William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #861
nguvu gani imetumika?mama anaumwa hujawah mpost even once afu unatak kushawish umma kuwa haujalaaniwa,kwa umri wako hukutakiww kuwa hivyo,kitu cha kushangaza ni kwamba kila ovu lazima ulitetee tu,kuanzia bashite vyeti,bashite magari,bashite roma mpka bashite lissu.Kwann unatumia nguvu sana mkuu.Mpaka ridhiwani aliongea vile ujue ulikua umekera sana,na kuonesha hueshimik hata kwa hao unaowatetea akuna anayekukumbuka kwenye post yoyote and you will never get it.
- Sasa mbona unaongelea wastaafu hahahahaha unasema ninahitaji kuheshimika na wastaafu? hahahaha Mama yako huwa unamposti hapa? hahahahaa pole sana sina shida ya kuheshimika na wastaafu no way! hahahahaha
le Mutuz