halisi gunia 100.
Mbinu gunia 500.
Wakati huo mtakula kabeji mpaka mkome.
Wali ratiba inasema kila baada ya ck mbili.uhalisia mnakula Jpili tu
 
Uko sahihi 100% mbinu za upigaji usipozijua utapigwa tu. Kuongea na watu wachini muhimu sana. Wana taarifa nyingi na ndio watendaji
 
Magunia ya maharage mashuleni in uhuni mtupu,
Halisi gunia 100.
Mbinu gunia 500.
Wakati huo mtakula kabeji mpaka mkome.
Wali ratiba inasema kila baada ya ck mbili.uhalisia mnakula Jpili tu
Na wanafunzi nao wanajifunza. Wakiwa wakubwa nao wanakuwa mafisadi.
 
Ryoba ni mwizi unajitetea tu ni mwizi wa moja kwa moja
 
Umemjibu vizuri sana vijana wamejazana kila kona lakini watu wanapiga tu sijui hawa vijana wa TISS wanafanya kazi gani sijui wanawekwa tu uzoefu wa kazi wanazopangiwa hawana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…