Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Mbona mada yako yote inaonyesha na wewe ni sehemu ya serikali??
"Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi"
Yaani na wewe ni sehemu ya selikari, na sisi tunao wachanganya ni wananchi....umekua msemaji wa serikali??
 
kwa ulichoandika tarajia uteuzi ngazi ya U-DC!!kunyamaza nayo ni busara wala uropokaji si ujuaji!! @getwellsoonTLISSU
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Ungekuwa na point endapo tungekuwa na Serikali yenye SIFA zifuatazo: 1.Serikali HALALI; 2.Serikali INAYOJIAMINI; 3.Serikali MAKINI; 4.Serikali ya KIDEMOKRASIA; 5.Serikali ya wacha MUNGU. Mosi, "Ushindi" wa Msukuma kwenye SANDUKU LA KURA unatiliwa shaka-hivyo SI serikali halali(uhalali wamepewa na Katiba kuukuu ya kuipa tume Mamlaka ya Ki-Mungu). Pili, serikali hii ni ya watu WAOGA, kuanzia "rahisi" na wadogo wote. WANABWEKA tu kama mbwa koko; serikali inaona kila mwenye MALI au AKILI ni tishio kwake! Tatu, haina DIRA wala MUELEKEO, haijui nini inataka, nini haitaki. Serikali ambayo iko tayari ichukue FEDHA ZA KUNUNUA DAWA NA VIFAA TIBA na kwenda kununua NDEGE, zije, wauze huduma, then, FAIDA watakayopata ndipo wanunue dawa! Hii ina maana watanzania kwa sasa WASIUGUE, "WASUBIRI" KIDOGO! Nne, hii ni serikali ya kidikteta, tena udikteta FAKE, maana hata qualities za udikteta HAWANA. Tano, hii ni serikali ya WAPAGANI. Huyu dokta
wa kuungaunga, MOYONI MWAKE HANA MUNGU HATA NUKTA. Ni mpagani wa kutupa. Kuthibitisha hili, muulize MMOJAWAPO WA WANAFAMILIA YAKE au yeyote aliye karibu na familia. Hutaamini. Hata ukiwa na common sense MOJA out of 5, bado huwezi kusema Magufuli na genge lake hawahusiki. You're MORE THAN POINTLESS, today. Ungekuwa professor, hiki ulichoandika tungekiita PROFESSORIAL RUBBISH!
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa na point endapo tungekuwa na Serikali yenye SIFA zifuatazo: 1.Serikali HALALI; 2.Serikali INAYOJIAMINI; 3.Serikali MAKINI; 4.Serikali ya KIDEMOKRASIA; 5.Serikali ya wacha MUNGU. Mosi, "Ushindi" wa Msukuma kwenye SANDUKU LA KURA unatiliwa shaka-hivyo SI serikali halali(uhalali wamepewa na Katiba kuukuu ya kuipa tume Mamlaka ya Ki-Mungu). Pili, serikali hii ni ya watu WAOGA, kuanzia "rahisi" na wadogo wote. WANABWEKA tu kama mbwa koko; serikali inaona kila mwenye MALI au AKILI ni tishio kwake! Tatu, haina DIRA wala MUELEKEO, haijui nini inataka, nini haitaki. Serikali ambayo iko tayari ichukue FEDHA ZA KUNUNUA DAWA NA VIFAA TIBA na kwenda kununua NDEGE, zije, wauze huduma, then, FAIDA watakayopata ndipo wanunue dawa! Hii ina maana watanzania kwa sasa WASIUGUE, "WASUBIRI" KIDOGO! Nne, hii ni serikali ya kidikteta, tena udikteta FAKE, maana hata qualities za udikteta HAWANA. Tano, hii ni serikali ya WAPAGANI. Huyu dokta
wa kuungaunga, MOYONI MWAKE HANA MUNGU HATA NUKTA. Ni mpagani wa kutupa. Kuthibitisha hili, muulize MMOJAWAPO WA WANAFAMILIA YAKE au yeyote aliye karibu na familia. Hutaamini. Hata ukiwa na common sense MOJA out of 5, bado huwezi kusema Magufuli na genge lake hawahusiki. You're MORE THAN POINTLESS, today. Ungekuwa professor, hiki ulichoandika tungekiita PROFESSORIAL RUBBISH!



Sent using Jamii Forums mobile app

- Ningekuwa sina point kwa a genius like you kuandika mgazeti mzima kujibu rubbish? yanakuwa ni maajabu ya dunia kama sio ya Tanzania tu hahahahahaha

le Mutuz
 
YOU SHOULD STOP THE NONSENSE!!
Tueleze kuhusu huyu mtu unayempamba kilaleo kuliko umsifiavyo mkeo ama wazazi wako!
1. Amefoji vyeti na haondolewi kazini! Sababu ni usalama? Ametumwa?
2. Anashiriki na watu Wa madawa nakisha kuwageuka! Ametumwa?
3. Alifaulishwa chuo kikuu ushirika kinguvu na hâta kusajiliwa kwake! Ametumwa?
4. Anajeuri ya kutukana wakubwa zake,kujua rais na makamu watakao chaguliwa! Usalama alotumwa?
5. Anajificha kwenye dini zote...msikitini na makanisani na kuhubiri! Sababu ametumwa.
TWENDE TARATIIIBU TU...
6. Alijua Roma atatoka lini!
7. Alipata jeuri ya kumnyakua waziri mkuu mstaafu warioba!
8. Alitengua tinted Kama za gari la ... zisitolewe Tena baada ya watu kuhoji usalama!
9. Alivamia clouds na asipingwe na wakuu wake!
10. Alitamka kumkomesha Ruge akasikika redioni wala asikanywe!
11. Ametajwa kumiliki mali nyiingi zisizoendana na kipato wala asiguswe na takukuru!
NATAKA KUTOA NYONGO KIDOGO...
12. Anapigiwa sana simu toka kileleni na kupewa maamuzi ya kutoa mf. Bomoabomoa ambayo angetoa waziri!
13. Anapewa pesa na mkuu wake ili agawie watu wampende wasimtizame vibaya/ubaya wake!

- hahahahaha yaani wewe prosecutor na wewe ni Jaji sasa unamuuliza nani hapa wakati una majibu ya kila kitu ulichoandika? yaani unajitekenya na kujichekesha mwenyewe? hahahahaha

le Mutuz
 
Kama iljshjndikana kwa Dr Ulimboka sina imanj tena Kwa hili
 
Wewe kubwa jinga kakojoe Ulale na Elibadili inayokuja wote mlioshiriki njama za kumuua Lisu mtavuna mlichopanda na huko gheto unapokaa utafuluzwa na baba yako kwenda kulala kwa Bashite

- hahahaha vipi waliomuua Chacha Wangwe mbona hujawaombea madua yako hayo ya kijinga unaomba dua kwa majina ya Bandia anakusikiliza Mungu wa wapi zaidi ya humu humu JF, hahahahaha

le Mutuz
 
- Sasa inahusika vipi na wewe kutowajua waliomshambulia Lissu na kujifanya unawajua peleka ushahidi Polisi ua Chadema.
Willy umeandika kweli tupu, tuwe na subira.
Subra gani isiyo na ukomo? Mambo sensitive kama haya huhitaji wepesi na uharaka wa majibu ili kuwaondolea wengine uoga wa tukio hilo kujirudia! Na kwa utamaduni wa vyombo vyetu hivi kuchukua muda mrefu kwa jambo la aina hii kunawafanya waliumizwa kuwa na notions zisizopendeza juu ya majibu mtakayokuja nayo. Kuna uchunguzi umezitaja humu zenye zaidi ya miaka 20 bila majibu. Sijui nayo unayasemeaje? Huoni kuwa kuna delay ya maksudi yenye majibu rahisi ya kuwa uchunguzi bado unaendelea? Bora waseme tumeshindwa fanyeni ninyi tutawaelewa!
 
Le mutuz huna credibility yeyote siku hizi. wewe ni mtu muongo muongo,baadhi ya mambo yako ya nyuma yanathibitisha hilo, mfano uliwahi kutetea kwamba gari aina ya Ford Ranger uliyowahi kuitangaza kwenye instagram yako inauzwa sio aliyokuja kuimiliki baadaye Bashite, baada ya yule dada wa US kuweka ukweli hadharani, ulikuja kuumbuka! wewe pia umewahi kusema ulimfahamu Bashite tangu anasoma university kwamba alikuwa anamiliki BMW, lakini waliosoma na Bashite university wanamfahamu vizuri hata hali yake ya kimaisha ilivyokuwa siku hizo. kuwa mtu mwenye imani kidogo uache kutetea hata mambo maovu kwa lengo la kujikomba kwa wenye madaraka.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Facts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Sawa sawa.

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.

Ukweli ni kwamba katika Chadema kwa sasa kuna Chadema walio Chadema na kuna Chadema wasio Chadema. Tundu Lissu ni Chadema aliye Chadema ila viongozi wengi ni Chadema wasio Chadema.
 
akubari kutoka seriklini na bashite wamuue kwa risasi

inawauma amepona....

mi nashangaa hata wanaosema wanatulinda

makosa mengi ya operation zao, nape walifanya upuuzi, clouds uupuuzi ule uele, lisu hivo hivo, kweli nchi ipo salama kweli

nazani hapa watu wanakuja na kufanya watakavyo
 
Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.
Nenda ushauriane na mkeo vizuri, mmojawenu akawe mlinzi wake
 
Sasa maccm tangu lini wakatoa ushauri kwa Lissu .. Mbona mnataka kupindisha ukweli wakati inajulikana kuwa ile mission yenu imefeli. Pambaneni na hali zenu ya chadema haiwahusu kabisa.

Get well soon learned brother
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
nimekugongea like, pitia pale kwa mangi ukamate vitochi 2 vya mbege, nitalipa baadae
 
Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.

Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.
Mtaendelea kuweweseka sana mission failed,

Adam anayemuendesha Tundu Lisu siyo dreva ni kijana wake, ndugu yake na amemlea yeye.

Kama ulidhani Lisu ana akili ndogo kama funza wa Lumumba pole.

Ni kwa nini Polisi waliamuru gari zote zitolewe tinted? Walikuwa wanataka wamuone vizuri nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom