Tuikatae NEC hii kwa nguvu zote haya yakidhihiri. Makamishna wote washtakiwe

Muikatae wewe na nani? Halafu mkiikataa itakusaidia? Mengine Achana nayo tafuta pesa
 
sijui ni mahakama ipi na hakimu gani ataitia nec hatiani
na ikipatwa na hatia hapa uchaguzi wote utakosa uhalali itakua ngumu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…