Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

nguvu gani imetumika?mama anaumwa hujawah mpost even once afu unatak kushawish umma kuwa haujalaaniwa,kwa umri wako hukutakiww kuwa hivyo,kitu cha kushangaza ni kwamba kila ovu lazima ulitetee tu,kuanzia bashite vyeti,bashite magari,bashite roma mpka bashite lissu.Kwann unatumia nguvu sana mkuu.Mpaka ridhiwani aliongea vile ujue ulikua umekera sana,na kuonesha hueshimik hata kwa hao unaowatetea akuna anayekukumbuka kwenye post yoyote and you will never get it.

- Sasa mbona unaongelea wastaafu hahahahaha unasema ninahitaji kuheshimika na wastaafu? hahahaha Mama yako huwa unamposti hapa? hahahahaa pole sana sina shida ya kuheshimika na wastaafu no way! hahahahaha

le Mutuz
 
Wana jf aliyeleta maoni haya hajielewi
ifahamike kuwa kazi ya seriali nikulinda Raia wake wasishambuliwe na maadui.sasa atuambie kwa nini kibanda,saanane,kubenea na wengine uliowataja kama akina Ulimboka walipatwa mateso makali badala ya serikali hiihii ya ccm kulivalia njuga,ikajitia pamba masikioni na kuunda tume au kujiapiza kuwa haitakosa kuwakamata waliohusika kutesa na kuumiza watu wale.Hivi kweli kama BEN angekuwa mtoto wa kigogo au ndg yake serikali ingepotezea kama ilivyopotezea walioumizwa na kudai kuwa watu wasiojulikana?,Nchi zetu za Afrika zimekumbwa na jaribio kubwa ambapo watawala huamini kuwa ili chama chao kidumu kutawala nikuhakikisha inavunja sheria,au inahakikisha mamlaka yanayohusu uchaguzi yanakosa meno au vyombo vya dola viinageuka kuwa makada.
hatuwezi kupiga hatua za maendeleo kwa falsafa hii,mwaka 1961 tulipopata uhuru tulikuwa tunakabiliwa na changamoto ya umeme kutoweza kusaidia uendeshaji wa mitambo yetu hadi 2017 nchi bado inaumeme wa kubahatisha ,wanaosema na kukosoa wanapewa carrot ad sticks

- Ina maana unajielewa sasa umeposti nini hiki mkuu? hahahahahahaa

le Mutuz
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Ila ccm ilikuwepo!!!
 
My man...hapa unatwanga maji kwenye kinu tu.

Hutoweza kabisa ku reason na hawa watu.

Wao tayari wanaamini wanachoamini. Wameshalewa chuki na siasa.

Wameshahitimisha na wanamjua aliyetaka kumuua Lisu.

They are stuck on stupid. And that absolutely renders it impossible to reason with them.
Wanajamii hili ni jamvi adhimu la rational thinkers lakini baadhi yetu wengi in impulsive na irrational thinkers.
Swali kubwa ni kwamba serikali itakamilisha vipi uchunguzi iwapo shahidi mkuu ambaye ndiye pekee aliyeshuhudia shambulio lile amefichwa hadi leo.
Halafu tunaweza kupaza sauti yetu kuilaumu serikali kuhusu uchunguzi wa tukio lile bila kushindikiza shahidi ahojiwe ? Ninahisi wengine wanatoa machozi ya mamba wakidhani wanapata political mileage
 
- Aliyekuambia Serikali imeshindwa ni nani? Ni nani aliyeomba akamatwe?

le Mutuz
Eh! Ama kweli nimeamini kumbe matusi yote unayotukanwa na kina Mange yanakustahili...
Yani polisi huwa wanaombwa kukamata wahalifu wakati ni kazi yao??!!
 
Eh! Ama kweli nimeamini kumbe matusi yote unayotukanwa na kina Mange yanakustahili...
Yani polisi huwa wanaombwa kukamata wahalifu wakati ni kazi yao??!!

- Mange kajitukana mwenyewe maana yale matusi yote yanamuhusu marehemu Baba yake, otherwise eti unataka kujua nani anahusika na kifo cha Chacha Wangwe au what?

le Mutuz
 
- hahahaha ina maana ndio maana wameshindwa kumtafuta alimuuaa Chacha Wangwe ni kwa sababu ya mke na mtoto au what?

le Mutuz
Wangwe alipata ajali policcm walichunguza dereva akapatikana na hatia ya careless driving ..
otherwise ingekua kinyume policcm wangotoa ushahidi.
hapa lissu ndo issue. Nani alimpiga na kwa nini askari wa zamu getini hawakamatwi na kwa nini wauaji walipewa easy trafic kukimbia.
chacha wangwe hata mtoto wake yupo cdm na anapaza sauti dhidi ya dereva asie na leseni ...alilichukua lori kwa kuharibu na kusukumizwa
 
Sijui watoto wake wanajisikia vipi kuwa na mzee hana akili kabisa
 
Wangwe alipata ajali policcm walichunguza dereva akapatikana na hatia ya careless driving ..
otherwise ingekua kinyume policcm wangotoa ushahidi.
hapa lissu ndo issue. Nani alimpiga na kwa nini askari wa zamu getini hawakamatwi na kwa nini wauaji walipewa easy trafic kukimbia.
chacha wangwe hata mtoto wake yupo cdm na anapaza sauti dhidi ya dereva asie na leseni ...alilichukua lori kwa kuharibu na kusukumizwa

- Duh! kweli yako ni Great Thinking U know hahahahaha

le Mutuz
 
Sijui watoto wake wanajisikia vipi kuwa na mzee hana akili kabisa

- Ungejiuliza baba yako anajisikiaje kuwa na mtoto kama wewe mwanaume unayehangaika na maisha ya wanaume usiowajua kwenye mitandao na majina ya bandia? hahahahahaha jiangalie kwanza kuhusu baba yako na wewe kichwa koroma hahahaha

le Mutuz
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Nyie watu mnafikiriaga na pua sio umekaa na kichwa chako kikubwa unategemea serikali itoe majibu ya msingi wewe. Unatuletea mlolongo wa history za ajab ajaba kila tukio lina chanzo chake bwana umekaa kihistory history tu shtuka wewe mleta uzi
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
We kweli bwege! Soma tena ulicho andika halafu fikiri upya MFc! Umekuwa nani kuijibia serikali? Yule unayemuita baba yako angekuwa ametwangwa yeye risasi ungeyasema maujinga haya kweli?
Ngoja nikuache kwani naanza kuamini zile tuhuma za tabia chafu kuwa zina ukweli
 
Back
Top Bottom