Tuige hii desturi ya wachaga

Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

Si kwel wachaga wapambanaji sana
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Wivu wa kike ni hatari kwa afya yako..
 
Kinachonifurahisha kwa wachanga kama una pesa na nafuu ya maisha unaweza kuwamaliza wake wa jamaa zako wote kwa kuwapiga ndonga na bado ukawa unasifiwa.
Mkuu umekosa cha kuposti kabisa?? Banghead
 
Mkuu umekosa cha kuposti kabisa?? Banghead
Mkuu huo ndiyo ukweli ingawa unauma hizo ndiyo tabia zenu kama una mke mzuri halafu huna pesa utajuta hizi sifa zenu bana mbona mnachagua sifa zingine mnaziacha.
 
Mkuu huo ndiyo ukweli ingawa unauma hizo ndiyo tabia zenu kama una mke mzuri halafu huna pesa utajuta hizi sifa zenu bana mbona mnachagua sifa zingine mnaziacha.
Tupe na za kabila lako mkuu....
 
Tz nzima hakuna kabila wataftaj kama chaga mkubal mkatae wanaakil za kutafuta pesa hawa jamaa iwe halal au laah kinachomata kwao n pesa wapewe sifa maana wanastahil hakuna kisicho na mapungufu
 
Wenyeji wa Arusha siyo wachaga
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Wee muongo, una uhakika kila nyumba kuna mtoto taahira (usishuhudie uwongo).
 
Always i feel so proud when am at moshi, (hata niende ulaya) moshi is my home, chagga is my tribe and am so proud of that!!
 
Wangekuwa wamesoma wasingejazana kwenye mitaa ya jiji la dsm, wakitung'arishia mokasini zetu,hawana lolote msiwape promo bure,sijaona mhaya ambaye anasifika kwa kusoma akifanya kazi hiyo.
Huyu atakuwa ana mtindio wa ubongo kama siyo wivu uliokithiri. I am proud to be a Chagga.
pole sana mdau kuzaliwa uchagani raha sana aisee ukitaka kujua uzuri wa wachaga subiri december nenda kule migombani uone......yani kama wazungu wanapoenda vacation......ushauri wangu kua mpole waangalie wachaga wanayofanya alafu iga mifano toka kwao
 
Ni kweli tunayaweza yote hayo ila mmetunyima uongozi wa juu wa Taifa letu kana kwamba hamtaki maendeleo ya kweli katika Taifa letu.
 
Wangekuwa wamesoma wasingejazana kwenye mitaa ya jiji la dsm, wakitung'arishia mokasini zetu,hawana lolote msiwape promo bure,sijaona mhaya ambaye anasifika kwa kusoma akifanya kazi hiyo.
mkuu umesoma uzi au umekurupuka tu kama nyumbu kabla ya kusoma?
 
mkuu umesoma uzi au umekurupuka tu kama nyumbu kabla ya kusoma?
Nadhani nyumbu wanajulikana watokako.Narudia tena msijipe promo hapa mjini nyie ma shoe shiner
 
Nadhani nyumbu wanajulikana watokako.Narudia tena msijipe promo hapa mjini nyie ma shoe shiner
Rejea somo ulilofundishwa linalohusiana na "DIVISION OF LABOUR". Shoe shine nao wana umuhimu wake katika uchumi wa Taifa letu. Mtu huyu unayemdharau anapata kipato cha kujikimu yeye, familia yake na wazazi wake aliowaacha kule kijijini; na kwa taarifa yako habari sahihi kule kijijini kuwa fulani yuko DSM ni mfanya biashara.

Kama anaingiza TZS 20,000 kwa siku wewe unadhani mfanyakazi wa Urafiki mwenye Diploma anapata kipato hicho kwa siku?
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Limbukeni na zumbukuku wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…