Tuijadili katuni hii ya Kipanya

Ukishajivua utu wako wa asili ni ngumu sana kupata kuheshimika mkuu, sana sana utaipata heshima ya watu wenye mrengo sawa na wako as akili zenu zinaendana. Ila generally unaonekana mtu below average.
 
Ukishajivua utu wako wa asili ni ngumu sana kupata kuheshimika mkuu, sana sana utaipata heshima ya watu wenye mrengo sawa na wako as akili zenu zinaendana. Ila generally unaonekana mtu below average.
kwanza daima siwezi kubabaika katika yote hata kidogo.

Lakini pia nina ongoza wananchi wenye kila aina ya tabia na utashi. Wapo wanao niheshimu, lakini pia wako wenye dharau, kiburi, ukaidi na majivuno kama wewe tu, lakini hata hivyo nitawafanyaje na ni wananchi wangu?

Siwezi kuwazira, kuwakana, kuwatenga wala kuwakimbia. Ni wananchi wangu na mara zote na hizo hali zao za jeuri mimi ni kiongozi wao na ndio kimbilio lalo. Nami kamwe sintawaacha, nitawasaidia kadiri niwezavyo..

Lakini gentleman,
hata ukiniangalia tu, kweli mimi naweza kubabaika au kukulazimisha uniheshimu kweli na inafahamika wazi una kiburi?🀣

Infact,
Namuheshimu anae niheshimu, asie niheshimu simjali. The end of theory πŸ’
 
Akili ndogo haziwezi kung'amua katuni za masoud ,ni only great thinkers!!
 
Shuka practical baada ya hiyo theory.
 
Kwamba kila mtu atakufa, na anaanza mkubwa (umri) vinginevyo kuwe na janga la kiasili.
 
Serikali ya samaki (alisema mama)
 
Shuka practical baada ya hiyo theory.
Practically,
Ni kwamba, mwananchi moja mwenye kiburi kama wewe hapa jimboni, wakati nikiwa kwenye majukumu ya kawaida ya maendeleo, aliwahi kujipendekeza kunisogelea ati anisalimie kwa makwenzi au sijui alitaka kunizawadia makofi,

ghafla kabla hajanifikia, alirukiwa na wanainchi kwa ngumi moja ya maana sana, kama ile ya jamaa aliypigwaga kule Arusha kwenye msafara wa jeneza la hayati Edward Lowasa, nadhani unaikumbuka ile uppercut chembe la kidevu lazma ukae. Ilitrendi sana wakati ule dah πŸ’

hiyo ni kwa kifupi zaidi
 
Acha mambo yako ewe chawa!
 
Chadema inaitaji nabii aitabirie mifupa mikavu iwe hai tena
 
Huyu
Huyu ni samaki aliteuliwa... Yaan Kwa ufupi ni mama yupo anatokea ZANZIBAR, AMEISHA NI MIFUPA TU! ANAONGOZA SERIAKLI
 
Mbowe kaachwa peke yake na Wafuasi wachaaaache. Viongozi wote wakubwa hawapo wanaonekana Vidagaa tu kumzunguka.
Bahari ni Blue rangi ya Chama.
Kaki/Majivu ni rangi ya Gwanda lake.
Wangepita wapi?

Wakati wote walizingirwa majumbani kwako?
 
Ukishajivua utu wako wa asili ni ngumu sana kupata kuheshimika mkuu, sana sana utaipata heshima ya watu wenye mrengo sawa na wako as akili zenu zinaendana. Ila generally unaonekana mtu below average.
Unamweleza maneno ya hekima mtu asiye na uwezo wa kuyaelewa hayo maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…