Tuiombee sana CHADEMA

Tuiombee sana CHADEMA

CDM is dead
IMG-20241219-WA0021.jpg
 
Ayatolla Mbowe amekosea kusogeza kete zake sasa anaenda kupigwa SUPA.

Hiki chama ndo kimekufa hivyo, watanzania wameona bora CCM wenye uzoefu na uongozi waendelee kutuongoza sio hawa mchwa wa chadema wasioweza hata kujicontrol😄😄😄wataweza kuikontrol nchi.

CHADEMA NI CUF ILIYOCHANGAMKA!!!

#RIP CHADEMA.
 
Mungu asaidie katika hili afunuliwe kwamba wafuasi wake wanaumizwa na kile kinachoendelea katika siasa zake za ng'atwa pulizwa
Kama ni mkakati wa maridhiano hilo tusahau na kwa vyovyote vile atalindwa kuweza kulifanikisha hilo. Ila Mbowe ni kama wale watoto wenye mpira kipindi tunakua, kikosi anapanga yeye na akitaka kuondoka hata kama n dakika 5 mpira anaweka kwapani anaondoka nao.

Porojo za kujitetea kwake kuhusu alipotoka na aliyoyapitia kwenye chama ndio kazigeuza kama sababu za msingi za kutangaza nia.
 
Inapitishwa katika njia ngumu mno iliyojaa miba, mbigili na kila aina ya uchafu kisa wasiyempenda anagombea uenyekiti taifa!

Ni kwavile tu ni wazito wa kusoma alama za nyakati. Lakini huu ni wakati wa Lissu. Simple and clear.

Kadiri mamlaka zinavyozidi kuleta chokochoko nyuma ya pazia ndivyo wanavyozidi kumjenga na kumuongezea hamasa na support!
Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

Mwamba asikubali kabisa kutumika kwa namna yoyote ile! Anawajua fika chama chawala ni nani.

Napata hisia za ndani kwamba yote anayofanya kwasasa ni mbinu ya kuwazubaisha maadui wazipate picha halisi na atakuja kujitoa mwishoni na kumuunga mkono makamu wake.

Na ndio maana katika MOJA ya hotuba zake alisema CHADEMA KITATOKA SALAMA KWENYE HUU UCHAGUZI KIKIWA WAMOJA IMARA NA WENYE NGUVU ZAIDI

Mungu BABA ibariki na kuilinda CHADEMA. Ni wakati wa Lissu💪🏿📌🔨

View attachment 3182144
Mbowe mitano tena😂😂😂
Chadema mnatuvunja Moyo watanzania
 
Back
Top Bottom