Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Mkuu mie mwenyewe muuza kahawa, labda nikupe chupa Moja niuingilie mtaji kesho nirudi kwetu MishepoKuna changamsha kijiwe cha kahawa, kilipoa sana. Una 500 hapo niagize kahawa ya jero mkuu.
Fanya nusu chupa ili nusu nyingine uendelee kuuza usije rudi kwenu Mishepo.Mkuu mie mwenyewe muuza kahawa, labda nikupe chupa Moja niuingilie mtaji kesho nirudi kwetu Mishepo
Hapa inabidi uwe specific, akichagua mbunge aliyepigiwa kura kama mbunge? Vipi hapo?Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca
Vipi kuna nini huko Dasilam sisi huku mkoani tunalima maana mvua za mwanzo ndiyo za kupandia.Pameanza kuchangamka
View attachment 3148617
Ibara ya 50 (2)(d) inampa mamlaka Makamu wa Rais aliyeteuliwa (ambaye hakuchaguliwa) kushika madaraka ya rais endapo rais atafariki.Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca
Wewe limaVipi kuna nini huko Dasilam sisi huku mkoani tunalima maana mvua za mwanzo ndiyo za kupandia.
Pascall mayala aje na ufanunuzi ni muhimu sana kujua sheriaKuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca
hahahahaaa! wengine tumeamua kuwa wshindani wa tuzo ya usomaji bora wa koments za watu na kulike tu maana hata mpango wa kuwa wanasheria binafsi haupo na tuna uhakika hata akina Kibatala hawatujui.Anyway sikomenti chochote ,maana mwanasheria wangu ndio yupo form 3 kwa hiyo sitaki kujichanganya.
Kuna kitu sijaelewaVipi kuna nini huko Dasilam sisi huku mkoani tunalima maana mvua za mwanzo ndiyo za kupandia.
KUNA WATU WATAAIBIKA VIBAYA SANA SIKU SI NYINGI.Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.
Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.
Britanicca