kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,672
- 3,055
Waache kupora mihela yetu kama hawawezi kutuhudumia.Kwa sasa Nchi hii, tunapaswa kuomba Huruma ya Mungu, hakuna anaye jali wala kufikiri juu ya raia wa kawaida!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache kupora mihela yetu kama hawawezi kutuhudumia.Kwa sasa Nchi hii, tunapaswa kuomba Huruma ya Mungu, hakuna anaye jali wala kufikiri juu ya raia wa kawaida!!!
Mkiugua mnasumbua ndugu na familia zenuHUU UPUMBAVU NDIYO UNAONIFANYA SITOKAA NIKATE BIMA YA AFYA KAMWE KWENYE MAISHA YANGU!.
NIKIUGUA NITATUMIA HELA ZANGU ZA MFUKONI KUTIBIWA NA IKISHINDIKANA NI BORA NIFE NIPUMZIKE KULIKO KUWA NA BIMA ZA AFYA ZA KIJINGA KIJINGA ZINAZOTOLEWA HAPA NCHINI.