The List
JF-Expert Member
- Mar 25, 2017
- 1,732
- 4,924
- Dunia nzima inasoma kwake na kwangu kusoma kwangu sio lazima uwe my follower, yeye kaandika ujinga ila mimi nimeandika facts ambazo zinamuuma halali na familia yake nzima, naijua vita ya Social Media na anajua kuwa hapa ndio mwisho wake anaonea wote ila hapa huwa anakwama.
le Mutuz
Mkuu nikisahihishe tu..dunia ni kweli inasoma lakini je view implessions zinaenda kwenye post za account ya nani
Na ni watu wangapi wenye audacity ya kuamini na hata kuchukua post hiyo na kuisambaza kweny account zao.
Numbers dont lie bro..huyu demu humuwezi..yaani ni kwmb ww unamtumia demu kupata kiki
LAKINI BAD ENOUGH UMESHINDWA KUONGEZA NEW FOLLOWERS SABABU WATUMIAJI WA INSTA WANAOMFOLLOW HUYU DEMU NI ROYAL KWAKE [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AU NA WENYEW WAMETUMWA NA NDUGU ZAKO[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji41] [emoji41]