Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Namuombea kila mema Raisi wetu mama Samia.....nyie mnaowaza ubaya uwapate nyinyi , familia zenu na koo zenu........haiingii akilini kumuwazia mwenzako mabaya hata kama amekughadhabisha jinsi gani ....every human being deserve to live.
 
Katiba yetu ni bubu, katiba ya hovyo hovyo , haina jibu la hilo swali ndio maana kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuirusha juu katiba kisha kuikanyaga kanyaga na kupewa kesi ya kusigina katiba.
Huyo wamwonea tu. Wanayoisigina kwa kutoifuta au kuita kijitabu ndiyo wanatakiwa kupewa kesi.
 
Tatizo la nchi ya Tanzania ni mifumo iliyokosewa tangu mwanzo.

Kinachotokea sasa na kitazidi kutokea ni watu kutafuta wa kumlaumu na kumbebesha lawama mtu mmoja. One person cannot be a sole cause for our problems.

Tatizo la hii nchi ni kila mwananchi kutokuona umuhimu wa kuungana kupigania haki zake.

Tumebakiza kupiga ramli tu na kuombea viongozi vifo. Pathetic
Kifo ni Kifo.
 
1. Hiyo habari ya kwamba "...Makamu wa Rais ili arithi kiti cha Urais ni sharti kwanza awe alipigiwa kura za uchaguzi wa pamoja na Rais aliyepo..." umeipata wapi?

2. Soma tena vizuri Ibara ya 37 (5); kisha

3. Soma tena kwa kutulia Ibara ya 50 (1) & (2) (d).

-Kaveli-
Sasa unaniambia nisome kitu gani wakati nimezisoma zote hata nim - extract na kukuwekea hapa...?

Wewe si ndiye unatofautiana na mtazamo na uelewa wangu juu ya hiyo ibara..?

Sasa wewe kwa hatua hii ndiye unayepaswa unieleze/unifafanulie kwa kadiri ya uelewa wako contrary na ninavyoelewa mimi...
 
Ni sababu gani hiyo inamnyima Samia stahili za kuendelea kutawala?
Nimesema mara nyingi. Labda huwa huelewi, basi narudia. Ni kwa sababu;

1. Ni Mzanzibari. Aende akawe Rais huko kwao Zanzibar. Urais wa Tanganyika ni kwa ajili ya Watanganyika

2. Ni mwanamke. It's a fatal mistake to let a woman kuongoza nchi ktk level ya u - Rais...!!

## Na wewe unadhani ni sababu zipi hasa unafikiri zinamstahilisha. Je, ni kwa sababu ya huu muungano fake na wa kihuni..?
 
Sasa unaniambia nisome kitu gani wakati nimezisoma zote hata nim - extract na kukuwekea hapa...

Wewe si ndiye unatofautiana na mtazamo na uelewa wangu..?

Sasa wewe kwa hatua hii ndiye unayepaswa unieleze/unifafanulie kwa kadiri ya uelewa wako contrary na ninavyoelewa mimi...

1. Kuhusu VP kurithi kiti cha Urais kinapokuwa wazi... nioneshe Ibara inayoelekeza kwamba VP atakayerithi urais ni aliyekuwa mgombea mwenza wa Rais kwenye uchaguzi mkuu, kwamba alipigiwa kura.

Onesha hiyo Ibara. Tuanzie hapo kwanza.

-Kaveli-
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Kwa mujibu wa katiba makamu wa rais ni makamu wa rais bila kujali kapatikanaje, hivyo anabeba sifa zote kikatiba
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Kuna mtu kule twitter/X ameku quote na kuanzisha mhadala kama anaku oppose.
Kwa mantiki yake nilivomuelewa.
 
Katiba yetu ni bubu, katiba ya hovyo hovyo , haina jibu la hilo swali ndio maana kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuirusha juu katiba kisha kuikanyaga kanyaga na kupewa kesi ya kusigina katiba.

Tatizo la nchi ya Tanzania ni mifumo iliyokosewa tangu mwanzo.

Kinachotokea sasa na kitazidi kutokea ni watu kutafuta wa kumlaumu na kumbebesha lawama mtu mmoja. One person cannot be a sole cause for our problems.

Tatizo la hii nchi ni kila mwananchi kutokuona umuhimu wa kuungana kupigania haki zake.

Tumebakiza kupiga ramli tu na kuombea viongozi vifo. Pathetic
Na CCM inakataa kukubali kuwa katiba yetu ina madhaifu makubwa, suala la reforms la katiba ni lazima kwa ustawi wa nchi otherwise tutakuja kuumizana sana huko mbeleni, hili suala sio la kiupinzani bali la kitaifa, Mwalim was not smart enough kuweka katiba inayo reflect 500 years to come , he was low vision man

USA iliachana na biashara ya utumwa kwa kuelewa kuwa huko mbeleni hawa watumwa wata amka, wakiamka tutapata shida kudeal nao…… wakaachana na mambo ya utumwa

Pale CCM anahitajikq mtu smart snaa anaeweza ku sniff danger in 100 years to come

tukiendelea na hii katiba iliyokosewa tangu mwanzo

With education with ever changing world, CCM na hao polisi zitaahindwa ku deal na raia walioelimikq na wenye maono

Tutamwaga dam zaidi ya Nairobi

We need as CCM , to accept change

Anyway
 
Katiba yetu ni bubu, katiba ya hovyo hovyo , haina jibu la hilo swali ndio maana kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuirusha juu katiba kisha kuikanyaga kanyaga na kupewa kesi ya kusigina katiba.
Ibara ya 50 imejibu swali na nimeiweka hapa.

Tatizo umesoma?
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Kulikoni mbona hii wiki kuna mjadala mwingi sanna kuhusiana na whitehouse
 
Mimi nimenusa mambo mawili au matatu au zaidi kama ifuatavyo...

1. Samia Suluhu Hassan definitely, alikuwa VP aliyepigiwa kura pamoja na mwendazake John P. Magufuli. Huyu yupo hapo kikatiba. Shida kubwa ni mbili tu; Mosi ni Mzanzibari na pili ni mwanamke....

It was a fatal mistake kumpa majukumu ya u - Rais mwanamke kama huyu mwenye sifa hizo☝🏻☝🏻☝🏻..!!

2. Dr. Philip Isidory Mpango kwa sasa ndiye VP. Huyu hakupigiwa kura. Hakuchaguliwa na Rais aliyepo madarakani na hivyo Ibara ya 37 (5) ya katiba ya JMT ya mwaka 1984 inamtupa nje kabisa ya ulingo. Na hapa ndipo ilipo hoja yako.

3. Nahisi pia kuna kitu hakiko sawa kwa Samia Suluhu Hassan (Rais wa mpito wa sasa). Obviously, huyu hastahili kuendelea na nafasi hiyo hata kwa miezi miwili tu mbele iwapo tunaipenda Tanganyika yetu. Ndo swali linakuja kuwa: ITAKUWAJE MAANA VP Dr. Philip Isidory Mpango katiba haimtambui..??
unasema Dr Mpango hakupigiwa Kura Wala hakuchagukiwa na Rais aliyepo, sasa amepataje u VP, mbona Kama nasikia " harufu ya samaki"
 
Kiongozi katiba sio Siri weka kifungu na sisi tusome
Watu wengi wanaosema katiba katiba bila kuweka vifungu wanabumbabumba.

Mimi nimeweka katiba ibara ya 50 inayoonesha makamu wa rais wa kuchaguliwa au kuteuliwa anashika kiti cha rais kikiwa wazi.

Mpaka sasa hakuna mtu aliyepinga hilo kwa kunijibu kwa kuweka ibara ya katiba.
 
Lini makamu wa rais anapigiwa kura ? Hakuna form in picha au jina la makamu wa rais. Abaepugiwa kura ni mgombea urais tu.
 
Back
Top Bottom