Tuijadili pasi ya Cloutos Chama Triple C

Tuijadili pasi ya Cloutos Chama Triple C

Mbona unamkomalia olunga.. nimeshasema simjui.. wewe unaemjua ndie uniambia olunga alicheza miezi chini ya sita kama samatta na nonda au mwaka ligi ya bongo,

Pili acha ujanja ,, usikimbie point nimekuwekea link ya ranking za caf usijifanye hujaiona? Kanitafutie timu ya msuva

Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Point ya kukimbiwa ni ipi?
Leta nafasi ya timu ya msuva, sina mda wa kuanza kutafuta maana najua ni timu nzuri.

Olunga nani kakwambia amecheza Tanzania?
Rudi nyuma kasome vizuri utanielewa.
 
Point ya kukimbiwa ni ipi?
Leta nafasi ya timu ya msuva, sina mda wa kuanza kutafuta maana najua ni timu nzuri.

Olunga nani kakwambia amecheza Tanzania?
Rudi nyuma kasome vizuri utanielewa.


Mbona olunga unamtaja juu juu tu... hutaki kumuelezea deep

Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
 
Mbona olunga unamtaja juu juu tu... hutaki kumuelezea deep

Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Sio kazi yangu kukufundisha aseeee.
Ungekuwa mtu wa mpira ungemjua.
Ok kiufupi kacheza ligi ya Kenya ambayo ni dhaifu kuliko yetu saiv yupo Spain....
Kutoka hapo unapata picha gani?
Mda mwingine kucheza nje ni bahati...
Wakati mwingine ni Aina ya wakala uliyenaye....
 
Mbona unazunguka.. afcon ina qualifications zake na hata world cup ina qualifications zake..

Siku hizi kuna google.. nenda katafute starting line up ya mechi ya ushindani ya timu ya taifa zambia iwe ku qualify mashindano makubwa yeyote ama wapo mashindanoni ukatafute jina la chama..

Highlights hazioneshi mchezaji ameingia dakika ya ngapi..

Narudia tena chama mpuuzi tu ndio maana anacheza simba miaka kibao...ameshindwa kucheza hata vigogo vya africa.

Nimekupa mfano wa nonda shaban alicheza yanga miezi sita.. na nikakupa mfano wa samatta nae simba miezi sita.. huo ni mfano tosha wa wachezaji bora huwa hawachezi ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita...

Chama hamfikii hata thomas ulimwengu kwa mpira mkubwa... ushahidi ni CV zao tuzilinganishe.

Chama ni kama nchimbi tu ndio maana anacheza simba. Mshahara haufiki hata milioni 20

Angekuwa anajua mpira angenunuliwa na ma mamelodi ama vigogo vya africa.. maana bajeti ya simba kwa mwaka ni bilioni 3 tu kwa maneno ya tajiri wenu mo dewji.. huku jackson muleka tu kauzwa usd milion 4 almost bilioni 10..

Nikakupa mfano wa transfer ya ben malango from tp mazembe kwenda raja casablanca.. halafu wewe mpuuzi unamuongelea chama..

Chama ni kama nchimbi tu au mkude.. ndio maana anacheza simba timu maskini inafungwa 5 kila mara... kufika robo kwao sherehe . Huku hao vigogo wanafika kila mwaka ..
Mkuu kameze pain killers naona mimba ya chama inakusumbua.
 
Sio kazi yangu kukufundisha aseeee.
Ungekuwa mtu wa mpira ungemjua.
Ok kiufupi kacheza ligi ya Kenya ambayo ni dhaifu kuliko yetu saiv yupo Spain....
Kutoka hapo unapata picha gani?
Mda mwingine kucheza nje ni bahati...
Wakati mwingine ni Aina ya wakala uliyenaye....

Ligi ya kenya siijui ila inaonesha ina mwanga kuliko yetu maana victor wanyama, dennis oliech wameicheza hiyo ligi... siwezi kuiongelea ligi ya kenya sana.. naongelea ligi ya Tanzania sababu naijua.. ukiona mchezaji anacheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. ujue mpira haujui... wanaojua mpira kina samatta na nonda walicheza sio zaidi ya miezi sita

Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
 
Ndio hajui.. ndio maana hata timu ya taifa zambia huwa haanzi.. anatokea benchi.

Mchezaji mzuri hawezi kucheza simba zaidi ya miezi sita.. ukiona mchezaji yupo simba zaidi ya miezi sita ujue ni makapi tu kwa level za africa wala ulaya

Acha mambo ya imaginations.. timu kubwa Africa zikikutaka lazima zikupate tu.. uliza ben malango transfer kutoka tp mazembe kwenda raja casablanca ilikuaje.. watu wanamlipa mchezaji mshahara kama ulaya halafu useme zikutake ukatae
Kwahiyo Calinhos, Sarpong, Mukoko ni mavi tu ndo maana wanacheza VPL?
 
Ligi ya kenya siijui ila inaonesha ina mwanga kuliko yetu maana victor wanyama, dennis oliech wameicheza hiyo ligi... siwezi kuiongelea ligi ya kenya sana.. naongelea ligi ya Tanzania sababu naijua.. ukiona mchezaji anacheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. ujue mpira haujui... wanaojua mpira kina samatta na nonda walicheza sio zaidi ya miezi sita

Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Wewe unabishana bora mradi mkuu....
Hauna hoja ni wa kupuuzwa, ligi ya Kenya ni bora kuliko yetu?
Tumefika kote huku sababu ya Ubishi wako bila hoja.
Ukijikusanya ukija na hoja niite.
 
Simba samatta alicheza miezi mingapi na chama amecheza simba miaka mingapi..

Hata nonda shabani alicheza yanga.. ila haikuzidi miezi sita sababu anajua akaonekana fasta na timu kubwa aftica..

Hiyo ndio tofauti ya anaejua huwa ligi ya bongo amalizi mwaka huku asiyejua anakaa miaka kibao
Samatta Simba walilazimisha kumuuza kama Simba wangekuwa na pesa asingeondoka mapema, Nonda alikimbia njaa lakini Chama amekuja kipindi Simba ipo vizuri ndio maana amekaa muda mrefu nyinyi gongowazi udenda utaendelea kuwatoka
 
Kama unataka hoja ntakupa, matusi hayo Mimi Sina( kuniita mtu wa vijiweni na kubeti ni kunitusi).

Chama hana Uwezo wa kuondoka sasa hata afanyaje( Ana mkataba na simba).
Kuhusu Signing fee hii ipo duniani kote (kwa free Agents) na sio Simba tu.
Utamshawishi vipi mchezaji aje kwako na Sio timu nyingine bila Signing fee?
Naona mkuu kinachokusumbua ni roho ya kwanini chama tupo Simba na sio upande wako.
Hawa ndio walishangilia walipodanganywa Chama kasaini kwao na ikitokea ikawa hivyo watamlamba miguu injinia wao
 
Ligi ya kenya siijui ila inaonesha ina mwanga kuliko yetu maana victor wanyama, dennis oliech wameicheza hiyo ligi... siwezi kuiongelea ligi ya kenya sana.. naongelea ligi ya Tanzania sababu naijua.. ukiona mchezaji anacheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita.. ujue mpira haujui... wanaojua mpira kina samatta na nonda walicheza sio zaidi ya miezi sita

Narudia tena mchezaji bora hawezi kucheza ligi ya Tanzania zaidi ya miezi sita... msuva na chama wote wa kawaida tu kama nchimbi ndio maana walicheza ligi ya bongo miaka kibao
Unatuharibia Uzi wetu....
Utakua muha wewe,halafu mfupi maana una roho mbaya ,Chama anajua hilo liko wazi
 
Mbona unazunguka.. afcon ina qualifications zake na hata world cup ina qualifications zake..

Siku hizi kuna google.. nenda katafute starting line up ya mechi ya ushindani ya timu ya taifa zambia iwe ku qualify mashindano makubwa yeyote ama wapo mashindanoni ukatafute jina la chama..

Highlights hazioneshi mchezaji ameingia dakika ya ngapi..

Narudia tena chama mpuuzi tu ndio maana anacheza simba miaka kibao...ameshindwa kucheza hata vigogo vya africa.

Nimekupa mfano wa nonda shaban alicheza yanga miezi sita.. na nikakupa mfano wa samatta nae simba miezi sita.. huo ni mfano tosha wa wachezaji bora huwa hawachezi ligi ya tanzania zaidi ya miezi sita...

Chama hamfikii hata thomas ulimwengu kwa mpira mkubwa... ushahidi ni CV zao tuzilinganishe.

Chama ni kama nchimbi tu ndio maana anacheza simba. Mshahara haufiki hata milioni 20

Angekuwa anajua mpira angenunuliwa na ma mamelodi ama vigogo vya africa.. maana bajeti ya simba kwa mwaka ni bilioni 3 tu kwa maneno ya tajiri wenu mo dewji.. huku jackson muleka tu kauzwa usd milion 4 almost bilioni 10..

Nikakupa mfano wa transfer ya ben malango from tp mazembe kwenda raja casablanca.. halafu wewe mpuuzi unamuongelea chama..

Chama ni kama nchimbi tu au mkude.. ndio maana anacheza simba timu maskini inafungwa 5 kila mara... kufika robo kwao sherehe . Huku hao vigogo wanafika kila mwaka ..
We nyani kweli yaani Nchimbi ndio umlinganishe na Chama we inaelekea uko kwenye mipasho ya taarabu siyo mpira
 
Jamani watu tumejadili sana ile pasi lakini turudi tuangalie lile goli la pili, ule ufundi aliyoufanya kwenye lile goli hata messi the GOAT hajawahi kufanya
 
Hiyo assist leo asubuhi nmetoka kulipia mahali, kodi ya nyumba, mkopo wa HESLB, Madeni yote ya toka mwaka 2015 na nmebakiza chenji ya mil 25 nataka ninunue crown athletes mpya nilingie mujini.
[emoji1][emoji1][emoji1]

Halafu bila shaka ukishanunua crown lazima zibaki pesa za kunywa bia wiki mbili...
 
Simba samatta alicheza miezi mingapi na chama amecheza simba miaka mingapi..

Hata nonda shabani alicheza yanga.. ila haikuzidi miezi sita sababu anajua akaonekana fasta na timu kubwa aftica..

Hiyo ndio tofauti ya anaejua huwa ligi ya bongo amalizi mwaka huku asiyejua anakaa miaka kibao
Yaani wewe acheni kukariri, hao TP mazembe walikua wanamtaka Ajibu, unataka kusema Ajibu ni bora kuliko chama, au Singano alivyokua ameenda Tp Mazembe ni bora kuliko Chama.
 
Weka ushahidi wa chama ametakiwa na timu kubwa africa akakataa.. weka ushahidi wa kikosi cha zambia game za afcon ama qualification ya afcon.. weka starting line up ya zambia ya afcon tumtafute cleutas chama... chama aneanza zambia ni mdogo wake .. ila chama wa simba anatokea benchi.. labda mechi za mabonanza za kirafiki ndio anapangwa wasipoitwa wachezaji wa timu kubwa africa na ulaya
Hivi Tff kumfungia Luc walikosea. Maana alisema sahihi kua mashabiki wa Utopolo fc wanaropoka tu ka manyani au mbwa. We Utopolo unasema chama hachezi timu ya Taifa la Zambia[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Chama kama chama mwamba wa lusaka genius wa mpira kuwahi kutokea katika ligi yetu akiyafanya makubwa apendavyo akiwa na kikosi cha mabingwa wa nchi

Nipo naangalia lile goli la pili ndio nimejikuta naandika yote hayo duuh huyu mtu huyuuu
 
Back
Top Bottom