Hakika...linaonekana hiliChadema inaenda kupoteza mvuto na ushawishi uliokuwa nao kama mbowe ataendelea kuwa mwenye kiti. Sasa naanza kuamini madaraka yanalevya.
Lazima kuna kitu nyuma ya pazia kinachomfanya Mbowe ang'ang'anie kiti.Hakika...linaonekana hili
Hakika tungoje tuone itakavyokuwa.Tuupe muda wakati..
Ulitaka tukuachiwe utumbo wako ung'ong'we na nzi!Mnajazana kama wote kwenye nyuzi kama hizi🤪
Mshana Jr anadhani hapa anaongea na Wachawi wenzake 😄Ameshasema anataka kung'atuka akiwa na 68 yrs sasa hizo porojo za kujitoa dakika za mwisho kawaelezee wateja wako kilingeni!
Mungu asaidie katika hili afunuliwe kwamba wafuasi wake wanaumizwa na kile kinachoendelea katika siasa zake za ng'atwa pulizwaLazima kuna kitu nyuma ya pazia kinachomfanya Mbowe ang'ang'anie kiti.
Pigo zito pigo la kisogo amepagawa!Mshana Jr anadhani hapa anaongea na Wachawi wenzake 😄
... kosa la system hapa ni kuona/ku'appreciate' SITUATION ambayo ni 'purely' 'SURVIVAL OF THE FITEST WITHIN CHADEMA'!System haiko tayari kuona Chadema ikiwa na Mwenyekiti Lissu
Na huenda huyo Mbowe akaendelea na nafasi yake hadi atakapo kabidhi chama Kwa mwanaye Dudley
Kama ni mkakati wa maridhiano hilo tusahau na kwa vyovyote vile atalindwa kuweza kulifanikisha hilo. Ila Mbowe ni kama wale watoto wenye mpira kipindi tunakua, kikosi anapanga yeye na akitaka kuondoka hata kama n dakika 5 mpira anaweka kwapani anaondoka nao.Mungu asaidie katika hili afunuliwe kwamba wafuasi wake wanaumizwa na kile kinachoendelea katika siasa zake za ng'atwa pulizwa
Hiyo ni kweli mkuu ila mbowe kuna namna ametuvunja moyo wanachadema.Sasa hivi mada zinazopendwa sana zi zile zinazosema
CHADEMA inakufa
CHADEMA kuna mpasuko mkubwa sana na blah blah nyingine kibao.. Ukiandika tu tofauti hakuna jina utaacha kupewa🤣
AsaliLazima kuna kitu nyuma ya pazia kinachomfanya Mbowe ang'ang'anie kiti.
Siku hizi simuoni kabisa Erythrocyte ku like wala kuunga mkono hoja zako zinazomuunga mkono Lisu. Sijui mna ugomvi gani kaka!!Lissu kugombea uenyekiti limekuwa tatizo kubwa nje ya CHADEMA kuliko ndani ya CHADEMA yenyewe
kwani umeongezewa nini tulivyochangia!Kwani msipochangia nini kitapungua
Mbowe mitano tena😂😂😂Inapitishwa katika njia ngumu mno iliyojaa miba, mbigili na kila aina ya uchafu kisa wasiyempenda anagombea uenyekiti taifa!
Ni kwavile tu ni wazito wa kusoma alama za nyakati. Lakini huu ni wakati wa Lissu. Simple and clear.
Kadiri mamlaka zinavyozidi kuleta chokochoko nyuma ya pazia ndivyo wanavyozidi kumjenga na kumuongezea hamasa na support!
Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
Mwamba asikubali kabisa kutumika kwa namna yoyote ile! Anawajua fika chama chawala ni nani.
Napata hisia za ndani kwamba yote anayofanya kwasasa ni mbinu ya kuwazubaisha maadui wazipate picha halisi na atakuja kujitoa mwishoni na kumuunga mkono makamu wake.
Na ndio maana katika MOJA ya hotuba zake alisema CHADEMA KITATOKA SALAMA KWENYE HUU UCHAGUZI KIKIWA WAMOJA IMARA NA WENYE NGUVU ZAIDI
Mungu BABA ibariki na kuilinda CHADEMA. Ni wakati wa Lissu💪🏿📌🔨
View attachment 3182144