Tuige hii desturi ya wachaga

Tuige hii desturi ya wachaga

Hahaha...unajua wachaga tupo wengi na tumegawanyika kutokana na sehemu tunazotokea..marangu..usomi saana,ubishoo na usistaduu,kazi ni kama kawa sema maringo hata mnyambo wa karagwe hafikii hapa,machame...wasomi pia..wapambanaji...ubabe saana na wanawake wakorofi korofi..biashara na wizi kiasi..kibosho...biashara..ukorofi haswa wanaume na wizi...wapambanaji sana...rombo...biashara...wapambanaji kuliko wachaga wengi..wizi....na ushirikina..kuna kituo kabisa kinaitwa KCMC...sio hospitali..ni kwa African chemist!...wa siha...wastaarabu sana,wapambanaji na hawana makuuu...wa uru..washamba..chapa kazi..wasomi..wizi...mchanganiko wa tabia hizi hubeba jina la wachaga kwa ujumla...sisi tunajuana wenyewe kwa wenyewe na ni ngumu ku generalise koz hata civililisation ya uchagani ilianzia sehemu flan na ikaishia sehem flani....kwa mfano uchagani kote nilikopita..mganga wa kienyeji nilimuona rombo tu...sijajua uru na siha vp..lakin marangu,machame,kibosho sijaona kabiisa..
 
usinitishe mimi nimekaa arusha mwaka 21 huu nafahamu dili zote za wachaga hawana kitu zaidi ya ujambazi na njia haramu za kupata pesa

acha kuumauma meno taja hao wachaga kumi majambazi na uthibitishe wezi wote katika nchi hii ni wachaga. Ndiyo maana ccm wamewafanya vitega uchumi, badala ya kufanyaa kazi kwa bidii kila siku wachaga wezi na wanageria wote ni wachaga basi, kukosa hekima na busara bwana!
 
mimi ni mchaga, niliambiwa na dingi kuwa popote niendapo ni jenge, nilime na nikipata mashamba ninunuea kuwa hana kitu cha kunipa. Kwa hasira niliona kaninyima haki yangu ya urithi kumbe alinifungua akili ya kujitegemea. Nilifanya mapinduzi kwa nguvu zote. Ka-shamba ka dingi kwa sasa nakaona kama bustani ya nyanya. Ndugu yangu, kutafuniwa kila kitu ni utumwa. Uchawi ni mungu tu, mwamini yeye utafanikiwa. Kule moshi kuna mademu wana akili utadhani wamechanjiwa pesa.

binti angu wa miaka mitano namwacha dukani naenda kuoga na anauza vizuri bila hasara na shuleni ni kinara, hofu ni bidhaa za juu kwenye shelfu tu kwani anaweka kiti asichoweza kukibeba vizuri hivyo naogopa ataanguka na kuumia mwanangu
 
hahaha...unajua wachaga tupo wengi na tumegawanyika kutokana na sehemu tunazotokea..marangu..usomi saana,ubishoo na usistaduu,kazi ni kama kawa sema maringo hata mnyambo wa karagwe hafikii hapa,machame...wasomi pia..wapambanaji...ubabe saana na wanawake wakorofi korofi..biashara na wizi kiasi..kibosho...biashara..ukorofi haswa wanaume na wizi...wapambanaji sana...rombo...biashara...wapambanaji kuliko wachaga wengi..wizi....na ushirikina..kuna kituo kabisa kinaitwa kcmc...sio hospitali..ni kwa african chemist!...wa siha...wastaarabu sana,wapambanaji na hawana makuuu...wa uru..washamba..chapa kazi..wasomi..wizi...mchanganiko wa tabia hizi hubeba jina la wachaga kwa ujumla...sisi tunajuana wenyewe kwa wenyewe na ni ngumu ku generalise koz hata civililisation ya uchagani ilianzia sehemu flan na ikaishia sehem flani....kwa mfano uchagani kote nilikopita..mganga wa kienyeji nilimuona rombo tu...sijajua uru na siha vp..lakin marangu,machame,kibosho sijaona kabiisa..

usitakenicheke kcmc huyu mama kwa wenyeji hamna anayekanyaga kwake amejijenga sana kutokana na kula hela za wajinga , wagonjwa mpaka kutoka kwa mzee pinda wanakuja kutibiwa hapo kcmc rombo, wenyeji walipaita kcmc kwa kuwa na wodi na wagonjwa wengi mfano wa hospitali ya rufaaa ya kilimanjaro kcmc nafikiri huu nao ni aina ya ujasiliamali kwani mama huyu amejenga na kuwekeza sana kutokana na hospitali hii ya kienyeji
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.

chuki binafsi hazifai kama ni wezi mbona hawajakamatwa na usalama au police toka lini mchaga kawa mshirikina pga kazi kijana na wewe fanya ushirikina uendelee
 
iyinga acha kutudanganya juzi tumezika mtoto wa shayo alikufa kwa uizi wa simu pamoja na kukwapua pochi wananchi wenye hasira kali walimuwahi na kuummaliza, kuhusu uizi wachaga huwa hawachagui wanaiba mpaka mayai

kabila gani katika nchi hii ambalo halina wezi?
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Kwa hiyo magerezani wamejaa wachaga?kwa hiyo hosptal zote zimejaa mazezeta?Kwa nini na wewe usitumie hiyo mbinu!!?Hebu tuache kuwa na akili za samaki wanaofugwa kwenye chupa!!
 
Kwa hiyo magerezani wamejaa wachaga?kwa hiyo hosptal zote zimejaa mazezeta?Kwa nini na wewe usitumie hiyo mbinu!!?Hebu tuache kuwa na akili za samaki wanaofugwa kwenye chupa!!

Pale Moshi mjini kulikua na duka mwenye duka aliwapa masharti wauzaji wake kwamba isizidi saa tatu usiku duka liwe limefungwa,na ni marufuku kufungua hata kukiwa na mteja wa bilion wasifungue.
Sasa siku moja vijana walifunga duka wakasahau ufunguo wa nyumbani dukani ikawabidi warudi kufungua na ilishafika kama saa tatu na Nusu usiku.
Walipofungua tu walichokishuhudia dukani ni balaa.
Walimkuta mama wa yule tajiri wao ambae alikufa kama miaka 7 nyuma yupo zezeta dukani.
Kilichotokea baada ya hapo jamaa alifilisika mpaka chupi.
WACHAGA? Nyie waoneni hivyo hivyo tu.
 
Back
Top Bottom