Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

mimi niseme wazi kwamba tatizo ni mfumo wa tff na vilabu,viongozi wa TFF hawana dira wala mipango na mikakati juhu ya kuinua soka la tanzania,wapo kimaslahi, kwenye vilabu ndio balaa hakuna mpira zaidi ya ushirikina,na majungu hakuna mpira wewe fikiria vilabu hivi vinaenda umri wa miaka 50 havina hata uwanja wa mpira?!!! ihi ni haibu haibu hatuwezi kuendelea ikiwa ivi vilabu v2 vikiendelea kuwepo, miaka ya 80 tulipiga hatua kutokana na timu za mashirika kama pamba,
 
Watanzania bora tujitahidi kuongeza bidii kwenye kucheza kibisa labda kinaweza kututoa kimasomaso huko nchi za nje.
 
uyo kocha wao kama amesahau nguo huku mtu amkimbizie haraka akapande ndege huko huko asirudi huku. ni kocha dhaifu kuliko wote, bora hata wabongo wenzetu wangefundisha. unafungwa na swaziland nchi haina mbele wala nyuma, unafungwa na madagascar? hii aibu gani jamani.
 
Tanzania soka tumeshindwa,tuhamie kwenye mpira wa magongo
uyo kocha wao kama amesahau nguo huku mtu amkimbizie haraka akapande ndege huko huko asirudi huku. ni kocha dhaifu kuliko wote, bora hata wabongo wenzetu wangefundisha. unafungwa na swaziland nchi haina mbele wala nyuma, unafungwa na madagascar? hii aibu gani jamani
 
sijawahi kuwa na mzuka au ushabiki na taifa stars....hivyo sijawahi kusikitikia kufungwa..na tangu nizaliwe sijawahi kukoment kwenye uzi wowote unaoihusu starz,huu ndo wa kwanza
 
Wanaitwa VIDUKU STARS
Na hivi haikuonyeshwa kwenye TV yoyote bora wamefungwa.
Maana hawa TFF wao hela tu
 
Tatizo kocha hajui mpira, kama uliangalia yanga ilivyocheza na mwarabu walicheza mpira mzuri sana, kwa nini asingetoa wachezaji wengi pale?
 
Mnashidna kuelewa Sloga ya TFF.
Alikuja Maximo akafundishwa kwamba mambo yakiwa magum Sema"Pole Pole Tutafika,Tupo Pamoja"
Huyu mwingine wakaona sio muongeaji saaana,wakamuweka kwamba kila timu inapocheza basi kile kikosi kiwe kinaitwa KIKOSI CHA MAJARIBIO ili kuchagua team bora ya taifa.

We leo Nchii sie tunataka kikosi cha majaribi?We umeona wapi Team ya taifa inaitwa kuwa ya majaribio,na wakati wachezaji ni wale wale.

Bora mara mia Team ya Yanga yoote ingewakilisha Taifa
 
Amewatia aibu wachezaji tulio wauza kule, yule kocha hajui mpira, nawashauri wamuazime kocha wa yanga yule anajua mpira angalia kiwango cha yanga tangu aondoke Maximo, pia angalia mechi za kimataifa za yanga.
 
Unaposema wanapoteza feza kwani wana ruzuku ya serikali?Hiyo ni timu ya TFF inatumia pesa ya TFF na waliowaalika na wafadhili wao Serengeti Breweries wala hiyo si Timu ya Tanzania kwami uliona jina la Tanzania kwenye jezi yao au kama uliona hata bendera ya Taifa niambie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…