Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Kwani lemutuz anataka kusema nini?
Tukio liko staged ?
Maana naona mara alivaa shati blue,hii inasaidia nini kwa sasa?
Mgonjwa yuko mahuti huti,kweli unawaza alivaa shati gani?
Dereva wala lissu wala mbowe hawajasema lolote kuhusu kumtuhumu watu unao jaribu kuwatetea?
Hivi vita yako na mange unaleta jamiiforum home of great thinker?
Sidhani kama wewe lemutuz unaweza kuwa na fact zozote zaidi ya dereva au lissu?
Kama ukisema wewe ndo ulikuwa dereva kwenye Nissan nyeupe ndio njia pekee naweza kuamin fact zako ?
Nakama unajua zaidi,kwa nini usiwasaidie police?
Kwa umri wako na mambo yako am very sure baba yako ana udhunika akikaa akikuangalia..

HITIMISHO..
Uwezi shindana na tundu lissu hata apo kitandani alipo sasa...
Ridhiwani kikwete ni beyond your league..
Mange kimambi amekuzidi hadi followers..
Tafuta kazi nyengine,au uwe mc kwenye kitchen party..

- Mbona anaposhambuliwa Rais na RC hujasema Lissu anaumwa, hahahahaha pole sana so hii ndio nini sasa uthibitisho wa Rais kumrushia risasi Lissu au what? Maana sijakuelewa kabisa hahahahahaha weka wazi unasema nini hasa?

le Mutuz
 
i do respect kazi yako ya social media, sina tatizo na hilo....! tatzo unatumika vibaya brother.....hao wakuu wako (mtukufu na bashite ) wakifanya mission yao ikifeli ww ndio unatumika ku-dump their mistakes na kusawazisha ili upepo ukae sawa, kitu ambacho unakuja kuwa-attack upande wa pili kwa gharama yoyote ili mradi umewasafisha .....nikupe mfano kidogo tukio la pale clouds hadi ushahidi wa cctv camera ulikuwepo lakn ulitumika tena kutetea uovu na kupindisha ukweli kuwa uongo....anyway unatetea ugali wako sikulaumu !

Sent using Jamii Forums mobile app

- Una maana Chadema wakishindwa nao huwa wanakutumia nini maana naona hii theory ya kutumika unaijua sana umeijuaje?

le Mutuz
 
- kwanza ungemuuliza marehemu baba yake alipofanyiwa akule Kigoma ilikuwa lini? au unasemaje?

le Mutuz
Mkuu huyo aliefanyiwa ni baba ake tena marehem...SIO YEYE

UNAFIKIRI TUKIANZA KUFUKUA YALIYOMKUTA BABA YAKO..ATAKUWA SAFI??? WASUKUMA MWANZa wana siri zake nzito

MIMI CONCERN YANGU NI WW , WW NA HUYO BASHITE KWANINI MPIGWE MIDORE??
 
- kwanza ungemuuliza marehemu baba yake alipofanyiwa akule Kigoma ilikuwa lini? au unasemaje?

le Mutuz

Habari ya ww kuingiliwa kinyume na maumbile, kwa sisi watoto wa mjini hatujaanza kuisikia leo mkuu

Why to this extent??

Kusingizia kwmb ndugu zako wanakuchukia haikusafishi na laana hii ya kulawitiwa mkuu
 
Nashukuru kwamba unamfahamu na kumtambua bashite.
 

Attachments

  • IMG_20170912_143650.JPG
    IMG_20170912_143650.JPG
    45.7 KB · Views: 31
  • IMG_20170912_143717 (1).JPG
    IMG_20170912_143717 (1).JPG
    41.1 KB · Views: 31
Habari ya ww kuingiliwa kinyume na maumbile, kwa sisi watoto wa mjini hatujaanza kuisikia leo mkuu

Why to this extent??

Kusingizia kwmb ndugu zako wanakuchukia haikusafishi na laana hii ya kulawitiwa mkuu

- Hapana anatumwa tu yule dada ila anachokosea anamzungumzia baba yake mzazi ndio maana namuonea huruma sana maana mimi sio baba yake mzazi aliyefanyiwa anayoyazusha!

le Mutuz
 
Mkuu huyo aliefanyiwa ni baba ake tena marehem...SIO YEYE

UNAFIKIRI TUKIANZA KUFUKUA YALIYOMKUTA BABA YAKO..ATAKUWA SAFI??? WASUKUMA MWANZa wana siri zake nzito

MIMI CONCERN YANGU NI WW , WW NA HUYO BASHITE KWANINI MPIGWE MIDORE??

- Baba yangu hajawahi kuwa raped na wanaume 10 mpaka akafa, i am sorry hayanihusu kabisa hayo yanamuhusu aliyeyazusha

- le Mutuz
 
- wanaolalamika ni Viongozi wa zamani na famailia zao maana mirija imefungwa, wananchi wa mtaani hawajawahi kuwa maisha bora zaidi ya waliyonayo sasa msiwasingizie hawana tatizo na Rais.

le Mutuz
Wananchi gani wenye maisha bora unaowazungumzia,wenye maisha bora ni wawili tu lemutuzzz na bashite ndo wanaoneemeka kwenye utawala huu wa hili jiziiiiii la chatto
 
Kuna tabia ukiwa nazo hata usome vipi au wapi unapoteza muda tu. Usijisumbue kutafuta madaraka CCM, tatizo wabaya wako wana ushahidi kuwa wewe una kwato na unacheua. Halafu wenzako kama wewe ni wabunifu na wachapa kazi wakati wewe umezoea kulishwa kwa dripu. Unapoteza muda kaka shangazi.
 
- Hapana anatumwa tu yule dada ila anachokosea anamzungumzia baba yake mzazi ndio maana namuonea huruma sana maana mimi sio baba yake mzazi aliyefanyiwa anayoyazusha!

le Mutuz
Mkuu unaposema ametumwa una maanisha nini???

Kwamba nduguzo wa damu wanakuchukia hiki??

kwanza beef yoyote unayoanzishaga na huyu mwanamke..huwa anakushinda

You are a fool fighting a war you cant win
 
Back
Top Bottom