Kufanya tendering ya vifaa kama hivyo wangekuwa wanaambatanisha quotations za bei za manufacturers, hata kama utafanya estimation ya retail price watajikuta wana base kwenye some percentages. Mfano, kama mzalishaji kaweka bei ya milioni 2, ni ngumu retail price kuwa milioni 6 (mara 3 ya bei ya kiwandani), labda inaweza kuwa mil. 2 na laki tano........hii inaweza kusaidia hata ambao wanaidhinisha kutoingizwa kwenye mkenge wa manunuzi yanayoonekana yana harufu ya ufisadi........