Tuige hii desturi ya wachaga

Tuige hii desturi ya wachaga

Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

Acha kuponda bila mpango, huwajui wachaga kaa kimya. Kwa kifupi wachaga ni watafutaji na hawana mchezo katika kusaka noti. Hii imesababisha miingiliano mkubwa, wapo wanaoolewa na wachaga ili waendelee na wachaga wanaowa makabola mengine makubwa ili speed yamaendeleo ikue. Nitakupa mifano michache. Rais ben ameoa mchaga, rais wa zanziber ameowa mchaga, mtt wa rais mwiny ameolewa na mchaga, wakurugenzi wa tanesco wawili MD wametoka kilimanjaro, mkuu wa udsm mkandala ameoa marangu. Hiyo ni michache sana. Unataka kuniambia mbowe, mengi, ndesapesa, mramba, mtei na wengine matajir wana mandondocha? Heko chagga tuko juu! Chamechenyi mbee!
 
Mwaka jana nilibahatika kwenda Arusha kikazi ambako nililazimika kukaa kwa muda wa majuma mawili. Kuna mambo ya maana nimejifunza kutoka kwa kabila la wachaga, ambayo kama watanzania tukiyatilia maanani, yanaweza kutuletea maendeleo kwa haraka.

Katika pitapita zangu sikuwahi kuwaona wachaga wakiwa wamekaa kwenye vijiwe au vikundi vya kupiga soga—kila mtu yupo serious na kazi au shughuli inayomuingizia kipato. Kuna baa moja maarufu ambayo nilipenda kwenda kula chakula ambako pia nilijifunza jambo kuhusu kabila hili. Sikuweza kuwakuta wachaga wakilewa ovyo kama watu wa makabila mengine. Mchaga akitoka kazini hupitia baa na kunywa bia zake 2 au 3 na kisha huondoka kwenda nyumbani kujipumzisha ili kesho awahi kazini kwake kuchapa kazi bila kuathiriwa na mning’inio (hangover) wa ulevi. Wachaga huwa hawakeshi kwenye mabaa wakilewa chakali. Hawana utamaduni huo hata kidogo.

Aidha, wachaga ni watu ambao wanaheshimu sana kazi. Kazi wanayoiweza na ambayo imewapa sifa sana ni biashara. Sote ni mashahidi jinsi ambavyo watu wa kabila hili wametapakaa nchi nzima wakifanya shuguli za biashara kuanzaia ya duka (Dukani kwa Mangi) hadi biashara kubwa kabisa. Hakuna mtaa katika nchi hii ambako utakosa duka la Mangi. Nadhani mazingira ya mikoa wanayotoka (Arusha & Kilimanjaro) inachangia sana kuwafanya wawe wajasiriamali na watafuta mali/utajiri. Katika mikoa hii, hakuna ardhi ya kutosha kuendesha shughuli za kilimo. Hivyo, inawalazimu kuwa wajasiriamali moja kwa moja tangu wakiwa na umri mdogo.

Wazazi wa kichaga huwarithisha watoto wao ELIMU badala ya ARDHI (ambayo hawana). Mzazi akishamsomesha mwanae hadi akahitimu chuo au kozi fulani, ndio nitolee. Usitegemee kwamba atakupa urithi mwingine zaidi ya huo hata kama ana utajiri wa kutisha—sahau kabisa! Hili nalo linasaidia kuwafanya watoto wa kichaga wasome kwa bidii na kufaulu vizuri. Ushahidi wa hili ni kwenye matokeo ya mitihani ya kitaifa. Mara nyingi mikoa ya Arusha na Kilimanjaro hufanya vizuri kila mwaka. Ndio maana wachaga wengi hushiikilia nafasi za juu serikalini na katika sekta muhimu hapa nchini. Sio kwamba wanapendelewa au kupendeleana kikabila bali inatokana na juhudi zao za kusaka elimu na maendeleao kwa bidii zao zote.

Ikiwa kila mtanzania akiiga utamaduni huu wa wachaga ni wazi kwamba nchi hii itapata maendeleo haraka kuliko tunavyotarajia. Kwa bahati mbaya makabila mengine wanaweza sana kujikweza na kujisifu (Wahaya), kukatana mapanga na kupigana vita (Wakurya), kucheza ngoma na bao (Wakwere, Wadengereko na Wakwere na baadhi ya makbila ya pwani), kujinyonga (watani zangu Wahehe), kula chamaki nchanga na (watani zangu Wamakonde na Wahehe), n.k.

Utamaduni huu wa maendeleo kutoka kwa watani zangu wachaga nimeupenda sana na ningeomba kila mtanganyika mpenda maendeleo auige.

Nawasilisha.
:yield:

Dah! Ndugu, umepata shida sana kipigia mstari! Haya mbona yako wazi tu? Hayahitaji maelezo! Hata mtt mdogo anayajua haya!
 
Kweli wachagga MUNGU katubariki na TALANTA ya biashara nilikuwa napewaga sifa tu lakini nilijua ni kwa mikoa ya kaskazini tu.

Ila nimebahatika kutembea Tanzania jamani tumeikamata hii NCHI kwa biashara yan huu mkoa nliopo kwa sababu za kibiashara wanajua LAFUDHI ya kichagga yani kitendo cha kufungua tu mdomo

Utasikia wanaanza kunisifia oh wachagga mnajua sana biashara oh wachagga wabahili oh wachagga mna akili sana.

Sure sio najisifu ila ndio uhalisia niliokutana nao katika pitapita zangu za UJASIRIAMALI.

Nawashauri Watanzania wenzangu muige mema Kwani ni kwa faida ya Tanzania kwa ujumla pamoja na nyumbani kwako pia.
 
Money runs through my veins....my heart and my mind...i smell money i am money....am powerful,i am great because of it....i will find money wherever it is....and ooh yes a powerful man needs a powerful woman...a chagga too! Lara come this way my lady.....pigeni soga na kuongea ya kuongea ila ni lazima mjifunze kutoka kwetu
 
Money runs through my veins....my heart and my mind...i smell money i am money....am powerful,i am great because of it....i will find money wherever it is....and ooh yes a powerful man needs a powerful woman...a chagga too! Lara come this way my lady.....pigeni soga na kuongea ya kuongea ila ni lazima mjifunze kutoka kwetu

Ni vibaya kuoa chasaka...
 
Eti Rombo kuna mataahira!! Ptuuuuuh...Ni sehemu gani ya hii nchi isiyo na mataahira?? Yeye kaona Rombo tuu!! Vyasaka ni shida saaanaaa!! Mimi na pesa pesa na mimi...ngoja nikatafute shamba lingine huyu ashanipa hasira!!
 
Hivi Lyatonga Mrema nae ni mchaga?
Nadhani wachaga wote wana akili kama zake
10+0=100 halafu anajipigia makofi.
 
Hata waseme nini si sio size yao..yani tupo juu zaidi ya juu yenyewe,am proud to be CHAGGA,karibuni chaggaland

Chagga kwa kikurya ni bange...nyie chagga ama chaga...msijifanye wa wazungu eti chagga... wakati chaga za vitanda tunawalala tu..na hamtokaa mshoke dola...poleni...ibemi tu ndo kazi mlobakiwa nayo na udijei
 
(.....Watani zangu Wahehe..........watani zangu Wamakonde.........watani zangu Wachaga........), wewe mtani wangu ni kabila gani???
 
Acha kuponda bila mpango, huwajui wachaga kaa kimya. Kwa kifupi wachaga ni watafutaji na hawana mchezo katika kusaka noti. Hii imesababisha miingiliano mkubwa, wapo wanaoolewa na wachaga ili waendelee na wachaga wanaowa makabola mengine makubwa ili speed yamaendeleo ikue. Nitakupa mifano michache. Rais ben ameoa mchaga, rais wa zanziber ameowa mchaga, mtt wa rais mwiny ameolewa na mchaga, wakurugenzi wa tanesco wawili MD wametoka kilimanjaro, mkuu wa udsm mkandala ameoa marangu. Hiyo ni michache sana. Unataka kuniambia mbowe, mengi, ndesapesa, mramba, mtei na wengine matajir wana mandondocha? Heko chagga tuko juu! Chamechenyi mbee!

Wachaga ni kabila rahisi sana kugonga binafsi nawapat wachaga kirahisi kuliko madem wa makabila mengine na madem niliobahatika kuwagonga wengi wao ni wachaga... mchaga huitaji kutongoza wapo so cheap...hao watu wakubwa hawana muda wa kutongoza ndo maana wanaambulia cheap women walobaki ambao ni wachaga. wabondei na wasambaa. U 3 tribes r so cheap.
Si kutaka maendeleo wachaga are over cheap na wanashobo kwa watu wa dizain flan.
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

Hahahaaa utafiti wako uliufanyia Romba au?##Romba


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

Kijana hili bandiko lako linafanana na la mtu aliyegeuka kichwa chini na makato juu
 
Back
Top Bottom