Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Kufanya tendering ya vifaa kama hivyo wangekuwa wanaambatanisha quotations za bei za manufacturers, hata kama utafanya estimation ya retail price watajikuta wana base kwenye some percentages. Mfano, kama mzalishaji kaweka bei ya milioni 2, ni ngumu retail price kuwa milioni 6 (mara 3 ya bei ya kiwandani), labda inaweza kuwa mil. 2 na laki tano........hii inaweza kusaidia hata ambao wanaidhinisha kutoingizwa kwenye mkenge wa manunuzi yanayoonekana yana harufu ya ufisadi........
 
Mimi sio mtaalamu kivile, ila kutokana na uzoefu kiasi wa kuhusika na masuala ya media nachelea kusema mtoa taarifa una information lakini kuna kitu unakificha aidha kwa kutokujua au kutokuelewa umesema vifaa vineletwa na vimewekwa stoo kutokana na kukosa wataalamu wa kufanya training na istallation, nimejaribu kupitia orodha tajwa hapo juu karibu asilimia 80% mpaka 85% (ya ninavyojijua mimi) vinaweza kutumika bila ya ujuzi wa ziada wala training ya ziada kwa mtu ambaye anafanya kazi kwenye media.

na hizo asilimia 10% mpaka 15% ya vifaa vilivyobaki, nina uhakika graduate wa telecommunication Engineering anaweza kuvifanyiwa installayion bila kuhitaji upekee huo unaosema.(na TBC wataalamu hawa wanao!)

hivyo kama vifaa vimetunzwa kwa ajili ya taratibu zingine za kiofisi ni bora useme, ila kuniambia kisa training na Installation nakataa, hakuna kifaa cha ajabu hapo asilimia 90% ni vya kawaida sana
Ulitaka kusema nini? Hakuna ufisadi?
 
Ayoub Rioba Chaha ni mtu safi kbs huyu jamaa hajui rushwa na sio mrushwa kabisa. Hana hata chembe ya ufisadi. Rioba tatizo lake kubwa hapo TBC ni kuleta aina ya uongozi ambao ulipaswa kupandikizwa taratibu. Aliingia na kuona baadhi ya watu hawafai kuwepo TBC na kujaza timu yake. Mtu ambaye ni muadilifu kama Rioba alitakiwa kuwa sehemu tofauti na hapo TBC ni dude moja kubwa sana. Wengine tulijua hawezi kudumu ama kukaa na watu wachafu na wezi. Kuna mkasa wa Suzan Mungy ambaye alifanya kitu tofauti na maagizo ya MD Rioba alichokifanya majibu yake aliyapata na yupo hapo alipo. Ayoub hapo anapigwa vita sana tena sana. Kwa hili nami namlaumu kwa uzembe wake inakuwaje unaongoza taasisi kubwa hivi nyaraka za zabuni ama malipo zinapita bila ya yeye kusitisha huo mchakato! Hapa anatakiwa kuwajibika kwa kufanyakazi kizembe. Endapo serikali inaweza kufanya uchunguzi wa kina huyu Rioba mimi nipo tayari hata kwenda kuapa popote sio Fisadi na wala hana tabia hizo. Ayoub hana siri ukijidai unampa siri ya dili ukae ukijua kuna siku ataitema mbele ya watu. RIOBA UNAWAJIBIKA KWA KUFANYAKAZI KIMAZOEA. ILA KAPU LA UFISADI HAUWEZI KULIBEBA HAUNA TABIA HIYO. Pole walikukosa Kasulu kwenye ajali ya gari watakupata kwa uongo wao huu.
Mkuu umenena. Swala hapa ni Ryoba kuwajibika na ndio kanuni ya uwajibikaji; sasa anawajibika kizembe kwa mambo angeweza kuyazuia kwa kuchukua hatua mapema.
 
Mimi sio mtaalamu kivile, ila kutokana na uzoefu kiasi wa kuhusika na masuala ya media nachelea kusema mtoa taarifa una information lakini kuna kitu unakificha aidha kwa kutokujua au kutokuelewa umesema vifaa vineletwa na vimewekwa stoo kutokana na kukosa wataalamu wa kufanya training na istallation, nimejaribu kupitia orodha tajwa hapo juu karibu asilimia 80% mpaka 85% (ya ninavyojijua mimi) vinaweza kutumika bila ya ujuzi wa ziada wala training ya ziada kwa mtu ambaye anafanya kazi kwenye media.

na hizo asilimia 10% mpaka 15% ya vifaa vilivyobaki, nina uhakika graduate wa telecommunication Engineering anaweza kuvifanyiwa installayion bila kuhitaji upekee huo unaosema.(na TBC wataalamu hawa wanao!)

hivyo kama vifaa vimetunzwa kwa ajili ya taratibu zingine za kiofisi ni bora useme, ila kuniambia kisa training na Installation nakataa, hakuna kifaa cha ajabu hapo asilimia 90% ni vya kawaida sana
Hauzijui ama hauna uelewa wa ofisi za Umma hakuna sehemu wazembe na wajinga kama watendaji wa Umma. Haushangai Rais aliokota vichwa vya trein Bandarini! Ipo hivi hawa maboharia wanajua sana michezo hii especialy kwenye shirika kama TBC kurundika vitu na vikose wataalamu wa kuvitumia wala sio kitu kigeni. Nenda TBC taifa ndio utajua kuna mazuzu yamejaa pale. Japan wametoa equipments za maana sana lakini kuzitumia hakuna ujuzi.
 
Mkuu umenena. Swala hapa ni Ryoba kuwajibika na ndio kanuni ya uwajibikaji; sasa anawajibika kizembe kwa mambo angeweza kuyazuia kwa kuchukua hatua mapema.
Tena anawajubika kipuuzi sana. Huyu jamaa yupo very smart sijui hapa walimpita vipi?! Haiwezekani kitu cha Tshs. 1.74B kinapitishwa na kulipwa 1.72B kisha unataka Ayoub aendelee kukaa ofisini hapana. Lazima awajibike kwa kushindwa kusimamia shirika. Lakini sio kwa ufisadi. Rioba yupo pale halafu kawekewa msaidizi wake Bibi mmoja anaitwa Mama Swai Martha..sasa jaribu kuelewa fitina inayomtafuna. Mimi hainigii akili serious documents zenye huge amounts of money zinapita bila MD kuziona..kama alisinzia basi arudi UDSM akaendelee na chaki tu.
 
Du............... wakereketwa wamemwaga mboga!
Kazi kwako PM Majaliwa!

Kuna watu suruali leo hazitawatosha.
Huyo Mkurugenzi wa Manunuzi na Sattelite si mumtaje tu jina?
Tusije kunywa naye bia nasi tukadakwa!
😅😅😅😅chawa kama chawa wote sukuma ndani
 
Kuna kampuni imeanza fanya kazi TBC since 1999, punguza chuki zisizo kusaidia moyoni mwako.
Kwani kampuni hata ikianza tangu 1970 mimi siwezi leo 2021 nikaweka mkono wangu hapo? Ongeza kufikiri mkuu.
 
jibu sahihi ni kuwa alikuwa anawaamini watendaji wake kupita kiasi. kuna taarifa kuwa huyo Mkurugenzi wa Manunuzi yeye ndie alimleta alipoteuliwa.

You do make sense pia, maana kila siku wanafanya manunuzi lakini hakuna ubora katika production yao na vipindi havina mvuto.
Kuhusu ubora na mvuto wa TBC, ni bora ife kwanza kizaliwe kitu kingine ambacho kitakua huru bila kubanwabanwa na CCM, labda kitakua na ubora na mvuto. TBC imepoteza mvuto, hata wenye TBC hawaiangalii. Kodi zetu zinaliwa bure.
 
Macbook Pro 16" Laptop- Apple bei ya mtandaoni kwa sasa ni TZS 8,058,197.00. Kwenye orodha ya TBC ni TZS12 milioni na ushee! Na hiyo bei ya mwaka jana.
Kwenye tender hio ni kawaida labda kwa sababu hujawahi kufanya tendering sababu unatakiwa ulipe VAT 18% Sasa ukiweka original price utapata hasara
 
Ni eneo gani la serikali ambalo halina vijana wa TISS? Je hakuna ufisadi? watu wanachomoa pesa hadi benki kuu na TISS wamejazana kibao, mbona nilifikiri una akili kuzidi hii comment yako?

Na kwa taarifa yako kilichosababisha aombe kujiudhuru ni kutokana na mwenendo wa uchunguzi unaoenda kuwatia hatiani maana yeye kama msimamizi na pay master wa serikali lazima awajibike kwa uzembe uwe wa kujua au wa kutokujua.
Hiki kitu kizito ulichomuangushia Evarist Chahali Mungu anakuona.
 
Duu! Hawa walimuweza kweli Mwendazake, walimsahaulisha kila kitu kwa kumpa live coverage ziara zote, barabara nzima! Wakawatangaza vibaya wapinzani na hata kuwabania taarifa zao zote muhimu huku wakimwimbia Mwendazake na ccm mapambio ya kila aina, kumbe nyuma ya pazia wanapiga chao!
Hakika uchunguzi kama huo na ufayike taasisi zote sio hapo tu usikute hata ATCL kukawa na upigaji wa kutisha!
 
Magu amefanya yake wacha apumzike ni raisi bora kabisa kutokea hapa Tanzania,upende usipende ndivyo hivyo, mnaojaribu kumchafua mnajidanganya bure kama akina february Marope na genge lake.
Hajawahi kuwa bora alikuwa rais wa ovyo.
 
Back
Top Bottom