Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Wadau kama tunavyofahamu Mh Rais Samia Suluhu Hassan aliteua wajumbe tisa wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti Jaji Mohamed Othman Chande na Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Balozi Ombeni Sefue.
Lengo kuu ni kuangalia kwa mapana hizi taasisi za kutoa haki ambazo ni pamoja na mahakama, Polisi, Takukuru na ofisi ya mashtaka ikiwemo DPP na DCI
JF ni kubwa na inaweza toa mchango mkubwa kwa tume hii
yapo mengi ya kuboresha tuangalie mazuri na mabaya katika hisi taasisi! ikiwemo hata namna ya kuboresha!
mimi naona JF inaweza sehemu ya suluhisho ya mambo mengi kwa Tume hii
Tuchangie kwa pamoja ili tume ipate maoni
Lengo kuu ni kuangalia kwa mapana hizi taasisi za kutoa haki ambazo ni pamoja na mahakama, Polisi, Takukuru na ofisi ya mashtaka ikiwemo DPP na DCI
JF ni kubwa na inaweza toa mchango mkubwa kwa tume hii
yapo mengi ya kuboresha tuangalie mazuri na mabaya katika hisi taasisi! ikiwemo hata namna ya kuboresha!
mimi naona JF inaweza sehemu ya suluhisho ya mambo mengi kwa Tume hii
Tuchangie kwa pamoja ili tume ipate maoni