Mkuu kama Chama ni takataka basi kule Yanga kuna mavi matupu aiseeMbona unatoa mifano mibovu.. huyo singano tp mazembe ni key player ama role player wa mechi za ligi yao ya congo kupumzisha wachezaji wa maana wasichoke.. singano huwa anaanza starting lineup ya mazembe mechi kubwa za africa?
Mkuu kama Chama ni takataka basi kule Yanga kuna mavi matupu aisee
Simon msuva anajua au haju?Utazunguka kote..ila hoja umeielewa.. mchezaji mzuri huwa hachezi ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. mfano hai nonda shabaan wa yanga na mbwana samatta wa simba.. mchezaji akizidi miezi sita ama mwaka ligi ya Tanzania ujue hana jipya
Naona hoja ya timu ya Taifa imekufa, ok tuhamie kwenye hoja hii ya pili.
Kwahiyo Unadhani wakiwa na bajeti Kubwa, wanamwaga pesa bila utaratibu?
Kama wanaweza kusubiri kwa mwaka mmoja wakampata bure, kwanini watumie gharama saiv?
Simon msuva anajua au haju?
Kakaa Tanzania miaka mingapi?
Ligi ya Tanzania ni bora kuliko ya Kenya.(soma taratibu uelewe)
Michael Olunga kakaa Kenya miaka Mingapi?
Nilikuuliza walikuwa na mkataba wa miaka Mingapi? Hujanijibu mpaka Saiv.Kitu kizuri huwa akifanyiwi ubahiri.. ndio maana ben malango raja casablanca wamemwaga pesa na mazembe na jeuri yao wakakubali... jackson muleka yule alimpiga kanzu pascal wawa taifa.. wamekuja watu na hela mazembe wakakubali kumuuuza.. kwenye hela huwa hakuna jeuri.. na mchezaji mzuri huwa hafanyiwi ubahiri maana timu kubwa zinajua kwamba atawasaidia na hata mbeleni watakuja kumuuza kwa bei kubwa na wao kupata faida mara kibao... ukiona wanakufanyia ubahiri ujue hujui
Vizuri umejipambanua Uelewa wako.( Msuva hajui kwa mujibu wako na anatesa tu Morroco).Msuva hajui ndio maana amekaa tanzania miaka mingi huku wenzake kina nonda shaaban na samatta ni miezi sita tu.. narudia tena mchezaji mkali huwa hakai ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita
Vizuri umejipambanua Uelewa wako.( Msuva hajui kwa mujibu wako na anatesa tu Morroco).
Vipi mbona hujajibu kuhusu Olunga?
Naona hoja ya Olunga unairuka Sana vipi huioni?Ushawai kumuona Msuva champions league mechi ngapi.. morocco timu zinazojielewa ni Raja Casablanca na Waydad casablanca.. msuva angekuwa anajua hizo timu za Morocco zingeshamnunua zamani sana tungekuwa tunamuona caf champions league kila siku kama enzi za samatta... ndio maana Raja casablanca mwaka jana walienda mazembe wakamnunua ben malango.. why wasimnunue msuva kama anajua.. timu anayocheza msuva ipo nafasi ya ngapi kwenye rank za caf ?
Hapo ndipo utajua hujui
Naona hoja ya Olunga unairuka Sana vipi huioni?
Msuva team yake inashiriki CAF Confederation....
Na Mara kadhaa amefunga, vipi kuna lingine?
we dogo tuachie uzi wetu tujadili pasi ya Clatous Chota Chama triple C mwamba wa Lusaka muite the brain kama anapiga kumbe anafinyaCheki unavyohama hama... timu kubwa zinashiriki champions league wewe unaongelea shirikisho..
Caf huwa inatoa ranking kila mwaka za timu bora africa haijalishi unashiriki wapi ama haushiriki mwaka huo.. ila ranking huwa wanakuweka.. weka ranking za timu ya msuva ya miaka mitano nyuma tuone kama ni timu ya maana ama magumashi.. si ajabu hata simba na yanga zina rank ya juu kuliko timu ya msuva..
Narudia tena mchezaji bora hakai ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita.. ndio maana hata msuva anakuwa boya tu... maana wachezaji bora kuwai kucheza ligi ya tanzania hawakukaa zaidi ya miezi sita na majina nakitajia.. nonda shaban wa yanga na mbwana samatta wa simba... wengine wote waliobaki ni makapi tu
NAOMBA UNIJIBU KUHUSU OLUNGA MKUU HUONI?Cheki unavyohama hama... timu kubwa zinashiriki champions league wewe unaongelea shirikisho..
Caf huwa inatoa ranking kila mwaka za timu bora africa haijalishi unashiriki wapi ama haushiriki mwaka huo.. ila ranking huwa wanakuweka.. weka ranking za timu ya msuva ya miaka mitano nyuma tuone kama ni timu ya maana ama magumashi.. si ajabu hata simba na yanga zina rank ya juu kuliko timu ya msuva..
Narudia tena mchezaji bora hakai ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita.. ndio maana hata msuva anakuwa boya tu... maana wachezaji bora kuwai kucheza ligi ya tanzania hawakukaa zaidi ya miezi sita na majina nakitajia.. nonda shaban wa yanga na mbwana samatta wa simba... wengine wote waliobaki ni makapi tu
we dogo tuachie uzi wetu tujadili pasi ya Clatous Chota Chama triple C mwamba wa Lusaka muite the brain kama anapiga kumbe anafinya
NAOMBA UNIJIBU KUHUSU OLUNGA MKUU HUONI?
Team kubwa hazishiriki Confederation? Mazembe Mara ngapi kashiriki?
As Vita je?
Tuziite mbovu sababu zimeshiriki Confederation?
Hizo ranking kwanini usilete wewe mkuu?
Asa kama Humjui Olunga hapa east Africa wewe ni mtu wa Mpira?Nimekwambia zaidi ya mara moja olunga simjui. Wewe unaemjua ndio unielezee kama huyo olunga alicheza ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita ama la?
Caf club ranking hiyo hapo ya mwaka huu.. naomba unitafutie timu ya Msuva ipo namba ngapi
Latest CAF Clubs ranking TOP 30
Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Mbumbumbu kama mbumbumbuKwa ile pasi ya Chama ninasema hivi ninahama rasmi Yanga nahamia Simba Sc kuanzia leo. Siwezi kushabiki timu inayobutua kama rede
Asa kama Humjui Olunga hapa east Africa wewe ni mtu wa Mpira?