Tuige hii desturi ya wachaga

wala sishangai kumbe haya maneno ya mlevi,.


Ora acha mambo ya mperampera arifu! Ulevi umenipa wewe na hyo embasy unayo vuta nayo pia ni ulevi si ndio?Nakuuliza wewe ndanda mpauko.Unajua faida ya gomba wewe acha za kizombi arifu.:majani7::majani7::majani7:
 
Wachaga 2po juu hakuna xhmu nch hii utamkoxa mchaga

Mtu yeyote atakayekataa ukweli huu, basi huyo ana WIVU WA KIKE. Hili suala la uchapakazi wa wachaga nimelifanyia utafiti kwa muda mrefu na kugundua kwamba wachaga ni kabila la wapenda maendeleo na hawapendi ugoigoi hata kidogo.
 
Binafsi nimekaa nao pia nimesoma nao katika shule na hata chuoni tunao, wanapenda sana masomo ya sayansi na biashara, arts ukiwaambia wengi wao watakushangaa

Ukweli huu utabaki hata km tutabishana humu, ndio wafanyabiashara wakubwa hapa nchini wanaoshindana na makampuni na maduka makubwa yavwahindi

Ni wanywaji wazuri wa bia na nyama choma, ila mtoto lazima asome shule za maana km private na seminari

Niwashindaji wa hoja katika kusaka haki na kweli, wanavhasira sana pale wanapohisi wanaonewa.

Wakiazimia kufanya jambo hawakati tamaa mpaka walitimize

Urithi kwa watoto waobsio pesa hata km wazazi wanazo badsla yake wanawasomesha kwa gharama yoyote.

Mchaga atauza maji hapa mjini, Christmas akirudi kwao lazima ajenge nyumba nakuvaa vizuri.

Wanapenda sana kushirikiana ktk maendeleo, pia ndugu kwa ndugu wanashikana mikono sana.
 
Mimi sio MCHAGA lakini hawa jamaa nawakubali kwa uchapakazi wao. Sijawahi kukutana na mchaga zoba, mlevi, mvuta bangi au mzururaji....wachaga wote wapo makini katika kujiletea maendeleo...hawana muda wa majungu, uzakubimbi au u-loafer. Ukiona mtu anasifiwa, mpongeze kwa juhudi zake badala ya kumbeza na kumfanyia wivu wa kike! Likewise, ukiona mtu anawabeza au kuwachukia wachaga, muogope kama ukoma!
 
Last edited:
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.

NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

Wachagga nawajua vizuri, baadhi nimekuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi kwa muda mrefu wengine nimeishi nao kama ndugu.

Maneno niliyoyapigia mstari kwenye post yako ni kweli tupu!
 
iyinga acha kutudanganya juzi tumezika mtoto wa shayo alikufa kwa uizi wa simu pamoja na kukwapua pochi wananchi wenye hasira kali walimuwahi na kuummaliza, kuhusu uizi wachaga huwa hawachagui wanaiba mpaka mayai

Tehe tehe tehe mpaka mayai aa!
 
I am a proud chagga..wouldn't trade it for anything...ote Mae ..nikundi moshi lanye
 
Wewe acha upimbi huo!
Wachaga hawana akili zozote za maisha ni ushirikina tu nakwambia nenda Rombo kahesabu idadi ya matahira kule. Utashangaa
Kama wanaushirikina na wanamaendeleo ni afadhali kuliko kwenu mnaogopa hata kujenga nyumba ya bati kisa mtalogana!
Fanya kazi, timiza malengo utafanikiwa kama wao.
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
na wewe kua mshirikina tuuone umwamba wako
 
chamecha mbe!
 
story za kufikirika pole kwa kuzaliwa mdigo
 
Wangekuwa wamesoma wasingejazana kwenye mitaa ya jiji la dsm, wakitung'arishia mokasini zetu,hawana lolote msiwape promo bure,sijaona mhaya ambaye anasifika kwa kusoma akifanya kazi hiyo.
 
Michaga karibu yote
1.MIJIZI
2.MIJAMBAZI
3.MITAPELI
4.MICHAWI
5.MIBABAISHAJI
6.MIPENDA SIFA
7.MIBAGUZI
8.MILEVI
9.MIPENDA MADARAKA.
10.MIPENDA RUSHWA
pole sana mdau kuzaliwa uchagani raha sana aisee ukitaka kujua uzuri wa wachaga subiri december nenda kule migombani uone......yani kama wazungu wanapoenda vacation......ushauri wangu kua mpole waangalie wachaga wanayofanya alafu iga mifano toka kwao
 
wako bize kwa ulevi nao sio kwao arusha kwao moshi
 
Kinachonifurahisha kwa wachanga kama una pesa na nafuu ya maisha unaweza kuwamaliza wake wa jamaa zako wote kwa kuwapiga ndonga na bado ukawa unasifiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…